demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Binafsi nilikuwa namkubali sana enzi hizo.
Ila changamoto moja ilipekeaga kuachana naye, yaani alikuwa anapenda sana ku-flirt (kuchekeana chekea) kupitiliza na kila mtu especially wanaume.
Yaani hata washkaji yaani. Hilo jambo lilikuwa linaniumizaga sana kipindi hiko. Yaani nilikuwa naumia kiasi kwamba nilikuwa nadhani kitendo cha manzi ku-chekacheka na washkaji hakina tofauti na kufanya nao mapenzi.
Baadae nili uforce moyo wangu kwa kibinti kingine kisichokuwa na mbele wala nyuma. Nilifanya hivyo pasi na kumuweka wazi yule wa awali niliyekuwa naye, nikijua wazi kabisa sikuwa na sababu ya msinga ya kumfanyia hivyo.
Ila baadae akaanza kuhisi ukaribu wangu kwake unapungua na akaja kufahamu niko na mtu mwingine. Aliponiuliza nikamueleza knaga ubaga.
Nakumbuka akalia sana yaani huku akidai kuwa kwann sikumueleza. Ila baadae akazoeaga kuwa apart na mimi na maisha yakaendeleaga.
Kipindi hiko nadhani kulisababishwa na kutofahamu zaidi masuala ya Mapenzi. (Ujana) Mpaka sasa nikikumbuka huwa nachekaga sana kimoyo moyo.
Je, wewe una kisa chochote kilichopelekea uachane na mpenzi wako wa awali?
Ila changamoto moja ilipekeaga kuachana naye, yaani alikuwa anapenda sana ku-flirt (kuchekeana chekea) kupitiliza na kila mtu especially wanaume.
Yaani hata washkaji yaani. Hilo jambo lilikuwa linaniumizaga sana kipindi hiko. Yaani nilikuwa naumia kiasi kwamba nilikuwa nadhani kitendo cha manzi ku-chekacheka na washkaji hakina tofauti na kufanya nao mapenzi.
Baadae nili uforce moyo wangu kwa kibinti kingine kisichokuwa na mbele wala nyuma. Nilifanya hivyo pasi na kumuweka wazi yule wa awali niliyekuwa naye, nikijua wazi kabisa sikuwa na sababu ya msinga ya kumfanyia hivyo.
Ila baadae akaanza kuhisi ukaribu wangu kwake unapungua na akaja kufahamu niko na mtu mwingine. Aliponiuliza nikamueleza knaga ubaga.
Nakumbuka akalia sana yaani huku akidai kuwa kwann sikumueleza. Ila baadae akazoeaga kuwa apart na mimi na maisha yakaendeleaga.
Kipindi hiko nadhani kulisababishwa na kutofahamu zaidi masuala ya Mapenzi. (Ujana) Mpaka sasa nikikumbuka huwa nachekaga sana kimoyo moyo.
Je, wewe una kisa chochote kilichopelekea uachane na mpenzi wako wa awali?