NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Hapo usagara sec Tanga vipi!!?wameshaondoa o levelGalanos pia hakuna O level
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo usagara sec Tanga vipi!!?wameshaondoa o levelGalanos pia hakuna O level
[emoji23][emoji23][emoji23]Serikali mpo wapi kuna watu wanatembea na wanafunzi na mmkekaa kimya
Kibiti
Kigonsera
Tosamaganga
Kwiro
Ndanda
Karatu
Ihungo
Rungwe
Etc walifuta O level.
Hivi hili neno Usagara lina maana gani mkuu? Kwasababu kuna maeneo mengi yanayoitwa Usagara kuanzia, Tanga, Songea, Kigoma, MwanzaHapo usagara sec Tanga vipi!!?wameshaondoa o level
UongoSasa hivi olevel zinatolewa katani tu huko,shule kongwe zone ni advance pekee
Songea Usagara ipo maeneo gani paleHivi hili neno Usagara lina maana gani mkuu? Kwasababu kuna maeneo mengi yanayoitwa Usagara kuanzia, Tanga, Songea, Kigoma, Mwanza