kwahivo kwakua demand ya tsh haiwezi kukua this means value of money will be a determinant factor for the growth of economy?
kama faranga ya rwanda ipo juu ya tsh, ni vitu gani vya ziada unaweza fanya na faranga ushindwe kufanya kwa tsh.Kifupi ni hivi,
Unaweza kufanya vingi ukiwa na dola than Tsh...
Floating of currency inaathiriwa zidi na demand ya particular currencies.
kama faranga ya rwanda ipo juu ya tsh, ni vitu gani vya ziada unaweza fanya na faranga ushindwe kufanya kwa tsh.
Tuanzie hapo,
Ipo juu kivipi?, in terms of nominal value or Real value?.
Kama ni Nominal value hiyo inaweza ikawa kwa sababu za evaluation ya currency yao
against yetu au devaluation ya currency yetu dhidi ya yakwao.
Devaluation ni kitendo cha hiyari kinachofanywa na serikali mahsusi kwa ajili ya kuboost exportation volume
ambapo tanzania inaongoza kwa mazao ya kilimo.
Hela yetu inapokua chini muda mwingine inasaidia ku incourage export na ku discourage imports.
Incase ya real value of money ya Rwanda kuwa juu zaidi ya TZ hiyo sina uhakika.
kama faranga ya rwanda ipo juu ya tsh, ni vitu gani vya ziada unaweza fanya na faranga ushindwe kufanya kwa tsh.
Hapa kuna kitu kinaitwa devaluation na hii ni kwasababu ya kupromote exports sana. China na Japan ni mabingwa wa kufanya hii kitu
china na japan wanakila sababu ya kushusha thamani ya hela yao, kwa maana wana uwezo mkubwa wa kuhimili soko lao la ndani. Kwa nchi kama yetu ambayo ina nakisi ya biashara ya nje yaani thamani ya export - import = -ve, ukishusha thamani ya fedha yetu unasababisha mfumuko wa bei, hili tumeliona kipindi cha Mh. Mwinyi; thamani ilishushwa sana kiasi mfumuko ulikuwa kwenye tarakimu mbili.
Kifupi ni hivi,
Unaweza kufanya vingi ukiwa na dola than Tsh...
So dola itaendelea kuwa juu zaidi ya Tsh...
Ni kama sun LG bodaboda na Suzuki vitara gari, unatakiwa inipe bodaboa kama kumi ili nikupe gari tajwa.
Floating of currency inaathiriwa zidi na demand ya particular currencies.
kwahivo kwakua demand ya tsh haiwezi kukua this means value of money will be a determinant factor for the growth of economy?
Fedha....currency ya nchi moja inauzwa na kununuliwa kama bidhaa nyingine yoyote kama fedha yako itahitajika sana lazima itauzwa na itakua juu lakini kama haihitajiki itazid kushuka maana yake ni nini bidha unazo uza inje ya inchi ndizo zitakazo determine fedha yako kununuliwa.kila unapo agiza bidhaa yoyote unahitaji currency ya nchi ile ili upate bidhaa husika
mfano poa. lakini na shaka kuna pesa ya arab ya oman na Kuwait ziko juu zaid ya $ nazinafanya poa. bado chumi zao ndogo ukilinganisaa na u s a
na hata wachina wa hindi. lakini pesa kama kuwait demand sio kubwa kama dola hem niweke sawa hapa mkuu?