O_ten mzee wa pamba bifu lilianza baada ya O_ten kutoa NGOMA ya nicheki....
Heyoo nicheki.....ninavyo ng'araaa enzi izo yupo East coast team....
O-ten alitoa NGOMA za kujisifia, kusifu ngono na pombe....
Kitu ambacho mfalme wa Rhymes [emoji881] Afande Sele hakupenda.....
Umenikumbusha rafk angu tulipenda ku mwita O_ten mzee wa pamba.....
Alikua anakuja skul na cheni shingoni......
Kuna siku akatongoza mdada mmoja mzur mlokole ukawa msala....O_ten ni mtu wa bring bring... cash money [emoji857][emoji857] umarekani mwingi...majigambo.........
Binafsi nili mpenda O_ten na staili yake ya kuflow....[emoji851][emoji851][emoji851]
Afande alikua anawachana wanaimba nyimbo za kuchochea uvunjifu wa maadili.....