Nini hiki kinaendelea kwa watoto na watu wazima?

Nini hiki kinaendelea kwa watoto na watu wazima?

Alex Fredrick

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2016
Posts
697
Reaction score
1,358
Siku za hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la watoto kuumwa hasa wanapata homa kali, kifua namafua.

Kwa utafiti wangu nimeona watoto wa jirani na rafiki zangu watoto wao kama 20 hivi wakiwa wanapata shida hiyo.

Majuma mawili yaliyopita watoto wangu wote wawili (Twins) wakawa wanapata homa kali, kifua, mafua na Kutapika.

Nilipoenda Hosp kupima kila kitu majibu yakawa hamna chochote wanaumwa zaidi nikapewa Paracetamol tu, nikawapa na baada ya siku tatu wakawa vizuri.. Kifua na mafua nikawapa tangawizi pamoja na asali tu

Wiki hii kuanzia Jumatatu mpka leo imeanza kwangu yaani ikifika jioni tu mwili unachoka sana, kifua kubana, homa na maumivu mwili mzima.

Nadhani ni wakati muafaka kwa Serikali kupitia wizara ya Afya kuja na tamko kwa wananchi ili kuchukua tahadhari mapema.
 
Mimi Jumamosi nilienda kwenye harusi ila maandalizi yake nilihusishwa, baadae nikawa na mizunguko mingi after harusi. Tangu Jumanne naumwa koo nimesema ni tonsils na nimechukua dawa hadi sasa natumia. Usiku naumwa, kifua kinabana, koo linauma ila sipati homa wala headache. Asubuhi na mchana nakuwa na nafuu ila uzuri nakula sana sahivi sijui imekuwaje
 
Siku hizi tatu Koo langu na mafua plus kichwa hakijaniacha salama. Leo natoka nje nakutana na jirani yangu naye anasema Ana dalili hizo hizo Kama zangu, maybe there is something in ground.
 
Ofisi nzima tumepigwa na kitu kizito

Watoto nao msichana nae pia, Ila tumejipa moyo ni mabadiliko ya haki ya hela ya ghafla
 
sisi huku mtaani kila mtu sauti imebadilika..
huyu ana besi mwingine sauti haitoki.
hapa nimetoka kumpigia demu wngu nae hata simuelewi..
jinsi anavyoongea"PIKAMOO BUBE WANGU MAPUA MAPALI FAUTI HAIFOKI PAPISA"
Tafsiri"shikamoo mume wangu mafua makali sauti haitoki kabisa"
 
sisi huku mtaani kila mtu sauti imebadilika..
huyu ana besi mwingine sauti haitoki.
hapa nimetoka kumpigia demu wngu nae hata simuelewi..
jinsi anavyoongea"PIKAMOO BUBE WANGU MAPUA MAPALI FAUTI HAIFOKI PAPISA"
Tafsiri"shikamoo mume wangu mafua makali sauti haitoki kabisa"
Yani mke wako anakuamkia shikamoo? Aisee watu mnapenda umwinyi sana.😄😄
 
Ukishaona nchi inapigwa na maradhi halafu hayana jina, ujue hakuna huduma ya afya ya kueleweka...

Vilevile kitengo cha reasearch magonjwa ya milipuko kimelala, maana kwa wenzetu huu ndio muda vituo kama hivi vinajitokeza na kutoa ufafanuzi na nini watu wafanye...
 
Ukishaona nchi inapigwa na maradhi halafu hayana jina, ujue hakuna huduma ya afya ya kueleweka...

Vilevile kitengo cha reasearch magonjwa ya milipuko kimelala, maana kwa wenzetu huu ndio muda vituo kama hivi vinajitokeza na kutoa ufafanuzi na nini watu wafanye...
Wanajua bana sema utaratibu wa kutoa matamko na maelekezo ndio hawana, lakini wakati mwingine wanaogopa kuwapanikisha wananchi.
 
sisi huku mtaani kila mtu sauti imebadilika..
huyu ana besi mwingine sauti haitoki.
hapa nimetoka kumpigia demu wngu nae hata simuelewi..
jinsi anavyoongea"PIKAMOO BUBE WANGU MAPUA MAPALI FAUTI HAIFOKI PAPISA"
Tafsiri"shikamoo mume wangu mafua makali sauti haitoki kabisa"
Mi pia nilikutana na hali ya tofauti wiki iliyopita, mwili wote nilikuwa nausikia ndivyo sivyo, Namshukuru Mungu ananiepusha sana, siku mbili tu nikakaa sawa, ila wife yeye kichwa na kikoozi vinsmsumbua.
 
Ni upepo unapita...hali hii ilikuwepo hata kabla ya Covid 19
 
Back
Top Bottom