kauzu12
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 868
- 783
We utakua msabatoSitumii SODA YOYOTE
Situmii ENERGY DRINK YOYOTE NA SIJAWAHI TUMIA
Situmii MAJANI YA CHAI
Situmii DAWA YOYOTE YA HOSPITALI WALA SINDANO.
Kwasababu tu ninatumia vitu vitatu:-
1) Maji ya kunywa ya vuguvugu
2) Asali mbichi tena mwitu.
3) Dawa za unga ya asili kabisa ya kimasai.
HAKIKA nina nguvu na nipo active siku zote kama FARASI.
Ni kwa miaka mingi kweli na Mwenyezi Mungu ni shahidi yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app