GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,286
- 6,736
Habarini wana JF, naomba kujua kutoka kwenu wataalamu wa uchumi ni nini kinasababisha fedha ya nchi kushuka thamani? Pia naomba kufahamishwa ni sababu zipi zimepelekea kushuka thamani kwa fedha ya Tanzania (Shilingi). Je uwepo wa fedha nyingi za bandia unaweza kuchangia kushusha thamani ya Fedha? Kuna uhusiano wowote wa thamani ya fedha na maendeleo ya nchi?