magufuli kadhibiti madini tumepata nini kama taifa? badala yake anakuja na maigizo ya laiser anampa madini na kujidai kayachimba? tangu lini mtu achimbe madini yake mwenyewe kasha akabidhiwe pesa mbele ya serikali na dolla nzima? kamdanganye babu yako kijijni