Nini huathiri ukuaji bora wa ng'ombe wa nyama? Nini kifanyike?

Chukua sample ya wafugaji ishirini kawaulze wamehawahi kutembelewa na maafsa mifugo kwenye maeneo yao mfano mdgo juzi mweshimiwa Makanu wa raisi alisema ajawahi kuona afsa mifugo akitembelea shamba lake achana na hivo kila wilaya kuna eneo kama hapo mafinga linalowafunza watu kupanda malisho mbalimbali jibu ni bado fuatilia nchi zetu jirani serikal zao zinawapa suport sana wafugaji
 
Sasa mkuu, wewe ni mkulima unataka uzalishe kwa wingi halafu unasubiri Afisa Mifugo akufuate shambani akubembeleze, hii inaingia akilini?
Unaulizia Shamba la malisho Mafinga ndiyo lipo barabara ya kuelekea Sawala. na ukitaka mbegu za nyasi unapata mwaka mzima. Narudia Tena, huwezi kuzitafuta elimu ukaikosa, ukisubiri ufuatwe basi endelea kusubiri.

Siku hizi Kuna mpaka makampuni binafsi ya ushauri wa kufuga. Ranch zimetenga mashamba ya kufuga ndani ya ranch hata pale Ruvu, mpaka ranch ya Kibirizi Karagwe bado Wafugaji hawaendi. Hakuna anayekatazwa kuwa na Shamba lake la malisho lakini bado.
Btw walete hao wafugaji wanaohitaji elimu hawajui pa kuipata nami nitawaonesha
 
salmin siraj Idrissou02 wengine hao, hapo unapata elimu mpaka unacheua. Unapata mbegu Bora na kila kitu kinachohusu ufugaji. Elimu haikufuati, wewe ndiye unaifuata elimu.
Nothing worth comes free! Acheni kujifungia na Lawama hazikufikishi popote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…