Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
wanatafuta faida tu kwa njia za mkato
Je wahusika wanaitafuta?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je wahusika wanaitafuta?
Na hata faida hawaipati, sababu kama kuku wa kienyeji anayelishwa vizuri anauzika Baada ya miezi 6. Ila akifugwa holela mpaka miaka 2 Bado hata kilo 2 hakana.wanatafuta faida tu kwa njia za mkato
Bwana salmin siraj Mimi napingana na wewe. Serikali imefanya mengi tu kwenye sekta ya kilimo na ufugaji. Miradi ya ASDP ipo tangu miaka ya 2008 kuwaelimisha kilimo na ufugaji wa kibiashara. SAGCOT, MIVARF yote imekuja miaka takribani 10 iliyopita. Kuna mabwana mifugo kila halmashauri mpaka kwenye majiji. Kuna kata Zina bwana/bibi mifugo. Ulitaka serikali ifanye nini la ziada?
Tangu enzi na enzi (ukiacha mwaka Jana 2021) huwa Kuna maonesho ya nanenane, unajua lengo lake ni Nini??
Pale kuna wakulima wakubwa na wadogo, wafugaji wakubwa mpaka ranch, Kuna vyuo vya kilimo na ufugaji, Kuna VETA/SIDO. Pale unakuta mbegu Bora za ng'ombe, mbuzi, kondoo, kanga, Bata, hata malisho. Shamba la mifugo la Mafinga wanazalisha mbegu za nyasi nzuri kwa ajili ya malisho, uliwahi kuzitafuta ukakosa?
Mfugaji gani anazitafuta elimu anaikosa?
Mimi mwenyewe nimewahi kwenda kuonesha ufugaji wa Bata bukini pale John Mwakangale Uyole nikanunua na mbegu za lucina.
Swali ni je Hawa wafugaji wanahudhuria sehemu kama hizi?
Wafugaji wanawekeza kwenye elimu?
Acheni Lawama za kipuuzi. Ngozi nyeusi wengi hatuzingatii maarifa na technology. Tunafanya ili mradi. Hata umwelimishe vipi anarudia Mambo yake vilevile. Unless soko limwekee masharti ndipo atalazimika kuyafuata mfano kwenye tumbaku na Parachichi.
Sasa mkuu, wewe ni mkulima unataka uzalishe kwa wingi halafu unasubiri Afisa Mifugo akufuate shambani akubembeleze, hii inaingia akilini?Chukua sample ya wafugaji ishirini kawaulze wamehawahi kutembelewa na maafsa mifugo kwenye maeneo yao mfano mdgo juzi mweshimiwa Makanu wa raisi alisema ajawahi kuona afsa mifugo akitembelea shamba lake achana na hivo kila wilaya kuna eneo kama hapo mafinga linalowafunza watu kupanda malisho mbalimbali jibu ni bado fuatilia nchi zetu jirani serikal zao zinawapa suport sana wafugaji