Nini kifanyike Jeshi la Polisi lianze kutenda haki?

Ubambikiaji umekuwa sera rasmi ya wanakijani na wasaidizi wao.
 
Kunyamaza sii dawa,kukatatamaaa sii dawa,kushima jembe na kwenda kulima bado sii dawa,ila mabadiliko ya kweli yenye kujenga mifumo imara,na yote ni kupitia katiba mpya tu.Mengine yatanengwa kutokana na hapo.
 
Siku wakiacha tu kutumiwa na si si emu kama 🦮🐕‍🦺 , ndiyo siku ambayo wataanza rasmi kutenda haki. Hata lile jina lao la polisisiemu huenda likaishia hapo.
 
Mungu apishie mbali - hayo ni maombi yetu sote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…