Nini kifanyike kushinda kesi tunazoshtakiwa katika Mahakama za Kimataifa?

Nini kifanyike kushinda kesi tunazoshtakiwa katika Mahakama za Kimataifa?

mwanamichakato

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
1,188
Reaction score
1,090
Utajiri wa nchi yetu ni mkubwa ktk rasilimali mbalimbali kama misitu,madini,Mafuta na Gesi.

Mikataba ya siri mingi tulioingia na wawekezaji mingi imekuwa na matobo ya kutuadhibu inapotokea tumevunja,kusitisha ama vinginevyo..

Inavyoonekana mapungufu ya kimkataba yamekuwa yakichukuliwa kama kinga na siraha za wawekezaji kuendelea kunyonya au kutuumiza kiuchumi..

Nchi yetu imekuwa ikilipa mabilioni ya fedha kama fidia,adhabu na n.k na kutikisa uchumi wetu dhaifu na kusababisha maumivu makubwa.

Ni wakati wa kuweka mikakati sawa ya kuhakikisha tunakuwa na nguvu kubwa ya kupambana na ukoloni mamboleo.

Napendekeza hatua zifuatazo:-

1: Hatua kali zichukuliwe kwa wote wanaohusika kuingia mikataba isiyo na maslahi kwa taifa.Na hili lisiishie kwa wanasiasa pekee bali pia watendaji na maofisa wa umma wenye dhamana..

Mapana ya hatua yahusishe hata wakiwa wastaafu.

2: Mikataba inayohusisha rasilimali za nchi iwe wazi na ijadiliwe kwa kina na kwa uwazi

3: Vyuo vyetu viwezeshwe kimkakati kuwa na kozi mtambuka ktk masuala ya kisheria..Madini,Misitu,mafuta na gesi.

4: Makampuni yanayotushitaki kwa nia ovu ya kuendelea kutufanya maskini yawe blacklisted (Yenyewe,wabia,wanahisa,na watendaji wao wakuu)..Wawe maadui wa taifa letu.
 
Utajiri wa nchi yetu ni mkubwa ktk rasilimali mbalimbali kama misitu,madini,Mafuta na Gesi.

Mikataba ya siri mingi tulioingia na wawekezaji mingi imekuwa na matobo ya kutuadhibu inapotokea tumevunja,kusitisha ama vinginevyo..

Inavyoonekana mapungufu ya kimkataba yamekuwa yakichukuliwa kama kinga na siraha za wawekezaji kuendelea kunyonya au kutuumiza kiuchumi..

Nchi yetu imekuwa ikilipa mabilioni ya fedha kama fidia,adhabu na n.k na kutikisa uchumi wetu dhaifu na kusababisha maumivu makubwa.

Ni wakati wa kuweka mikakati sawa ya kuhakikisha tunakuwa na nguvu kubwa ya kupambana na ukoloni mamboleo.

Napendekeza hatua zifuatazo:-

1: Hatua kali zichukuliwe kwa wote wanaohusika kuingia mikataba isiyo na maslahi kwa taifa.Na hili lisiishie kwa wanasiasa pekee bali pia watendaji na maofisa wa umma wenye dhamana..

Mapana ya hatua yahusishe hata wakiwa wastaafu.

2:Mikataba inayohusisha rasilimali za nchi iwe wazi na ijadiliwe kwa kina na kwa uwazi

3:Vyuo vyetu viwezeshwe kimkakati kuwa na kozi mtambuka ktk masuala ya kisheria..Madini,Misitu,mafuta na gesi.

4:Makampuni yanayotushitaki kwa nia ovu ya kuendelea kutufanya maskini yawe blacklisted (Yenyewe,wabia,wanahisa,na watendaji wao wakuu)..Wawe maadui wa taifa letu.
Ili kukomesha tatizo hili:-
1. Tuboreshe Mifumo yetu ya Elimu, iwe mifumo inayoendana na mahitaji ya kidunia ya Sasa, mifumo iliyo Bora na imara, yaani iwe mifumo yenye kutoa Elimu Bora inayweza kushindana kimataifa tofauti na mifumo iliyopo Sasa hivi ambayo inatoa 'Bora Elimu.'
2. Kuwepo na Demokrasia na Uwazi (Transparency) kwenye Michakato yote ya awali wakati Taifa au Serikali inapotaka kuingia Mikataba na Taasisi, Makampuni, au hata na Serikali nyingine ya nje. Mikataba yote kabisa iwekwe hadharani na Wananchi washirikishwe kikamilifu katika kutoa Maoni yao (Civilians or Public Participatory Approach) izingatiwe kikamilifu.
Ikiwezekana kuwe na Kifungu au Ibara maalumu kwenye Katiba ya nchi kinachozuia usiri kwenye suala hili la Mikataba ihusuyo Serikali na Makampuni binafsi.
3. Kuwepo na Sheria Kali sana za Kulinda Rasilimali za Nchi ili zisiuzwe hovyo hovyo kiholela. Kitendo Cha kuuza au Kuingia Mikataba ya kuuza au kubinafsisha rasilimali za nchi kwa Siri au kiholela ihesabike kuwa ni kosa kubwa zaidi sawasawa na kosa la UHAINI katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kuuza au kubinafsisha kiholela rasilimali muhimu za nchi ihesabiwe Kama ni kitendo kiovu Cha Usaliti dhidi ya Nchi hii na dhidi ya Watanzania wenzako. Hii itasaidia Watu kuheshimu rasilimali muhimu za nchi zilizopo ambazo zinatumika kwa maslahi mapana ya wananchi wote.
 
Utajiri wa nchi yetu ni mkubwa ktk rasilimali mbalimbali kama misitu,madini,Mafuta na Gesi.

Mikataba ya siri mingi tulioingia na wawekezaji mingi imekuwa na matobo ya kutuadhibu inapotokea tumevunja,kusitisha ama vinginevyo..

Inavyoonekana mapungufu ya kimkataba yamekuwa yakichukuliwa kama kinga na siraha za wawekezaji kuendelea kunyonya au kutuumiza kiuchumi..

Nchi yetu imekuwa ikilipa mabilioni ya fedha kama fidia,adhabu na n.k na kutikisa uchumi wetu dhaifu na kusababisha maumivu makubwa.

Ni wakati wa kuweka mikakati sawa ya kuhakikisha tunakuwa na nguvu kubwa ya kupambana na ukoloni mamboleo.

Napendekeza hatua zifuatazo:-

1: Hatua kali zichukuliwe kwa wote wanaohusika kuingia mikataba isiyo na maslahi kwa taifa.Na hili lisiishie kwa wanasiasa pekee bali pia watendaji na maofisa wa umma wenye dhamana..

Mapana ya hatua yahusishe hata wakiwa wastaafu.

2:Mikataba inayohusisha rasilimali za nchi iwe wazi na ijadiliwe kwa kina na kwa uwazi

3:Vyuo vyetu viwezeshwe kimkakati kuwa na kozi mtambuka ktk masuala ya kisheria..Madini,Misitu,mafuta na gesi.

4:Makampuni yanayotushitaki kwa nia ovu ya kuendelea kutufanya maskini yawe blacklisted (Yenyewe,wabia,wanahisa,na watendaji wao wakuu)..Wawe maadui wa taifa letu.
Tujitoe kwenye mahakama tujipange upya maana hiyo mikataba mingi ilisainiwa na mawaziri vilaza kipindi cha kiwete
 
Ili kukomesha tatizo hili:-
1. Tuboreshe Mifumo yetu ya Elimu, iwe mifumo inayoendana na mahitaji ya kidunia ya Sasa, mifumo iliyo Bora na imara, yaani iwe mifumo yenye kutoa Elimu Bora inayweza kushindana kimataifa tofauti na mifumo iliyopo Sasa hivi ambayo inatoa 'Bora Elimu.'
2. Kuwepo na Demokrasia na Uwazi (Transparency) kwenye Michakato yote ya awali wakati Taifa au Serikali inapotaka kuingia Mikataba na Taasisi, Makampuni, au hata na Serikali nyingine ya nje. Mikataba yote kabisa iwekwe hadharani na Wananchi washirikishwe kikamilifu katika kutoa Maoni yao (Civilians Participatory Approach) izingatiwe kikamilifu.
Ikiwezekana kuwe na Kifungu au Ibara maalumu kwenye Katiba ya nchi kinachozuia usiri kwenye suala hili la Mikataba ihusuyo Serikali na Makampuni binafsi.
3. Kuwepo na Sheria Kali sana za Kulinda Rasilimali za Nchi ili zisiuzwe hovyo hovyo kiholela. Kitendo Cha kuuza au Kuingia Mikataba ya kuuza au kubinafsisha rasilimali za nchi kwa Siri au kiholela ihesahike kuwa ni kosa kubwa zaidi sawa sawa na kosa la UHAINI katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kuuza au kubinafsisha kiholela rasilimali muhimu za nchi ihesabiwe Kama ni kitendo kiovu Cha Usaliti dhidi ya Nchi hii na dhidi ya Watanzania wenzako. Hii itasaidia Watu kuheshimu rasilimali muhimu za nchi zilizopo ambazo zinatumika kwa maslahi ya wananchi wote.

Hakika umenena kwa hisia

Inawezekana
 
Kuna wakati mikataba ina mapungufu lakini lipo dirisha la kuiboresha.Na njia ya kuboresha ni umakini katika majadiliano na si mabavu.

Na wakati mwingine kiongozi kwenye ngazi ya mamlaka anazua zengwe kwa maslahi yake binafsi kufuta mkataba na hii ipo sana.

Siraha muhimu ni uzalendo uliotukuka na ikibainika pasipo kutia shaka adhabu ya kifo ndio suruhu kama China.
 
Nadhani pia yatupasa kufahamu ukwasi wa wafanya maamuzi nyeti kwa niaba ya taifa kila mwaka..

Mathalani Mwanasheria Mkuu wa Serikali..Permanent Secretaries..Wakili Mkuu wa Serikali..Mawaziri,Permanent Secretaries..Katibu wa Mh Rais..etc
 
Mathalani Mwekezaji wa Songo Songo licha ya kuvuna gesi yetu asilia kwa miaka 20 kwa sababu tu ya sisi kugoma kumuongeza mkataba anatushitaki tumlipe 1.2 billoni usd..Inaumiza sana
 
Suluhisho ni elimu.Tukiwekeza elimu tutapata wawakilishi wazuri ambao watasimamia mikataba Kwa weledi tofauti na Hawa vilaza tuliona Kwa Sasa.Mfumo mzima wa elimu ufumuliwe ili uendane na mahitaji ya Sasa.
 
Tatizo letu hawasomi mkataba na kujua kilichoandikwa ndani.

Hiyo mikataba inatakiwa ifasiriwe ili kubaini vifungu vigumu.

Hayo ndiyo yalimfunga yule Waziri wa fedha wa miaka ile.

Tuje kwa wanasheria wa serikali. Ni kama wako kimasilahi sana. Hawana muda.
 
Hayati Mwl Nyerere angeweza kufanya mengi kipindi chake hasa uvunaji rasilimali lakini sababu ya upungufu na uhaba wa rasilimali watu wenye utalaam wa kutosha alisubiri..Kwa kweli alijitahidi kusomesha maskini wengi wa nchi hii toka Mvumi,kantalamba,Manyovu,Ipogoro..bomba2,Gwata..Nyantare..
 
Tatizo letu hawasomi mkataba na kujua kilichoandikwa ndani.

Hiyo mikataba inatakiwa ifasiriwe ili kubaini vifungu vigumu.

Hayo ndiyo yalimfunga yule Waziri wa fedha wa miaka ile.

Tuje kwa wanasheria wa serikali. Ni kama wako kimasilahi sana. Hawana muda.
Muhimu sana kufanya lifestyle audits ya maisha ya wenye dhamana ktk taifa letu..Tunawapongeza wachache wenye uzalendo na utendaji uliotukuka..
 
Utajiri wa nchi yetu ni mkubwa ktk rasilimali mbalimbali kama misitu,madini,Mafuta na Gesi.

Mikataba ya siri mingi tulioingia na wawekezaji mingi imekuwa na matobo ya kutuadhibu inapotokea tumevunja,kusitisha ama vinginevyo..

Inavyoonekana mapungufu ya kimkataba yamekuwa yakichukuliwa kama kinga na siraha za wawekezaji kuendelea kunyonya au kutuumiza kiuchumi..

Nchi yetu imekuwa ikilipa mabilioni ya fedha kama fidia,adhabu na n.k na kutikisa uchumi wetu dhaifu na kusababisha maumivu makubwa.

Ni wakati wa kuweka mikakati sawa ya kuhakikisha tunakuwa na nguvu kubwa ya kupambana na ukoloni mamboleo.

Napendekeza hatua zifuatazo:-

1: Hatua kali zichukuliwe kwa wote wanaohusika kuingia mikataba isiyo na maslahi kwa taifa.Na hili lisiishie kwa wanasiasa pekee bali pia watendaji na maofisa wa umma wenye dhamana..

Mapana ya hatua yahusishe hata wakiwa wastaafu.

2: Mikataba inayohusisha rasilimali za nchi iwe wazi na ijadiliwe kwa kina na kwa uwazi

3: Vyuo vyetu viwezeshwe kimkakati kuwa na kozi mtambuka ktk masuala ya kisheria..Madini,Misitu,mafuta na gesi.

4: Makampuni yanayotushitaki kwa nia ovu ya kuendelea kutufanya maskini yawe blacklisted (Yenyewe,wabia,wanahisa,na watendaji wao wakuu)..Wawe maadui wa taifa letu.
Mahakama za kimataifa ni eneo sahihi linaliotupa fursa na mda wa kutosha kutafuta na kulipa fidia baada ya kufanya natural resource nationalization bullying
 
Hatua kali zichukuliwe kwa wote wanaohusika kuingia mikataba isiyo na maslahi kwa taifa.Na hili lisiishie kwa wanasiasa pekee bali pia watendaji na maofisa wa umma wenye dhamana..

Nani sasa wa kuchukua hatua ikiwa wenye kuchukua hatua ndio hao hao wanaoingia mikataba?
 
Mahakama za kimataifa ni eneo sahihi linaliotupa fursa na mda wa kutosha kutafuta na kulipa fidia baada ya kufanya natural resource nationalization bullying

Hizi mahakama zipo huru?
Sio kwamba ni vyombo vinavyotumika na watawala wa dunia?..

Nadhani Structural adjacement programmes zinaendelea
 
Kina Elitwege walimuingiza chaka JIWE ,wacha tunyooshwe mpaka akili zikae sawa na tujifunze kuingia mikataba yenye tija kwa taifa na kama hauna mslahi ni kuachana nayo.

"Hatutoshitakiwa MIGA" - Elitwege
 
Utajiri wa nchi yetu ni mkubwa ktk rasilimali mbalimbali kama misitu,madini,Mafuta na Gesi.

Mikataba ya siri mingi tulioingia na wawekezaji mingi imekuwa na matobo ya kutuadhibu inapotokea tumevunja,kusitisha ama vinginevyo..

Inavyoonekana mapungufu ya kimkataba yamekuwa yakichukuliwa kama kinga na siraha za wawekezaji kuendelea kunyonya au kutuumiza kiuchumi..

Nchi yetu imekuwa ikilipa mabilioni ya fedha kama fidia,adhabu na n.k na kutikisa uchumi wetu dhaifu na kusababisha maumivu makubwa.

Ni wakati wa kuweka mikakati sawa ya kuhakikisha tunakuwa na nguvu kubwa ya kupambana na ukoloni mamboleo.

Napendekeza hatua zifuatazo:-

1: Hatua kali zichukuliwe kwa wote wanaohusika kuingia mikataba isiyo na maslahi kwa taifa.Na hili lisiishie kwa wanasiasa pekee bali pia watendaji na maofisa wa umma wenye dhamana..

Mapana ya hatua yahusishe hata wakiwa wastaafu.

2: Mikataba inayohusisha rasilimali za nchi iwe wazi na ijadiliwe kwa kina na kwa uwazi

3: Vyuo vyetu viwezeshwe kimkakati kuwa na kozi mtambuka ktk masuala ya kisheria..Madini,Misitu,mafuta na gesi.

4: Makampuni yanayotushitaki kwa nia ovu ya kuendelea kutufanya maskini yawe blacklisted (Yenyewe,wabia,wanahisa,na watendaji wao wakuu)..Wawe maadui wa taifa letu.
Hatuwezi kushinda sababu tuliingia kichwa kichwa kwenye mikataba.

Wenzetu wanazingatia hadi coma, na wanajua namna ya kujivua lolote likitokea na namna ya kutukamua tukizingua
 
Back
Top Bottom