Nini kauli ya Mahakama kama Muhimili kwa kauli ya Rostam Aziz kuidhalilisha mahakama ya Kisutu?

ATHARI ZA RAIS KUWA NA MAMLAKA KISHERIA KUTEUA MAJAJI

  • Uhuru wa mahakama unaminywa.
  • Utendaji kazi wa mahakama unadhorota.
  • Usawa katika utoaji wa haki unapungua.
  • Ni chanzo kikubwa cha rushwa katika mahakama.
  • Rais anakua juu ya sheria.
  • Ni chanzo cha ubadhilifu ndani ya serikali maana nguvu ya kuwashitaki wabadhirifu ambao ni viongozi wa juu.
 
MAHAKAMA haina cha kumfanya RA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…