Amani Msumari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,830
- 972
- Thread starter
- #41
Anza kuondoa ubinafsi kwakoTuiondoe ccm madarakani everything gonna be alright
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anza kuondoa ubinafsi kwakoTuiondoe ccm madarakani everything gonna be alright
Jimama Kama jimama mtu wako hana sifa za uzalendoTupewe Lissu wetu.. Mumkabidhi tu kiti chake cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sasa hapo nani binafsi kati mm na wewe We unataka ccm madarakani muda wote na ndo waliofanya watu wawe wazalendo...... nakurudishia na wewe acha binafsiAnza kuondoa ubinafsi kwako
Wewe wajuaSasa hapo nani binafsi kati mm na wewe We unataka ccm madarakani muda wote na ndo waliofanya watu wawe wazalendo...... nakurudishia na wewe acha binafsi
Umenena vyemaWananchi wenyewe tujitambue kwanza na kuwa wa kwanza kuipenda nchi yetu
Kwa hio Kuwateka kina Azory Gwanda ni sehemu ya uzalendo?Ni hali ya kuipenda, kuijali na kuithamini nchi na kuwa tayari hata kufa katika kuitetea
Kunatakiwa umoja wa kitaifa ambao utajadari jambo la kitaifa, hiyo fursa haipo zinatumika akili zile zile kufikiri kwa niaba yetu 'We can not solve our problems with the same level of thinking'Wanajamvi.
Ili nchi yoyote iweze kiendelea inahitaji wananchi wake wawe na uzalendo. Kwa maoni yenu, nini Kifanyike ili kukuza uzalendo miongoni mwetu sisi raia wa Tanzania?
Hapa nachukua wazo la kuunda kamati ya kitaifa itakayokuja na mapendekezo ya nini Kifanyike. Wazo hili nimekuwa nalo muda SasaKunatakiwa umoja wa kitaifa ambao utajadari jambo la kitaifa, hiyo fursa haipo zinatumika akili zile zile kufikiri kwa niaba yetu 'We can not solve our problems with the same level of thinking'
Kwahiyo unamaanisha watanzania sio watu wa haki?Mithali 14:34
"Haki huinua taifa,bali dhambi ni aibu kwa watu wo wote"
Shida iko hapo!
Halafu?Tuiondoe CCM
Sasa hao waliozaliwa 1985 ndio walioanza kujilimbikizia mali ?Uzalendo uliisha pale Nyerere aliponga'tuka. Sisi wazee tulikuwa wazalendo wa kweli vijana waliozaliwa baada ya 1985 kwanza hawaelewi nini maana ya uzalendo alafu tamaa ya fedha za haraka haraka. Lakini tatizo la uzalendo sio TZ pekee inayolia hata nchi kubwa kama Russia, Ufaransa na nchi karibu zote za kiafrika zina matitizo ya raia kukosa uzalendo labda kidogo nchi za Arabuni zinajitutumua na hii ni kwa sababu utamaduni wao umeungana (linked) na dini vigumu kutofautisha culture na dini. Hii mada ni nzuri na muhimu sana hasa kwa taifa letu ambalo linapitia wakati mgumu sana usisahau pale viongozi walipoanza kulimbikiza mali na kupora mali za serikali wao na familia zao, walipojiingiza kupora mali asili, wanyama n.k na hasa muhimu ni hawa wahamiaji haramu waliojaa nchini wanakimbia kambi za wakimbizi alafu wanachanganyika na raia na vitambulisho vyote wanavyo
Mbona hiyo serikali yenu ya ccm huwa inawaita wazungu hao hao mabeberu.Mmmh! huyo SI ndio yule aliwataka wazungu waache kushirikiana nasi kwasababu anaamini serikali ndio ilimshambulia? Yaan kwasababu yake yeye mmoja watanzania wengine M55 wacheleweshewe maendeleo.
Ndio, ni yeye anaetaka ushoga Tanzania
Ndio, ni yeye anayepinga kila jema
Ndio, ni yeye asietaka tulimde rasilimali zetu kwa kigezo kuwa tutashughulikiwa
Cha kwanza kabisa ni kuiondoa ccm madarakani, wamefanya watanzania kuichukia nchi yao..Wanajamvi,
Ili nchi yoyote iweze kiendelea inahitaji wananchi wake wawe na uzalendo. Kwa maoni yenu, nini Kifanyike ili kukuza uzalendo miongoni mwetu sisi raia wa Tanzania?
Watawala hawataki kusikia kabisa maana hawataki mabadilikoHapa nachukua wazo la kuunda kamati ya kitaifa itakayokuja na mapendekezo ya nini Kifanyike. Wazo hili nimekuwa nalo muda Sasa