Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umebugi mwananguna cha ajabu zaidi wimbo uliompa ushindi Afande Sele ni darubini jali ambao kamshirikisha Prof Jay na Solo Thang mwenyewe
Moresec ya vikaptula,Ni ID tu ya JF!
Mm nilisoma Morogoro Secondary!
Nikiwa F2 Msanii SQUEEZER aliJoin F1
Wimbo Afande alomshirikisha Solo Thang na Prof J ni MTAZAMO...bonge moja la song...lilikuwa linatibu mabif lilena cha ajabu zaidi wimbo uliompa ushindi Afande Sele ni darubini jali ambao kamshirikisha Prof Jay na Solo Thang mwenyewe
Dogo unajichanganya. Wimbo huo ni mtazamo sio darubini Kali.na cha ajabu zaidi wimbo uliompa ushindi Afande Sele ni darubini jali ambao kamshirikisha Prof Jay na Solo Thang mwenyewe
Mkuu umeuaHawawezi kuelewa na mkali wa chorus zake bi paulina zongo. Nakumbuka naona ama zangu ama zao niliona ile video iko level za destiny child ile ya survivor.
Gk alikuwa anajiona kama mbele na style yake ya kigugumizi aliimaster. Halafu ilikuwa vijana tangulia kuimba mimi kamanda namalizia kwa kufunga kazi kwenye nyimbo zote
Hawakudakwa.Mkuu umeua
Walikuja kuhenyeshwa na JW sababu ya zile gwanda katika Ile video ya ama zangu ama zao
Mkuu ni MTAZAMO!na cha ajabu zaidi wimbo uliompa ushindi Afande Sele ni darubini jali ambao kamshirikisha Prof Jay na Solo Thang mwenyewe
na cha ajabu zaidi wimbo uliompa ushindi Afande Sele ni darubini jali ambao kamshirikisha Prof Jay na Solo Thang mwenyewe
Nadhani kutaja majina ilikuwa diss ya GK kwa ngoma aliyoimba na Pauline Zongo. Humo ndipo alitaja tu majina bila vina.Kama ni uongo kaimba AFANDE SELE ktk DARUBINI KALI, Mm nimemQuote Afande! Uwe na adabu kwa Mtu ambaye hujui anasomekaje ktk phone book ya Bi Mkubwa ako
Enzi hizo maadili ya mtanzania chini ya rais shipavu asiyependa mzaha B. W. MkapaUle wimbo ulijaa matusi, utasikia.....nimeshachoka kupiga puchu.....aaaghgggg, ptuu
Kiu (yajibu), Uwazi, ijumaa na ijumaa wikenda, risasi. Yote ni part ya GP chini ya shigongoYeah upo sahihi,siku hiyo waliotia fora pale ukumbini ni watoto wa Temeke waliokuja na inspector Haroun na Nature na watoto wa Moro ilikuwa bonge la mtiti
Afande aliua na ngoma ya Darubini kali enzi hizo ndio inatoka shangwe kama lote afande akakabidhiwa gari ambalo alipanda yeye na Dito mpaka Moro
Wapo waliosema Professa Jay alistahili ya kwamba eti Afande kushinda ilikuwa ni mchongo wa Shigongo kwakuwa siku za nyuma kuna makala ya kumpamba afande iliandikwa kweny gazeti lake nadhani la KIU(Japokuwa sina uhakika kama lilikuwa ni hili na kingine sina uhakika kama KIU ni part ya GLOBAL PUBLISHERS)..
Enzi hizo nilikuwa meneja wa kampuni fulani ya mabasi pale Ubungo siku hiyo watu wa Moro waliua route ya mabasi yetu maana waliyakodisha asilimia 80..
Hapo kuna Sharif, Juma na Lady slay, hao vijana GK amepiga nao ngoma kadhaa za ECT, kama komaa nao, wamejichanganya, itikadi na ngoma ya mwisho kabisa ikiwa ni Piga manati ambayo ilitoka kama Dis track baada ya kundi la TMK Family kuvunjika, na wale jamaa wa TMK halisi Kuna na ngoma ya ndege Tunduni, na alikuwa akiwaandaa kama new generation ya ECT but unfortunately things went wrong hasa baada ya FA na AY kujitoa rasmi.Sio zote.
Mfano: Komaa Nao
Verse ya kwanza kabisa ameanza GK.
Verse zimepangana hivi:
Verse 1:
- GK.
- Mwana FA
- A.Y
Verse 2:
- (Simjui)
- (Simjui)
- Snaire.
Wimbo upi huo mkuu wa GK aliotaja majina? Ziko ngoma mbili ambazo GK aliimba akitoa shukrani kwa watu wa Media wa Enzi hizo pamoja na Media zenyeweNadhani kutaja majina ilikuwa diss ya GK kwa ngoma aliyoimba na Pauline Zongo. Humo ndipo alitaja tu majina bila vina.
Umezingua unawezaje kutaka Ngoma za O ten bila kuitaja MKUU WA MKOA...Kuna NGOMA za O_ten,
Nilizo zipenda,
1.Mimi
hii ilikua dis track Kwa afande Sele directly.
2.sifa kumi za demu
3.akipendacho Binti
4.nicheki
5.kisa Sina gari
6.nyandindi
7.uvumilivu
8.nakaza roho
9. Tusahau (remix)
10.nipo huru
Hizi ni baadhi ya kazi za O_ten
Hahhahah[emoji38]Mwana acha kuandika vitu usivyovijua
Mzee hapo umetudanganya Ngoma ya crazy GK na Pauline Zongo imetoka lini?Nadhani kutaja majina ilikuwa diss ya GK kwa ngoma aliyoimba na Pauline Zongo. Humo ndipo alitaja tu majina bila vina.
Wimbo upi huo mkuu wa GK aliotaja majina? Ziko ngoma mbili ambazo GK aliimba akitoa shukrani kwa watu wa Media wa Enzi hizo pamoja na Media zenyewe
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app