Pre GE2025 Nini kilichosababisha Tundu Lissu kukwepa mdahalo wa kisiasa na mzee Wassira kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wenye akili timamu wanamwelewa,tatizo nyie uchawa umewazidi.

Yule mzee nyie endelee nae,TL ccm nzima hakuna wakumjibu kwa hoja.
Miaka 80+ 🀣🀣🀣🀣🀣🀣 shukuluni vyombo vya Dola visivyojielewa.ila mda ni mwalimu mzuri
 

..Steven Wassira afanye mdahalo na John Heche.

..Samia Suluhu afanye mdahalo na Tundu Lissu.
 
Lissu ni mchanga sana kwa Mzee Wasira.Lissu knows that atakaagwa mapema.
Speech eloquent and natural debate for any thing,Wasira yupo juu.
Political experience and international exposure, Wasira yupo juu.
Best colleges and universities attended,Wasira yupo juu.
IQ Wasira yupo juu.
Politician / boxer , Wasira atamtangwa kwa knock out first round bila kukosea.
Wasira hataki promoter yeye ni TNT yaani Transcontinental anti Ballist Missile.
Chunga sana usiigie anga zake.
 
..Steven Wassira afanye mdahalo na John Heche.

..Samia Suluhu afanye mdahalo na Tundu Lissu.
mvutabangi yule si atakua anaongelea masuala ya kubeti tu gentleman?

rais aache kudeal na dhamana nzito ya kulitumikia taifa akafanye mdahalo na kibaka na tapeli wa siasa, kweli??

kua na heshima kidogo gentleman
 
nani ababaike na kujibu makelele ya kibaka na tapeli wa siasa gentleman?
 
gentleman,
hebu elezea kwa kina kifupi kidogo kwa faida ya wadau πŸ’
Waungane CCM wooooote ikiwezekana hata wafu wafufuliwe ili woooote waende kumkabili Lissu kwenye mdahalo ijapo najua hakuna hoja yoyote kutoka kwa Lissu itajibiwa kwa ufasaha.
 
Mzee alikimbia,umesahau hata m.kiti alikimbia
 
Mzee alikimbia,umesahau hata m.kiti alikimbia
ni muhimu kama wanasiasa wenye nafasi katika jamii kushiriki mdahalo huo bila kukimbia kwa kutoa sababu ambazo hazina mashiko kabisa πŸ’
 
Ameeleza. Wasira sio final decision maker wa CCM. Final ni Samia.
 
Ameeleza. Wasira sio final decision maker wa CCM. Final ni Samia.
final decision making organ ni kamati kuu ya CCM,

amepotosha umma huyo kibaka na tapeli wa kisiasa πŸ’
 
final decision making organ ni kamati kuu ya CCM,

amepotosha umma huyo kibaka na tapeli wa kisiasa πŸ’
Hao ni rubber stamp tu. What Samia says, goes notwithstanding CC of CCM.
 
nani ababaike na kujibu makelele ya kibaka na tapeli wa siasa gentleman?
Vibaka wapo madarakan mpaka wanazeeka,Nchi hii Ina maajabu.

80+ yrs hamuoni hata kinyaaa!.

Ama kweli,ukustaajabu ya Policcm utayaona ya vijana wasiokuwa na future.

Inasikitisha sana,inatakiwa mtoke hata kea nguvu wajinga nyie.
 
CHADEMA ni vibaka na matapeli wa kisiasa hawawezi kuwa na hoja
 
CHADEMA ni vibaka na matapeli wa kisiasa hawawezi kuwa na hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…