Nini kifanyike kuwajengea uwezo wanasiasa waandamizi wa Tanzania waweze kujieleza kwenye Vyombo vya Habari?

Nini kifanyike kuwajengea uwezo wanasiasa waandamizi wa Tanzania waweze kujieleza kwenye Vyombo vya Habari?

Nimefuatilia mahojiano mbalimbali kwa miaka ya hivi karibuni ya vyombo vya ndani ya nchi na nje ya nchi. Nilichobaini Taifa lina wanasiasa wasiofika ishirini ambao wanaweza kutofautisha mahojiano maalumu na uwasilishaji wa hoja kwenye majukwaa ya kisiasa.

Katika ngazi za vyombo vya habari vya magharibi na vya Dunia tunao wanasiasa waandamizi wafuatao wanaoweza kujieleza na dunia ya wasomi ikachambua hoja zao. Naomba nitaje wachache
1. Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan
2. Mhe. Tundu Lisu
3. Mhe. Zito Kabwe
4. Mhe. January Makamba
5. Mhe. Freeman Mbowe
6. Mhe. Emmanuel nchimbi
7. Mhe. James Mbatia

Nimewataja hawa baadhi kwa kuwa wamewahi kwa vipindi tofauti kupata nafasi na kuhojiwa kwenye vyombo vikubwa vya kimataifa katika kipindi ambacho Taifa linapitia wakati mgumu na linahitaji dira na mawazo yasiyoendana na hotuba za majukwa ya siasa. Naweza nikawa nimewasahau baadhi lakini mifano hii itoshe kuonyesha nawalenga watu wa kariba gani.

Kitaifa hao niliowataja hapo wote wana uwezo mkubwa wakujenga hoja bila kushambulia personalities. Sambamba na hao wapo viongozi kama Mhe. Mwinyi, PM, Makamu wa Pili wa Rais, Halima Madee, Mnyika, Kabudi, Mtaka, Mtanda, Wenye, Heche, Pambalu, Mhe. Biteko NK

Kwa idadi hii utabaini tunao watu wachache wanaofanya vizuri kimatiafa, tunao wachache pia wanaofanya vyema kwenye public speaking ndani na tuna kundi kubwa la viongozi wasioweza kutenganisha mahojiano maalumu na mkutano wa adhara.

Hali hii ipo tofauti sana na kipindi wakina Warioba na wazee wa umri wake wakiwa wanakabidhiwa madaraka. Kwanza walikuwa hawana exposure, shule haikuwa kubwa sana vichwani mwao lakini waliweza kusimama kwenye majukwaa ya ndani na nje ya nchi.

Wazee wa umri wa akina Butiku wakihojiwa leo vijana watazana kwenye TV na wakienda kwenye majukwaa ya kisiasa wananchi watanyamaza kuwasikiliza. Tuambieni leo hii viongozi gani waliochini ya 60 yrs ambao wanaweza kumudu mahojiano serious ya kimataifa na wakaweza kumudu jukwaa la siasa wananchi wakatulia kusikiliza hoja.

Kutokana na kushuka kwa capacity ya kujenga hoja nchini , vyama vyote vimewekeza nguvu kwa comedian, wanamziki na wasanii. Jukwaani wanakaa wasanii muda mrefu then wanasiasa ambao ndio wenye jukwaa wanaishia kupanda kusema oyeeeeeeeeee, safiiiiiiiiii, bomba si bombaaaaa, mtanipaaaaaa.

Tufanye nini tupate wakina Mkapa, Butiku, Warioba, Salim, Shivji, Hassard wengi?
Kun watatu hapo umewaweka tu kuleta uwiano ila hakuna kitu kabisa.. Hasa hiyo number....😂
 
Nimefuatilia mahojiano mbalimbali kwa miaka ya hivi karibuni ya vyombo vya ndani ya nchi na nje ya nchi. Nilichobaini Taifa lina wanasiasa wasiofika ishirini ambao wanaweza kutofautisha mahojiano maalumu na uwasilishaji wa hoja kwenye majukwaa ya kisiasa.

Katika ngazi za vyombo vya habari vya magharibi na vya Dunia tunao wanasiasa waandamizi wafuatao wanaoweza kujieleza na dunia ya wasomi ikachambua hoja zao. Naomba nitaje wachache
1. Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan
2. Mhe. Tundu Lisu
3. Mhe. Zito Kabwe
4. Mhe. January Makamba
5. Mhe. Freeman Mbowe
6. Mhe. Emmanuel nchimbi
7. Mhe. James Mbatia

Nimewataja hawa baadhi kwa kuwa wamewahi kwa vipindi tofauti kupata nafasi na kuhojiwa kwenye vyombo vikubwa vya kimataifa katika kipindi ambacho Taifa linapitia wakati mgumu na linahitaji dira na mawazo yasiyoendana na hotuba za majukwa ya siasa. Naweza nikawa nimewasahau baadhi lakini mifano hii itoshe kuonyesha nawalenga watu wa kariba gani.

Kitaifa hao niliowataja hapo wote wana uwezo mkubwa wakujenga hoja bila kushambulia personalities. Sambamba na hao wapo viongozi kama Mhe. Mwinyi, PM, Makamu wa Pili wa Rais, Halima Madee, Mnyika, Kabudi, Mtaka, Mtanda, Wenye, Heche, Pambalu, Mhe. Biteko NK

Kwa idadi hii utabaini tunao watu wachache wanaofanya vizuri kimatiafa, tunao wachache pia wanaofanya vyema kwenye public speaking ndani na tuna kundi kubwa la viongozi wasioweza kutenganisha mahojiano maalumu na mkutano wa adhara.

Hali hii ipo tofauti sana na kipindi wakina Warioba na wazee wa umri wake wakiwa wanakabidhiwa madaraka. Kwanza walikuwa hawana exposure, shule haikuwa kubwa sana vichwani mwao lakini waliweza kusimama kwenye majukwaa ya ndani na nje ya nchi.

Wazee wa umri wa akina Butiku wakihojiwa leo vijana watazana kwenye TV na wakienda kwenye majukwaa ya kisiasa wananchi watanyamaza kuwasikiliza. Tuambieni leo hii viongozi gani waliochini ya 60 yrs ambao wanaweza kumudu mahojiano serious ya kimataifa na wakaweza kumudu jukwaa la siasa wananchi wakatulia kusikiliza hoja.

Kutokana na kushuka kwa capacity ya kujenga hoja nchini , vyama vyote vimewekeza nguvu kwa comedian, wanamziki na wasanii. Jukwaani wanakaa wasanii muda mrefu then wanasiasa ambao ndio wenye jukwaa wanaishia kupanda kusema oyeeeeeeeeee, safiiiiiiiiii, bomba si bombaaaaa, mtanipaaaaaa.

Tufanye nini tupate wakina Mkapa, Butiku, Warioba, Salim, Shivji, Hassard wengi?
Tumeshajikwaa sasa kilichobaki ni kuwekeza katika elimu na hawa wachache waliopo sasa waishi katika falsafa itakayowavutia kizazi kipya ili kuzalisha kina Mwl. Nyerere, Nelson Mandela,Kwame Nkurumah na Kina Samora Machel wa kizazi cha baadae
 
Nimefuatilia mahojiano mbalimbali kwa miaka ya hivi karibuni ya vyombo vya ndani ya nchi na nje ya nchi. Nilichobaini Taifa lina wanasiasa wasiofika ishirini ambao wanaweza kutofautisha mahojiano maalumu na uwasilishaji wa hoja kwenye majukwaa ya kisiasa.

Katika ngazi za vyombo vya habari vya magharibi na vya Dunia tunao wanasiasa waandamizi wafuatao wanaoweza kujieleza na dunia ya wasomi ikachambua hoja zao. Naomba nitaje wachache
1. Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan
2. Mhe. Tundu Lisu
3. Mhe. Zito Kabwe
4. Mhe. January Makamba
5. Mhe. Freeman Mbowe
6. Mhe. Emmanuel nchimbi
7. Mhe. James Mbatia

Nimewataja hawa baadhi kwa kuwa wamewahi kwa vipindi tofauti kupata nafasi na kuhojiwa kwenye vyombo vikubwa vya kimataifa katika kipindi ambacho Taifa linapitia wakati mgumu na linahitaji dira na mawazo yasiyoendana na hotuba za majukwa ya siasa. Naweza nikawa nimewasahau baadhi lakini mifano hii itoshe kuonyesha nawalenga watu wa kariba gani.

Kitaifa hao niliowataja hapo wote wana uwezo mkubwa wakujenga hoja bila kushambulia personalities. Sambamba na hao wapo viongozi kama Mhe. Mwinyi, PM, Makamu wa Pili wa Rais, Halima Madee, Mnyika, Kabudi, Mtaka, Mtanda, Wenye, Heche, Pambalu, Mhe. Biteko NK

Kwa idadi hii utabaini tunao watu wachache wanaofanya vizuri kimatiafa, tunao wachache pia wanaofanya vyema kwenye public speaking ndani na tuna kundi kubwa la viongozi wasioweza kutenganisha mahojiano maalumu na mkutano wa adhara.

Hali hii ipo tofauti sana na kipindi wakina Warioba na wazee wa umri wake wakiwa wanakabidhiwa madaraka. Kwanza walikuwa hawana exposure, shule haikuwa kubwa sana vichwani mwao lakini waliweza kusimama kwenye majukwaa ya ndani na nje ya nchi.

Wazee wa umri wa akina Butiku wakihojiwa leo vijana watazana kwenye TV na wakienda kwenye majukwaa ya kisiasa wananchi watanyamaza kuwasikiliza. Tuambieni leo hii viongozi gani waliochini ya 60 yrs ambao wanaweza kumudu mahojiano serious ya kimataifa na wakaweza kumudu jukwaa la siasa wananchi wakatulia kusikiliza hoja.

Kutokana na kushuka kwa capacity ya kujenga hoja nchini , vyama vyote vimewekeza nguvu kwa comedian, wanamziki na wasanii. Jukwaani wanakaa wasanii muda mrefu then wanasiasa ambao ndio wenye jukwaa wanaishia kupanda kusema oyeeeeeeeeee, safiiiiiiiiii, bomba si bombaaaaa, mtanipaaaaaa.

Tufanye nini tupate wakina Mkapa, Butiku, Warioba, Salim, Shivji, Hassard wengi?
Kuna qatari hapo umewaweka tu kuleta uwiano ila hakuna kitu kabisa
Sema tu namba moja... Mi sijawahi kuelewa hoja zake. Hasa akiwa kimataifa!
🙌🏿🙌🏿🏃🏿🏃🏿🏃🏿
 
Taifa linahitaji watendaji.madhubuti na sio wanaojua kujieleza wengi!

Maelezo hayajawahi kutupa maendeleo wala kupambana dhidi ya umaskini!

Tunataka maneno machache TU yenye tija na utendaji.uliotukukuka basi!

UJINGA WA WATZ WENZANGU BADO WAMEWEKEZA KWENYE MANENO MAZURI NA HOTUBA NZURI KWA SANA BADALA YA UTENDAJI!

BORA TUPATE RAIS BUBU LAKINI ANATENDA YANAYOELEWEKA NA YENYE TIJA KULIKO KUWA NA WANAOELEWEKA KWENYE HADHARA HALAFU MATATIZO NI YALE YALE UMASKINI,WIZI,UBADHIRIFU WA MALI ZA UMMA ,UPIGA DEAL N.K!!!

TUACHE HUU UJINGA NA IMANI ZA KIJINGA!
 
Taifa linahitaji watendaji.madhubuti na sio wanaojua kujieleza wengi!

Maelezo hayajawahi kutupa maendeleo wala kupambana dhidi ya umaskini!

Tunataka maneno machache TU yenye tija na utendaji.uliotukukuka basi!

UJINGA WA WATZ WENZANGU BADO WAMEWEKEZA KWENYE MANENO MAZURI NA HOTUBA NZURI KWA SANA BADALA YA UTENDAJI!

BORA TUPATE RAIS BUBU LAKINI ANATENDA YANAYOELEWEKA NA YENYE TIJA KULIKO KUWA NA WANAOELEWEKA KWENYE HADHARA HALAFU MATATIZO NI YALE YALE UMASKINI,WIZI,UBADHIRIFU WA MALI ZA UMMA ,UPIGA DEAL N.K!!!

TUACHE HUU UJINGA NA IMANI ZA KIJINGA!
Maneno kidogo mambo makubwa
 
Nimefuatilia mahojiano mbalimbali kwa miaka ya hivi karibuni ya vyombo vya ndani ya nchi na nje ya nchi. Nilichobaini Taifa lina wanasiasa wasiofika ishirini ambao wanaweza kutofautisha mahojiano maalumu na uwasilishaji wa hoja kwenye majukwaa ya kisiasa.

Katika ngazi za vyombo vya habari vya magharibi na vya Dunia tunao wanasiasa waandamizi wafuatao wanaoweza kujieleza na dunia ya wasomi ikachambua hoja zao. Naomba nitaje wachache:

1. Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan
2. Mhe. Tundu Lissu
3. Mhe. Zitto Kabwe
4. Mhe. January Makamba
5. Mhe. Freeman Mbowe
6. Mhe. Emmanuel Nchimbi
7. Mhe. James Mbatia

Nimewataja hawa baadhi kwa kuwa wamewahi kwa vipindi tofauti kupata nafasi na kuhojiwa kwenye vyombo vikubwa vya kimataifa katika kipindi ambacho Taifa linapitia wakati mgumu na linahitaji dira na mawazo yasiyoendana na hotuba za majukwa ya siasa. Naweza nikawa nimewasahau baadhi lakini mifano hii itoshe kuonyesha nawalenga watu wa kariba gani.

Kitaifa hao niliowataja hapo wote wana uwezo mkubwa wakujenga hoja bila kushambulia personalities. Sambamba na hao wapo viongozi kama Mhe. Mwinyi, PM, Makamu wa Pili wa Rais, Halima Madee, Mnyika, Kabudi, Mtaka, Mtanda, Wenye, Heche, Pambalu, Mhe. Biteko NK

Kwa idadi hii utabaini tunao watu wachache wanaofanya vizuri kimatiafa, tunao wachache pia wanaofanya vyema kwenye public speaking ndani na tuna kundi kubwa la viongozi wasioweza kutenganisha mahojiano maalumu na mkutano wa adhara.

Hali hii ipo tofauti sana na kipindi wakina Warioba na wazee wa umri wake wakiwa wanakabidhiwa madaraka. Kwanza walikuwa hawana exposure, shule haikuwa kubwa sana vichwani mwao lakini waliweza kusimama kwenye majukwaa ya ndani na nje ya nchi.

Wazee wa umri wa akina Butiku wakihojiwa leo vijana watazana kwenye TV na wakienda kwenye majukwaa ya kisiasa wananchi watanyamaza kuwasikiliza. Tuambieni leo hii viongozi gani waliochini ya 60 yrs ambao wanaweza kumudu mahojiano serious ya kimataifa na wakaweza kumudu jukwaa la siasa wananchi wakatulia kusikiliza hoja.

Kutokana na kushuka kwa capacity ya kujenga hoja nchini , vyama vyote vimewekeza nguvu kwa comedian, wanamziki na wasanii. Jukwaani wanakaa wasanii muda mrefu then wanasiasa ambao ndio wenye jukwaa wanaishia kupanda kusema oyeeeeeeeeee, safiiiiiiiiii, bomba si bombaaaaa, mtanipaaaaaa.

Tufanye nini tupate wakina Mkapa, Butiku, Warioba, Salim, Shivji, Hassard wengi?
Kwamba Samia anaweza jieleza
 
Nimefuatilia mahojiano mbalimbali kwa miaka ya hivi karibuni ya vyombo vya ndani ya nchi na nje ya nchi. Nilichobaini Taifa lina wanasiasa wasiofika ishirini ambao wanaweza kutofautisha mahojiano maalumu na uwasilishaji wa hoja kwenye majukwaa ya kisiasa.

Katika ngazi za vyombo vya habari vya magharibi na vya Dunia tunao wanasiasa waandamizi wafuatao wanaoweza kujieleza na dunia ya wasomi ikachambua hoja zao. Naomba nitaje wachache:

1. Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan
2. Mhe. Tundu Lissu
3. Mhe. Zitto Kabwe
4. Mhe. January Makamba
5. Mhe. Freeman Mbowe
6. Mhe. Emmanuel Nchimbi
7. Mhe. James Mbatia

Nimewataja hawa baadhi kwa kuwa wamewahi kwa vipindi tofauti kupata nafasi na kuhojiwa kwenye vyombo vikubwa vya kimataifa katika kipindi ambacho Taifa linapitia wakati mgumu na linahitaji dira na mawazo yasiyoendana na hotuba za majukwa ya siasa. Naweza nikawa nimewasahau baadhi lakini mifano hii itoshe kuonyesha nawalenga watu wa kariba gani.

Kitaifa hao niliowataja hapo wote wana uwezo mkubwa wakujenga hoja bila kushambulia personalities. Sambamba na hao wapo viongozi kama Mhe. Mwinyi, PM, Makamu wa Pili wa Rais, Halima Madee, Mnyika, Kabudi, Mtaka, Mtanda, Wenye, Heche, Pambalu, Mhe. Biteko NK

Kwa idadi hii utabaini tunao watu wachache wanaofanya vizuri kimatiafa, tunao wachache pia wanaofanya vyema kwenye public speaking ndani na tuna kundi kubwa la viongozi wasioweza kutenganisha mahojiano maalumu na mkutano wa adhara.

Hali hii ipo tofauti sana na kipindi wakina Warioba na wazee wa umri wake wakiwa wanakabidhiwa madaraka. Kwanza walikuwa hawana exposure, shule haikuwa kubwa sana vichwani mwao lakini waliweza kusimama kwenye majukwaa ya ndani na nje ya nchi.

Wazee wa umri wa akina Butiku wakihojiwa leo vijana watazana kwenye TV na wakienda kwenye majukwaa ya kisiasa wananchi watanyamaza kuwasikiliza. Tuambieni leo hii viongozi gani waliochini ya 60 yrs ambao wanaweza kumudu mahojiano serious ya kimataifa na wakaweza kumudu jukwaa la siasa wananchi wakatulia kusikiliza hoja.

Kutokana na kushuka kwa capacity ya kujenga hoja nchini , vyama vyote vimewekeza nguvu kwa comedian, wanamziki na wasanii. Jukwaani wanakaa wasanii muda mrefu then wanasiasa ambao ndio wenye jukwaa wanaishia kupanda kusema oyeeeeeeeeee, safiiiiiiiiii, bomba si bombaaaaa, mtanipaaaaaa.

Tufanye nini tupate wakina Mkapa, Butiku, Warioba, Salim, Shivji, Hassard wengi?
Safi babdiko zuri kabisa, hongera. Hapo swala la muhimu cha kufanyika

1. Ni kuepuka kupeana vyeo kwa kujuana kuwa huyu ni mtoto wa wa rafiki ndugu au jamaa wa karibu tuzingatie uwezo binafsi

2. Kuandaliwa kwao kupata nafasi ya kuwa kiongozi wasiangalie seniority sio kila mtu ni anafaa kuwa kiongozi wengine wabakie kuwa washauri ndani ya vyama vyao wanavyovitumikia i.e kuhama kwa wanasiasa wanapokosa nafasi fulani kwenye chama chao

3.ujengwaji wa hoja bomba inategemea na aina ya regime iliyopo madarakani mfano democrasia, au dictatorial ikiwa dicteta basi hujikita kwenye maswala ya kusifia tu.

4. Elimu. Taifa la ajabu sana hili imagine mbunge kama msukuma darasa la saba anapelekwa kwenye chombo kikubwa cha maamuzi katika nchi akabishane na akina tulia ackson kupitisha dp world halafu haludi ajenge hoja kwa ya kusimuliwa. Kigezo cha kuwa mbunge at list kipande ngazi mpaka diploma udiwani cheti na uenyekiti form four.

4. Miundo mbinu bora ya uwazi na uwajibikaji. Taarifa za wazi kwa vyombo vya habari mostly media zina pangiwa cha kuripoti na sio cha kuripoti mtu anapotaka kujikita ujengaji hoja za msingi kupitia chombo fulan ni either anyimwe kipindi au afanye ki editewe


Kwa leo yangu ni hayo machache
 
Mkuu hao viongozi unaosema ni intellectual wameleta mageuzi gani nafuu ya Katiba kwa wananchi???

Mageuzi ya maltipartism na mabadiliko ya kiuchumi kaleta Mwinyi.

Uthubutu wa marekebisho ya katiba yalifanyika kipindi cha Kikwete na uhuru wa demokrasia umeonekana tena kipindi cha Samia baada ya kibano cha Magufuli.

Wewe mwenyewe kipindi cha Magufuli ulibanwa kama mjusi, na hujawahi kutuambia uliambiwa nini!!!

Na hao wote watatu (Mwinyi, Kikwete na Samia) umesema sio intellectual!! Au kwa sababu wao ni waisalamu???

Acha hizo bro!!!
Aaah mkuu acha udini mkuu
 
Taifa linahitaji watendaji.madhubuti na sio wanaojua kujieleza wengi!

Maelezo hayajawahi kutupa maendeleo wala kupambana dhidi ya umaskini!

Tunataka maneno machache TU yenye tija na utendaji.uliotukukuka basi!

UJINGA WA WATZ WENZANGU BADO WAMEWEKEZA KWENYE MANENO MAZURI NA HOTUBA NZURI KWA SANA BADALA YA UTENDAJI!

BORA TUPATE RAIS BUBU LAKINI ANATENDA YANAYOELEWEKA NA YENYE TIJA KULIKO KUWA NA WANAOELEWEKA KWENYE HADHARA HALAFU MATATIZO NI YALE YALE UMASKINI,WIZI,UBADHIRIFU WA MALI ZA UMMA ,UPIGA DEAL N.K!!!

TUACHE HUU UJINGA NA IMANI ZA KIJINGA!
Hakuna hotuba nzuri na pia hakuna utendaji wa kueleweka
 
Kauli huumba!, hii kauli ni ya ku curse nchi yako!. Kwa vile Tanzania bado hatuna mbadala wa CCM, then kilichopo ndio hii hii CCM iliyopo tuitolee kauli njema za kujenga, positive attitude ili hizo kauli ziiumbie mema CCM nchi ifanikiwe badala ya kutoa kauli za laana!.

Mambo ya matumbo ni mambo ya morphology, makabila ya wafugaji wanaume wao wana lean bodies Wanawake wao wana big butt, wanaume wengi bantustan wana vitambi, Wanawake wengi
Afrika wana bulky bodies wakati wazungu ni vimbaumbau, hakuna directly relationships or correlation ya body mass index na intellect, unatuonea bure!.

Hongera kwa kukimbia na kulowea huko ughaibuni, tuko akina sisi, pia tulikimbia nchi lakini uzalendo ukatutuma turudi nyumbani kuisaidia nchi yetu, wife aligoma hivyo family iko ughaibuni lakini Wazalendo tupo kuisaidia nchi yetu.
Badala ya kuilaani na kuitukana nchi yako tusi la f...k. inenee mema ibarikiwe na wewe utabarikiwa!. Usiwe Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!
P
Hili ni KOSA kubwa sana Mayalla unalifanya kama expert na mwandishi mwenye weledi sana.

When you say hakuna mbadala wa CCM , what do you mean exact ? It is fear and cognitive dissonance that have been made to most of Tanzanians . I did not expect this from you , Pascal

JPM
aliweza kuwa Rais , Kama Samia pia ameweza kuwa Rais , why hakuna mbadala wa CCM …????

….please that is a disease , it is time now to end

! Unataka kuniambia Samia ni muadilifu and Intellectuel than Lissu? Mbowe? Zitto? Hashim Rungwe? Au unataka kuniambia JPM alikuwa mwadilifu and intellectual than Lissu Mbowe Hashim, ZZK etc etc ? Kama jibu ni NO , what makes you say hakuna mbadala wa CCM , did you ever expected tunaweza kuja kuwa na Rais Kama Samia?

Now she is the President of URT Despite of many denials !

Any body can be any body , the county is not for CCM. Lissu can make a better presidency , same to Mbowe and ZZK etc etc . Tuache hii dhambi ya hakuna mbadala wa CCM ni cognitive dissonance mbaya na ni Sawa na wale wanaoamini the only way to heaven is through Jesus, others are misguided ….. shame !!


Mayalla, there is no time itafika tuje kusema sasa tuna watu sahihi wa kuitoa CCM , hao watu will never last , watakufa before their time comes, CCM ni distractors . Upinzani sahihi wa kuitoa CCM upo sahihi hivi, Lissu can be a president, Mbowe, Hashim all of them, they can be , !! Why you think the opposite .?

Kama sio dhulma ya CCM, Lowasa would have died as president of URT ! Nchi sio ya CCM and any body can be any body for as long as ana qualifications.

CCM has proven failures over 60 years , Over 60 Years still a country ipo kama dump, jalala! yet unasema hakuna mbadala wa CCM? Are you serious !

Unlese you meant hakuna mbadala wa kuharibu nchi kama CCM , otherwise….. I am out . Kazi ya mwandishi ni kutoa elimu kwa jamii katika ukweli na sio kuwa chawa, that’s not the way to talk

Who killed Ali Mohammed Kibao? I think you are right when you say hatuna mbadala wa CCM! the country will never forget this political party , ni adui mkubwa wa maendeleo ya Tanzania. Lissu would have been a dead body now , ni kweli hatuna mbadala wa CCM !

all best Mayala!
 
Back
Top Bottom