GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Ushanfahanu Shehe!Zanzibar ingekua nje ya muungano huu wa mchongo ingekua maarufu zaidi.
Nshakufahamu uzuri yakhe😅Ushanfahanu Shehe!
Zanzibar imetoa ma-Rais wa Muungano wawili tofauti na Comoro. Ndo umaarufu ulianzia hapoNshakufahamu uzuri yakhe😅
Zaidi ya ilivyo sasa?Zanzibar ingekua nje ya muungano huu wa mchongo ingekua maarufu zaidi.
comoro ikijiunga na tanganyika itaipiku zanzibar. Sijui kwa nini kina nyerere hawakuona umuhimu wa kuviunganisha visiwa hivyo na tanganyika. Muda upo kama vipi mazungumzo yafanyike comoro iwe sehemu ya tanzania, wale ni waswahili wenzetu tuwajumuishe kama zanzibarZote ni visiwa katika bahari ya Hindi. Lakini ukivlinganisha, Zanzibar ni maarufu zaidi.
Kwa nini imekuwa hivyo?
Inaweza kuwa ni kwa vile Zanzibar inanufaika na rasilimali za Tanganyika? Comoro ikipata fursa ya kuvifaidi vya Tanganyika kama Zanzibar itaweza kuwa maarufu kama Zanzibar?
Mbona inasemekana wanaoongea Kiswahili ni kama asilimia moja ya Wacomoro?comoro ikijiunga na tanganyika itaipiku zanzibar. Sijui kwa nini kina nyerere hawakuona umuhimu wa kuviunganisha visiwa hivyo na tanganyika. Muda upo kama vipi mazungumzo yafanyike comoro iwe sehemu ya tanzania, wale ni waswahili wenzetu tuwajumuishe kama zanzibar
mema ya Tanganyika ni kiduchu, ukilinganisha na speed ya Zanzibar ilivyokua ikijipanga kujisimamia yenyewe kiuchumi kabla ya muungano.Zaidi ya ilivyo sasa?
Unajua jinsi Zanzibar inavyofaidi mema ya Tanganyika?
Comoro wanafaidi mema ya France waje kujichanganya Tena Kwa Mwenezi?comoro ikijiunga na tanganyika itaipiku zanzibar. Sijui kwa nini kina nyerere hawakuona umuhimu wa kuviunganisha visiwa hivyo na tanganyika. Muda upo kama vipi mazungumzo yafanyike comoro iwe sehemu ya tanzania, wale ni waswahili wenzetu tuwajumuishe kama zanzibar
FranceKwani Comoro walikua koloni la nani?
Ndio maana angekua Mwingereza au Mjerumani, Ila hao Comoro kwenye mpira ni habari nyingineFrance
MPIRA GANI HUO?MBONA HAWAPO KWNYE CHATI YA CAFNdio maana angekua Mwingereza au Mjerumani, Ila hao Comoro kwenye mpira ni habari nyingine
FIFA WCQL waangalieMPIRA GANI HUO?MBONA HAWAPO KWNYE CHATI YA CAF