Nini Kifanyike kuepukana na mdororo wa uchumi ambao hutokea mwezi january?

Nini Kifanyike kuepukana na mdororo wa uchumi ambao hutokea mwezi january?

Wakili wa shetani

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2022
Posts
1,726
Reaction score
3,391
Imekuwa kama wimbo. Kila ikifika january maisha kuwa magumu na watu kulalamika kuwa hali mbaya, kama vile ni jambo la sifa. Sasa si vyema watu wazima kulalamikia(Kushabikia) tatizo miaka nenda rudi. Tuje na suluhisho ambalo litakomesha mdororo wa uchumi ambao hutokea mwezi januari.

Wazo langu. Benki kuu, kupitia mabenki ya biashara yatoe mkopo special wa mwezi january hasa kwa wafanyakazi. Wote wanaopata mishahara wapewe labda mara mbili ya take home yao kwenye mwezi januari. mwanzo na mwisho wa mwezi. Riba iwe ndogo iwezekanavyo na mkopo huo aulipe kwa miezi 12. Mfano mtu take home yake ni 700,000. Basi mwezi januari apewe 700,000 mwanzoni mwa mwezi na laki saba nyingine mwishoni mwa mwezi. hii laki saba ailipe kwa miezi 11 ijayo. Labda kwa riba ya 10% tu.
wafanyakazi wote, wa sekta binafsi na serikali wakipewa huu mkopo itaongeza sana mzungfuko wa pesa. Pia inaweza angaliwa na namba ya sekta zingine kama wafanyabiashara na wengineo namna ya kupata kitu kama hicho.
 
Imekuwa kama wimbo. Kila ikifika january maisha kuwa magumu na watu kulalamika kuwa hali mbaya, kama vile ni jambo la sifa. Sasa si vyema watu wazima kulalamikia(Kushabikia) tatizo miaka nenda rudi. Tuje na suluhisho ambalo litakomesha mdororo wa uchumi ambao hutokea mwezi januari.

Wazo langu. Benki kuu, kupitia mabenki ya biashara yatoe mkopo special wa mwezi january hasa kwa wafanyakazi. Wote wanaopata mishahara wapewe labda mara mbili ya take home yao kwenye mwezi januari. mwanzo na mwisho wa mwezi. Riba iwe ndogo iwezekanavyo na mkopo huo aulipe kwa miezi 12. Mfano mtu take home yake ni 700,000. Basi mwezi januari apewe 700,000 mwanzoni mwa mwezi na laki saba nyingine mwishoni mwa mwezi. hii laki saba ailipe kwa miezi 11 ijayo. Labda kwa riba ya 10% tu.
wafanyakazi wote, wa sekta binafsi na serikali wakipewa huu mkopo itaongeza sana mzungfuko wa pesa. Pia inaweza angaliwa na namba ya sekta zingine kama wafanyabiashara na wengineo namna ya kupata kitu kama hicho.
Hakikisha una save 2K Daily. mpaka january una 700K.
 
Mleta ungesema mdororo wa uchumi na familia yako usiongelee wengine

Wengine January ndipo kipato huongezeka hasa wafanyakazi wa serikali waliokopa wakawekeza vitega uchumi sio wale wakikopa wakanunua magari ya kutembelea na kununua furniture za ndani za bei mbaya na kuzibomoa kwenye starehe
 
Mleta ungesema mdororo wa uchumi na familia yako usiongelee wengine

Wengine January ndipo kipato huongezeka hasa wafanyakazi wa serikali waliokopa wakawekeza vitega uchumi sio wale wakikopa wakanunua magari ya kutembelea na kununua furniture za ndani za bei mbaya na kuzibomoa kwenye starehe
Hata vitega uchumi januari haviendi. Mzunguko wa pesa unakuwa chini sana. Biashara pekee inayoshamiri ni ya shule.
 
Hata vitega uchumi januari haviendi. Mzunguko wa pesa unakuwa chini sana. Biashara pekee inayoshamiri ni ya shule.
Uongo Defember hii watu wamepokea kodi za nyumba zao wakizopangisha kodi

Ukiwa na duka la stationery ,uniform nk January ndio mwezi wa kuvuna pesa watoto wanaanza shule na wengine mihula mipya wanahitaji vifaa nk

Kukopa bila kuwekeza upuuzi mtupu

Hakiksha unachokopa unawekeza vinginevyo kila siku utakuwa wa kulia lia mikopo iongezeke
 
Uongo Defember hii watu wamepokea kodi za nyumba zao wakizopangisha kodi

Ukiwa na duka la stationery ,uniform nk January ndio mwezi wa kuvuna pesa watoto wanaanza shule na wengine mihula mipya wanahitaji vifaa nk

Kukopa bila kuwekeza upuuzi mtupu

Hakiksha unachokopa unawekeza vinginevyo kila siku utakuwa wa kulia lia mikopo iongezeke
Ndiyo maana nikakwambia biashara inayoenda ni ya shule tu. Zingine zote, zinakwama. Hujawahi kusikia watu wakilalamika ugumu wa maisha na biashara kudoda mwezi wa kwanza? Umesikia mwezi ukihusishwa na ugumu wa maisha kama january?
 
Sabb wengi jan huwa wanalalamika masuala ya ada
Naona shule ziangalie namna ya ulipaji wa hizi ada zisikutane na jan ziangukie mwezi wa nne huko
Ni maoni tu 🍻
 
Ndiyo maana nikakwambia biashara inayoenda ni ya shule tu. Zingine zote, zinakwama. Hujawahi kusikia watu wakilalamika ugumu wa maisha na biashara kudoda mwezi wa kwanza? Umesikia mwezi ukihusishwa na ugumu wa maisha kama january?
Eneo ninaloishi sijawahi kusikia hilo labda huko kwenu
 
Ni sawa na rafiki yako anayekupigia simu eti nikope laki 3 au 5 mke wangu amejifungua Sina kitu, kwani mimba Ina miezi mitatu, minne hadi tisa unakuwa huioni?, Kwani kabla ya January kufika miezi minne kabla unakuwa hujui kwamba January inakuja?, tatizo watanzania au watu weusi hawanaga budget, wanaenda tu kama mazombie December wanatumbua ela pasipo plan wengine uwezo hawana wanalazimisha kusafiri na familia nzima kwa kufuata mkumbo matokeo yake ndo haya ya kuja kuanzisha thread za kifara. Serikali ikusaidieje na pesa ulizokusanya mwaka mzima umezila kati ya tarehe 18 hadi 31 December?,na unakuja hapa kusingizia January ngumu!?
 
Ni sawa na rafiki yako anayekupigia simu eti nikope laki 3 au 5 mke wangu amejifungua Sina kitu, kwani mimba Ina miezi mitatu, minne hadi tisa unakuwa huioni?, Kwani kabla ya January kufika miezi minne kabla unakuwa hujui kwamba January inakuja?, tatizo watanzania au watu weusi hawanaga budget, wanaenda tu kama mazombie December wanatumbua ela pasipo plan wengine uwezo hawana wanalazimisha kusafiri na familia nzima kwa kufuata mkumbo matokeo yake ndo haya ya kuja kuanzisha thread za kifara. Serikali ikusaidieje na pesa ulizokusanya mwaka mzima umezila kati ya tarehe 18 hadi 31 December?,na unakuja hapa kusingizia January ngumu!?
Hata wazungu uchumi ukiwa mgumu huwa hawasave chochote. Acha habari za ubaguzi wa rangi, ni ushamba. Sasa basi, uchumi huwa unadorora mwezi january, na hili linaathiri watu wote, hata wasio na anasa. Nini kifanyike kuondokana na tatizo hili? Hiyo habari ya kusave siyo feasible kabisa. inafaa tu kama nadharia.
 
Huu uzi naona umechelewa kuja, why hukufikiria 3/2 months ago.
Huenda hata mtu hapa angekuwa motivated kusave zaidi.
January ni kesho tu😮‍💨😮‍💨
Kwa kipato hiki cha uchumi wa kati wa chini na mfumuko wa bei kusave ni ngumu sana.
 
Hata wazungu uchumi ukiwa mgumu huwa hawasave chochote. Acha habari za ubaguzi wa rangi, ni ushamba. Sasa basi, uchumi huwa unadorora mwezi january, na hili linaathiri watu wote, hata wasio na anasa. Nini kifanyike kuondokana na tatizo hili? Hiyo habari ya kusave siyo feasible kabisa. inafaa tu kama nadharia.
Bado hujaelewa, kwanini mnalalamikia January wakati mnajua December mzunguko unakuwa mkubwa sana?,jibu ni kwamba watu wanakuwa wametumia ela December na January hawana kitu. Hilo ndo jibu. Sasa kwanini utumie nje ya uwezo?, Umewahi kusikia nchi yoyote ya ulaya wanalalamikia January hakuna ela?,au ni nyie shitholes countries mnaoishi na kutumia pesa bila mahesabu!?.., NB:, Mimi sio mbaguzi ila naongelea uhalisia bila kujali kama utakuudhi.
 
Back
Top Bottom