SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
ATHARI ZA RAIS KUWA NA MAMLAKA KISHERIA KUTEUA MAJAJI
- Uhuru wa mahakama unaminywa.
- Utendaji kazi wa mahakama unadhorota.
- Usawa katika utoaji wa haki unapungua.
- Ni chanzo kikubwa cha rushwa katika mahakama.
- Rais anakua juu ya sheria.
- Ni chanzo cha ubadhilifu ndani ya serikali maana nguvu ya kuwashitaki wabadhirifu ambao ni viongozi wa juu.