[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] you said well my brother.
Inatakiwa tuzithamini afya zetu wenyewe mana hao wafanyabiashara wanachoangalia wao ni pesa.
Hatimaye nimegongana na comment yako. Lol.
Ntaota leo. [emoji2] [emoji2] [emoji2] .[emoji16][emoji16]leo tumekutana dah
Shukran mkuu.Uchambua vyema mkuu.
Naam,upo sahihi mkuuMkuu dushe kusimama si linategemea mzunguko mzuri wa damu. Hivyo hutumia kama booster...
Wote tunajua tutakufa mkuu,lakini... tujitahidi isiwe kizembe.....Kwani wewe mkuu unataka kuishi miaka mingapi hapa Duniani? By the way unaweza 'ukalinda afya' ajali ikakuchukua ungali kijana mbichi...
Poa poa. Pamoja sana mkuu.Naam,upo sahihi mkuu