Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ulivionaje kama ni visivyoonekana mkuu?Ukweli ni kuwa kwenye nyumba nyingi kuna viumbe vinaishi humo visivyoonekana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivionaje kama ni visivyoonekana mkuu?Ukweli ni kuwa kwenye nyumba nyingi kuna viumbe vinaishi humo visivyoonekana
Wakati unachukua kimojawapo.
Anha hapo nimekusoma walitaka kumaanisha hata km mkipendana sana iko siku mtakwazana.kuhusu tetemeko kweli huenda ndio chanzo kikubwaHizo ni nahau,mbinu,misemo na mafumbo ya lugha tu ya kiswahili.
KUMBUKA:Tetemeko la ardhi likipita vitagongana tu.
Nishapata jibu Tayari kumbe ile ni misemo ya wanandoa kuonyesha ugomvi lazima utokeemada unaakili timamu?
natanguliza samahani!
Sasa wewe ndio umeanza kuongea pointi.Ukweli ni kuwa kwenye nyumba nyingi kuna viumbe vinaishi humo visivyoonekana
Mwakani 😂🤗🤗😂Lini utakuwa na akili 🤣🤣🤣