Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
*Wenye pesa wanachapiwa.
*Maskini wanachapiwa.
*Wenye nguvu za kiume wanachapiwa.
Sasa ili kuepuka kuchapiwa nini kifanyike? Ili kuepuka kuchapiwa wanume oeni mabikra.
Lakini ukijikita kutafuta hela ukapuuzia kutafuta bikra itakula kwako na utaabika mitandaoni kama akina fulani wenye hela lkn washachapiwa.
Wanaume tafuteni bikra
Na haya mambo ya kusaidia kimaisha na wake ndio mlango wenyewe huo, mwanamke unatakiwa umuoe na akae ndani kama malkia.. sio na yeye akakita na Procure officer ma MD utalia tu.. kaangalie wahindi wanavyo ishi na wake zao.. kwanza kumjua mke ni kipengele na alipo mume mke yupo [emoji28][emoji28]
Ukishindwa mchunga, ndio umekubali lolote na liwe.. kuna mfumo wa maisha ambao kwenye ndio tunaweka no na kwenye no tunaweka Yes. Mwanamke ni wa kulindwa usipo mlinda na kuhakikisha yupo salama, lolote litatokea.. assune mwanamke uka mu expose kwa watu 100 na kwa 20 wapi kuna risk kubwa ?[emoji23][emoji23][emoji23] kwahio unafikili unaweza kumchunga mwanamke?
Ukishindwa mchunga, ndio umekubali lolote na liwe.. kuna mfumo wa maisha ambao kwenye ndio tunaweka no na kwenye no tunaweka Yes. Mwanamke ni wa kulindwa usipo mlinda na kuhakikisha yupo salama, lolote litatokea.. assune mwanamke uka mu expose kwa watu 100 na kwa 20 wapi kuna risk kubwa ?
Mwanaume ni Protector kwa mwanamke wake. Ukiweka balance sawa tu ya Me na Ke umeruhusu tatizo.. iia kusema atajilinda tu ni mtu mzima imekula kwakoIla mwanaume ndio sababu kuu
Siyo kwa miaka hii ndugu ambapo bongo za wanadamu zimetekwa na pesa na material things.akitokea anayekuzidi hayo tu akamtongoza anachapwaIli kuepuka kuchapiwa OA MWANAMKE ANAYEKUPENDA SANA.
Mwanamke anayekupenda kutoa uchi wake ni ngumu mno. Tena Sana.
Mwanamke kazini anakutana na pressure kubwa sana.. kuchanua ni anytime[emoji23][emoji23][emoji23] walio oa ma pc wanashida saba yaani wanachapiwa sana mke anainanishwa ofisini
Sasa hiyo haipaswi kuwa hivyo mtaleteana magonjwa na kukoseana heshima.Mm siwezi mchunga kwakwli afanye huko na mimi nafanya huku ila heshima iwepi
Mwanaume ni Protector kwa mwanamke wake. Ukiweka balance sawa tu ya Me na Ke umeruhusu tatizo.. iia kusema atajilinda tu ni mtu mzima imekula kwako
Hiyo ni tabia ya mtu inaitwa hulka, kama umeowa mwanamke mwenye tabia ya kuwashwa chini ataliwa tu hata na Bodaboda.*Wenye pesa wanachapiwa.
*Maskini wanachapiwa.
*Wenye nguvu za kiume wanachapiwa.
Sasa ili kuepuka kuchapiwa nini kifanyike? Ili kuepuka kuchapiwa wanume oeni mabikra.
Lakini ukijikita kutafuta hela ukapuuzia kutafuta bikra itakula kwako na utaabika mitandaoni kama akina fulani wenye hela lkn washachapiwa.
Wanaume tafuteni bikra
Mwanamke kazini anakutana na pressure kubwa sana.. kuchanua ni anytime
Ooh! Basi fresh nzee kama anakuogopaSitaki mawazo kwaza mm naongea kwa nadra sana na nikiongea na maanisha huwa ananiogopa siku mmoja aliniuzi nikachomoa mkanda sikumpiga ila nilimtisha mpaka leo heshima
Sasa hiyo haipaswi kuwa hivyo mtaleteana magonjwa na kukoseana heshima.
Mwanamke anachungwaje? hebu tupe elimu kwanza tukuelewe huenda una hoja ingawa Mimi naona unaandika ujinga mtupu.Mwanaume ni Protector kwa mwanamke wake. Ukiweka balance sawa tu ya Me na Ke umeruhusu tatizo.. iia kusema atajilinda tu ni mtu mzima imekula kwako
ππππ umemaliza hapoMimi naona unaandika ujinga mtupu.
Au mwanaume mwenyeweAkuna cha kufanya huo ni uamuzi wa mwanamke mwenyewe
Unafuraha mwenyewe kisamwenzio kachapiwa pusi yake kareeeFanya mwanamke kama mboni ya jicho lako. Mfiche kama kitu cha thamani sana.. ( ishi kama kiindi vile ) π π π ala sie wenza wetu tuna wa expose sana, wanaonekana sana na kila aina ya watu kuanzia makazini kwenye vikoba.. sio kwamba wanapenda ku cheat pressure inakuwa kubwa sana hadi wanaachia mzigo
Hakuna mwanamke anayekupenda sana isipokuwa mama yako, shika na uelewe hilo. We mtu ameishi miaka 20 na bila kukujua wewe, leo akupende wewe kama nani!Ili kuepuka kuchapiwa OA MWANAMKE ANAYEKUPENDA SANA.
Mwanamke anayekupenda kutoa uchi wake ni ngumu mno. Tena Sana.
Alikuwa anamfanya mke wake kama bidhaa, hauwezi ishi na mwanamke vile ukatoboaUnafuraha mwenyewe kisamwenzio kachapiwa pusi yake kareee