Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uadilifu na utawala wa sheriaWanajamvi.
Ili nchi yoyote iweze kiendelea inahitaji wananchi wake wawe na uzalendo. Kwa maoni yenu, nini Kifanyike ili kukuza uzalendo miongoni mwetu sisi raia wa Tanzania?
Na Ndo mana mwaka huu tunawapa nchi Chadema. Enough is enough!!!Bila kuitoa ccm madarakani uzalendo itakuwa ngumu kuwepo nchi hii. Sasa hivi kuna uzalendo wa mdomoni na tumboni na sio moyoni. Hali hii imesababisha kuwa vigumu kutofautisha uzalendo na ujinga.
Ongezea haki!!Uadilifu na utawala wa sheria
Sawa ila nafikiri uzalendo ni kwetu wote sio kwa mtu mmoja ingawa Rais anatakiwa kuwa mzalendo namba moja. Hili Magufuli ameliwezaTafuta clip moja ipo youtube magufuli alipoonana na viongozi wakuu wastaafu. Kuna maneno aliambiwa na Majaji wakuu wastaafu Augustino Ramadhan (Mungu amrehemu) na Barnabas Samata. Majibu ya hilo swali lako yapo kwenye michango yao kwenye kile kikao
Kama huwezi kuiona mwambie mkuu bagamoyo akuletee ile clip humu
Huu ulikuwa mkutano mubashara na ni Rais aliyeuita. Hamuoni kuwa hapo ni uzalendo kwa Rais kutaka kijifunza kutoka kwa wazee hao?Asante sana mkuu Bagamoyo. Uko sehemu sahihi wakati sahihi
Je baada ya huo mkutano kulikuw na mabadiriko??? Raisi alijifunza nini baada ya kupewa hizo nondo???Huu ulikuwa mkutano mubashara na ni Rais aliyeuita. Hamuoni kuwa hapo ni uzalendo kwa Rais kutaka kijifunza kutoka kwa wazee hao?
Ni hali ya kuipenda, kuijali na kuithamini nchi na kuwa tayari hata kufa katika kuiteteaUzalendo nini?
Basi hio kitu haipo tena dunia hii na haitakuwepo labda Imebaki kwa Tundu Lisu tuNi hali ya kuipenda, kuijali na kuithamini nchi na kuwa tayari hata kufa katika kuitetea
Tuiondoe ccm madarakani everything gonna be alrightWanajamvi.
Ili nchi yoyote iweze kiendelea inahitaji wananchi wake wawe na uzalendo. Kwa maoni yenu, nini Kifanyike ili kukuza uzalendo miongoni mwetu sisi raia wa Tanzania?
Umesema vizuri sana kiongozi. Sasa nini Kifanyike? Ilikuwaje Mwl. Nyerere akafanikiwa? Labda na sisi tuige hapoUzalendo uliisha pale Nyerere aliponga'tuka. Sisi wazee tulikuwa wazalendo wa kweli vijana waliozaliwa baada ya 1985 kwanza hawaelewi nini maana ya uzalendo alafu tamaa ya fedha za haraka haraka. Lakini tatizo la uzalendo sio TZ pekee inayolia hata nchi kubwa kama Russia, Ufaransa na nchi karibu zote za kiafrika zina matitizo ya raia kukosa uzalendo labda kidogo nchi za Arabuni zinajitutumua na hii ni kwa sababu utamaduni wao umeungana (linked) na dini vigumu kutofautisha culture na dini. Hii mada ni nzuri na muhimu sana hasa kwa taifa letu ambalo linapitia wakati mgumu sana usisahau pale viongozi walipoanza kulimbikiza mali na kupora mali za serikali wao na familia zao, walipojiingiza kupora mali asili, wanyama n.k na hasa muhimu ni hawa wahamiaji haramu waliojaa nchini wanakimbia kambi za wakimbizi alafu wanachanganyika na raia na vitambulisho vyote wanavyo