Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Kuna Sheria ya Faragha imepitishwa Juzi!
Tutafungwa! O Ten mara kadhaa anaonekana kwao Morogoro - Madizini Kilakala!
Tutafungwa! O Ten mara kadhaa anaonekana kwao Morogoro - Madizini Kilakala!
Ahsante kwa maelezo mkuu, daah Wengine tulikua ndanindani huko.
Vipi Oten sasa hivi yupo wapi??
Naomba uniwekee picha zake tafadhali za sasa na zamani