Nini inaifanya Zanzibar iizidi Comoro kwa umaarufu?

Comoro (Huitwa 'The Comoros' kwa kuwa ni mkusanyiko wa visiwa vitatu vya Ngazija (Ngazidja/Grand Comore), Anzwani (Anjouan) na Mwali (Moheli). Kisiwa cha nne cha Mayotte kilicho jirani, kiutawala kipo chini ya Ufaransa. Kuna tetesi kuwa enzi za Rais Ahmed Abdallah Sambi, serikali ya Comoro iliomba kujiunga na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania; lakini ikaonekana aina au muundo wa muungano tulionao kati ya Tanganyika na Zanzibar hauruhusu nchi nyingine kujiunga!
 
Zanzibar ina mashoga wengi sana kuizidi Comoros [emoji1076] maana hadi maafande wanapigwa miti kinoma
 
Imenikumbusha mbali chifu, ngazija, Mayotte, anzwani.....Daah. Historia ya visiwa vya Afrika katka Bahari ya Hindi enzi ezo. Seychelles.
 
Na zaidi ya hapo na tanganyika inaendelea kuinyonya zanzibar kimataifa kwa kuitumia furusa za muunguno zanzibar ilikua nchi kamili uelewe hilo kwanza
 
Muondeleze kimataifa kuvinyonya visiwa mkitumia mgongo wa muungano wkt watanganyka wenyw wavivu wa kutumia furusa walokua nazo lkn chuki zao zote wameelekza kwenye zanzibar inofurasa chache za kiuchumi kwanza
 
Hata hivi sasa ukiangalia kati ya miaka 15 ilopita kumekuwa na maboresho ya uendeshaji wa smz kwa kila awamu kwa kasi na hata usimamiz wa miradi unaenda lwa speed sn na utekelezaji wk kulinganisha tz bara na inatarajiwa miaka 15 ijayo kwa speed hii znz itakua na mabadiliko makubwa sn nynyi endeleeni kupanga tarehe za maandamano wazanzibar wana msemo wao wamepoteza muda mwingi kwa siasa chafu sasa ni wkt wa kujenga kiuchumi na miundo mbinu zanzibar
 
Mwaka 1840 uk na usa teari wana balozi znz kasome history.
 
mema ya Tanganyika ni kiduchu, ukilinganisha na speed ya Zanzibar ilivyokua ikijipanga kujisimamia yenyewe kiuchumi kabla ya muungano.
hiyo speedi inazuiwa na nn wakat ina rais ,mawaziri na ina mambo kibao yasiyo ya muungano!!

Hizi siasa za watu wa vijiwe vya kahawa bana!!…
Hao wazanzibar elimu dunia ni sifuri ! labda wangekua maarufu kwa kusafirishwa kwenda oman kufanya kazi
 
Muungano
 
Zanzibar ingekua nje ya muungano huu wa mchongo ingekua maarufu zaidi.
Kwa upumbavu wenu wa mara kupiga watu ramadhani mara kuzuia waisrael wasijenge hotel huko mara vile sijui..
Msingemuona mtu yaani mngekuwa kama mafia tu.
 
Kwa upumbavu wenu wa mara kupiga watu ramadhani mara kuzuia waisrael wasijenge hotel huko mara vile sijui..
Msingemuona mtu yaani mngekuwa kama mafia tu.
😂😂😂Mafia imelala yooo
 
Zanzibar sio nchi bali jimbo la Tanganyika
Katiba ya Zanzibar Ya mwaka 1984 toleo la mwaka 2010..
Zanzibar Ni Nchi na ni miongoni mwa Nchi zinazounda Muungano wa Tanzania

Na kukuongezea Zanzibar ina majimbo zaidi ya 50
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…