Umeshakula Mogoka?ww ulirogwa πππ
ndio. ww vipi? hutaki?Umeshakula Mogoka?
Hakuna hata moja hapo.. Ni nchi yenye watu watata na wenye confidence.Kwa Wakenya, ukiwatajia neno Tanzania, haya ndiyo huwajia akilini mwao:
1. Kwa ndugu zao
2. Nchi yenye vivutio vingi
3. Nchi yenye wasanii bora
4. Nchi yenye uongozi Bora
5. Nchi ya wakarimu
Wewe unaona nini akilini mwako usikiapo neno Kenya?
View attachment 3004170
Ndio maana hamna akili,mtaishia kwenda Gulf kuosha matako ya waarabu,wasomali wana control uchumi wenundio. ww vipi? hutaki?
ukaksi