Nini kilikua chanzo cha ugomvi wa Afande Sele na O Ten?

Nini kilikua chanzo cha ugomvi wa Afande Sele na O Ten?

Hawawezi kuelewa na mkali wa chorus zake bi paulina zongo. Nakumbuka naona ama zangu ama zao niliona ile video iko level za destiny child ile ya survivor.
Gk alikuwa anajiona kama mbele na style yake ya kigugumizi aliimaster. Halafu ilikuwa vijana tangulia kuimba mimi kamanda namalizia kwa kufunga kazi kwenye nyimbo zote
Mkuu umeua
Walikuja kuhenyeshwa na JW sababu ya zile gwanda katika Ile video ya ama zangu ama zao
 
Afande aliwapinda kwenye Ile nyimbo kua wanajisifu wanaishi ushuani wakati kwao hamna kitu
 
Mkuu umeua
Walikuja kuhenyeshwa na JW sababu ya zile gwanda katika Ile video ya ama zangu ama zao
Hawakudakwa.
Kuna wimbo nadhani ule unaitwa ITIKADI
Kuna dogo aliimba"" Wana Usalama wananisaka kunitarget,hata Waitara anafahamu kuwa mi ni Most wanted"
Waitara alikuwa Mkuu wa Majeshi
Yaani Kama hapa juzi Kati msanii aimbe anasakwa na Mabeyo
Au Bilnas aimbe anasakwa na Huyu CDF wa Sasa.
I miss those days when Music was Music and Bars were Bars
 
Kama ni uongo kaimba AFANDE SELE ktk DARUBINI KALI, Mm nimemQuote Afande! Uwe na adabu kwa Mtu ambaye hujui anasomekaje ktk phone book ya Bi Mkubwa ako
Nadhani kutaja majina ilikuwa diss ya GK kwa ngoma aliyoimba na Pauline Zongo. Humo ndipo alitaja tu majina bila vina.
 
Ule wimbo ulijaa matusi, utasikia.....nimeshachoka kupiga puchu.....aaaghgggg, ptuu
Enzi hizo maadili ya mtanzania chini ya rais shipavu asiyependa mzaha B. W. Mkapa

Kuna msanii aliwahi kuimba "wanawake wazuriwazuri wameolewa, yamebaki manunga yembe yanahangaika." Haukukaa hata wiki ukarungiwa.

Kikwete amechangia sana kuharakisha mmomonyoko wa maadili kupitia ukuzaji wa sanaa. Wasanii wa nchi hii wana taji lao motoni (kama upo.)
 
Yeah upo sahihi,siku hiyo waliotia fora pale ukumbini ni watoto wa Temeke waliokuja na inspector Haroun na Nature na watoto wa Moro ilikuwa bonge la mtiti

Afande aliua na ngoma ya Darubini kali enzi hizo ndio inatoka shangwe kama lote afande akakabidhiwa gari ambalo alipanda yeye na Dito mpaka Moro

Wapo waliosema Professa Jay alistahili ya kwamba eti Afande kushinda ilikuwa ni mchongo wa Shigongo kwakuwa siku za nyuma kuna makala ya kumpamba afande iliandikwa kweny gazeti lake nadhani la KIU(Japokuwa sina uhakika kama lilikuwa ni hili na kingine sina uhakika kama KIU ni part ya GLOBAL PUBLISHERS)..

Enzi hizo nilikuwa meneja wa kampuni fulani ya mabasi pale Ubungo siku hiyo watu wa Moro waliua route ya mabasi yetu maana waliyakodisha asilimia 80..
Kiu (yajibu), Uwazi, ijumaa na ijumaa wikenda, risasi. Yote ni part ya GP chini ya shigongo
 
Sio zote.

Mfano: Komaa Nao

Verse ya kwanza kabisa ameanza GK.

Verse zimepangana hivi:
Verse 1:
  • GK.
  • Mwana FA
  • A.Y

Verse 2:
  • (Simjui)
  • (Simjui)
  • Snaire.
Hapo kuna Sharif, Juma na Lady slay, hao vijana GK amepiga nao ngoma kadhaa za ECT, kama komaa nao, wamejichanganya, itikadi na ngoma ya mwisho kabisa ikiwa ni Piga manati ambayo ilitoka kama Dis track baada ya kundi la TMK Family kuvunjika, na wale jamaa wa TMK halisi Kuna na ngoma ya ndege Tunduni, na alikuwa akiwaandaa kama new generation ya ECT but unfortunately things went wrong hasa baada ya FA na AY kujitoa rasmi.
East Coast Team ndio kundi langu pendwa by then

Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
 
Kuna NGOMA za O_ten,
Nilizo zipenda,

1.Mimi
hii ilikua dis track Kwa afande Sele directly.
2.sifa kumi za demu
3.akipendacho Binti
4.nicheki
5.kisa Sina gari
6.nyandindi
7.uvumilivu
8.nakaza roho
9. Tusahau (remix)
10.nipo huru

Hizi ni baadhi ya kazi za O_ten
Umezingua unawezaje kutaka Ngoma za O ten bila kuitaja MKUU WA MKOA...
Hilo Pini lilikua n balaa...

Mi ni mkuu wa mkoa
Niko juu za meya
Mi kama Baba mwenye familia nalea
Mi kama king Niko juu zaidi ya queen.....
 
Back
Top Bottom