Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 3,092
- 5,386
Hapa nakaribisha michango ya namna ya kupunguza/kumaliza ajali barabarani. Nategemea kupata mawazo mapya na yanayotekelezeka. Angalizo, faini kubwa haiwezi kuzuia ajali!
1. Kuhusu mwendo kasi hasa wa mabasi ya abiria, nafikiria kuangaliwe utaratibu wa kupunguza mabasi mengi ya njia moja kuondoka muda sawa. Mfano kutokea stand kuu za miji mikubwa ambayo ni salama, kwa nini wasiangalia utaratibu wa kuruhusu mabasi kuanzia saa kumi: 04h00/04h30/05h00/05h30/06h00/ inamaana hadi inafika saa kumi na mbili na nusu mabasi yanakuwa yameshaondoka.
Sasa hivi abiria wanapenda mabasi ya kuwahi hasa wale wanaounganisha magari kwenda vijijini, baada ya kufika kituo cha mwisho: suluhisho yawepo mabasi yanayo ondoka mapema ili kusiwe na haja ya kukimbia.
1. Kuhusu mwendo kasi hasa wa mabasi ya abiria, nafikiria kuangaliwe utaratibu wa kupunguza mabasi mengi ya njia moja kuondoka muda sawa. Mfano kutokea stand kuu za miji mikubwa ambayo ni salama, kwa nini wasiangalia utaratibu wa kuruhusu mabasi kuanzia saa kumi: 04h00/04h30/05h00/05h30/06h00/ inamaana hadi inafika saa kumi na mbili na nusu mabasi yanakuwa yameshaondoka.
Sasa hivi abiria wanapenda mabasi ya kuwahi hasa wale wanaounganisha magari kwenda vijijini, baada ya kufika kituo cha mwisho: suluhisho yawepo mabasi yanayo ondoka mapema ili kusiwe na haja ya kukimbia.