Hata Tupo pamoja ya Gk naye alitaja taja majina tena bila vina,bora Misosi kuna vina.Ingependeza kama ungetaja wimbo wa O ten ambao ametajataja Majina tu..
Mimi nafikiri nyimbo zinazotaja Majina tu Ni Kama wimbo wa bwana misosi nitoke vipi..
Nitoke vip hauna vina? Hivi mlikuwa mnasikiliza hizo nyimbo au mmekaririshwa tu?Mkuu ni kweli umejibiwa kuwa huo mstari haukuwa dis kwa o ten bali ulikuwa dis kwa bwana misosi wakati ule katoa wimbo wa nitoke vipi, sele alimdis misosi kuwa wimbo mzima anatajataja majina tu tena kwa mistari isiyo na vina, remember ule wimbo wa misosi haukuwa na vina
Alaf unaandika kwa confidence kabisa[emoji3]na cha ajabu zaidi wimbo uliompa ushindi Afande Sele ni darubini jali ambao kamshirikisha Prof Jay na Solo Thang mwenyewe
Uko sahihi..kutaja taja majina tuu nyimbo nzimaa tenaa kwa mistari isiyo na vinaa[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii ni disi ya King Crazy GK FT. Pauline Zongo wimbo unaitwa TUPO PAMOJA
Wakati jeshi likiwa jeshi na sio tawi la Lumumbawakati huo gk mwenyewe baba ake mkubwa jeshini ndo maana hata ishu ya magwanda aliimaliza.
Aliyetajataja majina Crazy GK kwnye nyimbo yake ya Shukrani au nawashukuruni (nachanganya majina) alitaja majina ya watu anapwashukuru nyimbo nzima,O ten kisa ni kusifu ngono na pombe,halafu alikuwa akienda moro analeta ubishoo sana watu wakawa hawamkubali,wanamdiss wanamuona bishoo tu,moro alikuwa hapendwi akawa anahisi Afande anamchomea kwa washkaji wa Moro kipindi hicho afande moro ameikamata!!O Ten Mtoto wa Kilakala
Afande Sele Mtoto wa Misufini
Ugomvi wao kimsingi ni Pomposity ya Sele baada ya kushinda MFALME WA RHYMES.
Aliamini yeye ni Mfalme wa Nchi na hivo pia ni Mfalme wa Moro.
O Ten aliamini yeye Mkali na kile alichopata Afande ni ktk MFALME WA RHYMES ulikuwa ni Mchingo wa akina Erick Shigongo ambao hawakutaka Taji liende kwa wakali wa DAR wakiwemo Prof. Jay, Jay Mo & Solo.
Biff likichangamka baada ya Afande kumdiss OTen kuwa "Nyimbo nzima unataja taja majina tu
Tena kwa mistari iso na vina"
Cha kufurahisha wote hao ni Walevi! Mmoja wa Pombe za Kienyeji na mwengine Majani
Sio kweli.Darubini kali yuko na Dito.Ngoma aliyotoa na Prop Jizze na Solo inaitwa mtazamona cha ajabu zaidi wimbo uliompa ushindi Afande Sele ni darubini jali ambao kamshirikisha Prof Jay na Solo Thang mwenyewe
Inaitwa tuko pamoja.Aliwashukuru ma dj Kwa kupiga nyimbo zakeNadhani kutaja majina ilikuwa diss ya GK kwa ngoma aliyoimba na Pauline Zongo. Humo ndipo alitaja tu majina bila vina.
Ngoma inaitwa tuko pamojaWimbo upi huo mkuu wa GK aliotaja majina? Ziko ngoma mbili ambazo GK aliimba akitoa shukrani kwa watu wa Media wa Enzi hizo pamoja na Media zenyewe
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Yaan mbongo we mpe picha tu maelezo yote anayo. Bwana misosi ndio alidisiwa na afande,, kutajataja majinaAcha uongo.
O-tena hajawahi kutoa wimbo wa kutajataja majina.