- Thread starter
- #141
Hahah! Kuna watu wanachapiwa tangu uchumbaMkuu kuchapiana ni jambo la kawaida.
Usiweke maanani haya mambo omba Mungu akukinde alinde familia yako
Kuwa mwaminifu na Mungu hatokuaibisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah! Kuna watu wanachapiwa tangu uchumbaMkuu kuchapiana ni jambo la kawaida.
Usiweke maanani haya mambo omba Mungu akukinde alinde familia yako
Kuwa mwaminifu na Mungu hatokuaibisha
🤣🤣🤣🤣Amazing story, wakataa ndoa hatutegeki wala kuyumba, kataa ndoa ni kataa ndoa haina mbambamba
Best wangu kaowa mkewe akiwa bikra sasa mchepuko wa mtu 🤣🤣Ili kuepuka kuchapiwa wanaume oeni mabikra.
Huyu mwanamke atakuwa na vinasaba (genes) vya kucheluka lkn walio wengi hawachepukiBest wangu kaowa mkewe akiwa bikra sasa mchepuko wa mtu 🤣🤣
Unajidanganya sana. "Wengi" haimaanishi "Wote".[emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana nikakwambia sitaongea kitu basing on feelings, nitaongea basing on facts. Nimekuambia facts zote nakukuelezea, hivyo kama ni perceptions kama unavyowaza ni wewe. Ila the factual statement ni kwamba feelings hazitengenezwi over thin air zinabases. Nanimekuelezea, hivyo it will never change the truth, hakuna mwanamke asiyekuzaa anayekupenda kwadhati hakuna. Pia nikakuelezea kwanini feelings za upendo kwamama na mtoto huanza kusuasua mpaka kufikia hatua ya kuchukua hatua ya kumchukia na kuua mtoto. Everything has an explanation, I mean everything! Nashika hili, ubongo ukishapata amani utatengeneza state of mechanism au one factor ili kuitunza amani ikiwepo kuamini kuwa mke wangu ananipenda kwadhati, hii husaidia kuitunza hiyo amani. But no woman will ever love you truly if your not from her womb. Never
Mi napenda hiyo kwa kweli.Unaonaje watu waanze kuwa na ile open relationship/marriage.
Yaani mko pamoja kwenye ndoa au mahusiano lakini kila mtu yuko huru kutoka nje kunyanduana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuwafanya wanawake kipaumbele cha maisha yenu kitawaumiza sana nyie mafala
Mwanamke ishi nae kama paka tu
We akikisha tu amekula ameshiba
Ataenda kuzulula jion atarudi
Na Kuna kipindi paka anatoroka wiki akirudi ana mimba na humfukuzi
Fanya mambo yako mwanamke sio wa kuchungwa
Hizi ndio ndoa sasa hakuna kufuatiliana wala wivu wa kijinga. Ni mwendo wa kurenew mkizinguana haina kusaini mkatabaMi napenda hiyo kwa kweli.
Au ndoa ya mkataba...tunarenew kila baada ya miaka 3. Na masharti tunawekeana. Watu akili zitanyooka
Atakuwa ana mafantasy yake huyo 😀😀😀Ukiona hataki protection achana nae, atakuwa ana ajenda nzake mbaya
[emoji16]Ni kudai katiba mpya
Hiyo ilikuwa jana nanimechoka kuillustrate, so I really don't care! Tufanye kazi leo ni Jumatatu!
Dawa ni kutooa.*Wenye pesa wanachapiwa.
*Masikini wanachapiwa.
*Wenye nguvu za kiume wanachapiwa.
Sasa ili kuepuka kuchapiwa nini kifanyike? Ili kuepuka kuchapiwa wanaume oeni mabikra.
Lakini ukijikita kutafuta hela ukapuuzia kutafuta bikra itakula kwako na utaabika mitandaoni kama akina fulani wenye hela lkn washachapiwa.
Wanaume tafuteni bikra
Havina uhusiano.Paka kula panya siyo habari lkn panya kula paka ndiyo habari. Nadhani umenielewa.
Hatimaye mnakufa kwa UKIMWIMm siwezi mchunga kwakwli afanye huko na mimi nafanya huku ila heshima iwepi
Wale wa wapemba hata ukiachiwa hapo humfanyi chochote, kwanza tofauti na mume wake wewe atakuona kama mwanamke mwenzake tu.Labda mfanye kama wapemba wanafungia wake zao ndani kama misekule[emoji23][emoji23]...Hawataki wakazoeana hata na majirani kila kitu wanawawekea ndani
🤣🤣🤣🤣🤣Wale wa wapemba hata ukiachiwa hapo humfanyi chochote, kwanza tofauti na mume wake wewe atakuona kama mwanamke mwenzake tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndo umeongea point, itakuwa ngumu sana kukucheat.Sema nini ukioa mwanamke aliye kupenda itakuwa ngumu sana ku chepuka.