Nini husababisha vikombe kugongana ndani ya Kabati?

Nini husababisha vikombe kugongana ndani ya Kabati?

Sidhan km umenielewa mkuu
Wakati unachukua kimojawapo.

Assume umesafari hata mwez wanasema ukiviacha vikombe kwa distance ndogo lakini mfano sentimita tano lazima itatokea Vitagusana assume no external factors km za kusukumwa na panya
 
Ukweli ni kuwa kwenye nyumba nyingi kuna viumbe vinaishi humo visivyoonekana
Sasa wewe ndio umeanza kuongea pointi.

Umesema ukweli lakini hawa viumbe hawana uwezo wa kusogeza vyombo UNLESS wako na uchafu mwingi sana wa kiroho eg. Hasira kali, kisasi na majuto.

It is a rare case, lakini wengi wao hawana uwezo wa kusogeza hata kiberiti. Wapo wapo tu kama hewa uchwara.

Now let's go back to my previous point, vikombe vinapenda sana kudinyana usiku.

Ukipiga chabo unakuta vinakula uroda kimya kimya. Ukijifanya kuamka vinarudi mahala pake haraka haraka.
 
Back
Top Bottom