Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ushamba wewe hayo ni mafuta ya kuchua misuli. Jinga kabisa
Kuchua misuli ili iweje?kuongeza nguvu?Acha ushamba wewe hayo ni mafuta ya kuchua misuli. Jinga kabisa
Mbona ulichokiweka hakifanani na kilichoshikwa?
Ina maana macho yamezeeka kiasi hiki? Sioni picha ya kitu alichoshika Aziz Ki kikifanana hiki kitu ulichoweka hapo kimuonekano havifanani
Ingiza hii picha ktk Google lens utapata jibu unalotaka
Nilisema hao jamaa ni mijinga jinga na mbumbumbuBaada ya ushindi wa kishindo cha Yanga mashabiki wa Simba wamechanganyikiwa wamekuwa wanaongoza kwa kuleta uzi za ovyo humu. Sasa hiyo mbona inaonekana ni vocha.
Dawa ya kuongeza nguvu..Caf wamshtaki..hivi ndio mbumbumbu unataka usikie..kweli mjinga haachi ujinga wake...
Unaona sasa upumbavu wako ..dah
Mtazeeka kabla ya wakati wenu nyie mazezeta ya Mo. Kwa YANGA mtatafuta visingizio mpaka mvi ziwatoke kenge nyie.
Hiyo ni kuweka meno yakae vizuri, kuna watu meno huwa yanapandana. Yaani jino moja linaota juu ya jingine.mojawapo ya kitu kinachonikera ni kuona mwanaume mtu mzima kabisa, ameweka hizo waya kwenye meno kama demu. mwanaume unatengeneza uzuri wa meno ili umpendezeshe nani? ili ukiyakenua yawe mazuri au nini hata huwa sielewi. musonda naye aliweka manyaya hayo, na wakiweka wanapenda kweli kukenua meno ili tuyaone.
Hilo ni vumbi la Kongo alilitumia pia kwenye zile 5G za 5 November.
Unauliza maswali kama mtoto wa darasa la pili. Nyinyi ndiyo maana mnaitwa mbumbumbu.