DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Sio elfu 50,Elfu 50 ya mwaka 92..?
Tena Primary school..?
Msalimie sana Mheshimiwa Mstaafu Waziri wa Awamu ile (ambaye ni baba yako)...[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni sh. 50 mkuu[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio elfu 50,Elfu 50 ya mwaka 92..?
Tena Primary school..?
Msalimie sana Mheshimiwa Mstaafu Waziri wa Awamu ile (ambaye ni baba yako)...[emoji23][emoji23][emoji23]
lakini wewe hukuwa na mpango wa kumuacha licha ya usaliti wake???
Sh. 50 bhana, sio elfu 50 mkuu[emoji3]Elfu 50 ya mwaka gani bosi? View attachment 2120051
Hahahahh ex wangu alikuwa ni moja ya hao washkaji wachacheDuh.
Hii kitu ni next level kwakweli.
Ni washkaji wachache sana wanaweza fanya hivo.
Ukishakua mwanamke, kudanganywa haikwepeki[emoji4]Uongo,usaliti na distance. Sana sana uongo i hate lies tbvh.
Sawaa,lakini tumieni akili basi mnapodanganya😊Ukishakua mwanamke, kudanganywa haikwepeki[emoji4]
Tunafanana aisee,Aliniacha akaenda kwa monitor wa darasa tukiwa darasa la 5 aliona Mimi sina madaraka akafata wenye madaraka watu wa serekali
Sahii kabisa,Sawaa,lakini tumieni akili basi mnapodanganya[emoji4]
Ila DP wewe una karama kabisa ya Kuhonga....uklianza tangu utotoni mwenyewe....Mungu akubariki Sana🤔🤔🤔🤔Nilijibiwa hivo, Tena binti Yuko uso mkavu kabisa.
Hii ilinipata baada kuulizia mrejesho baada ya kuona kimya hajaijibu ile barua yangu nzur ya kimahaba nilomwandikia iliyokua na hongo sh. 50 kabisa[emoji4].
Ha ha ha.....Ila DP wewe una karama kabisa ya Kuhonga....uklianza tangu utotoni mwenyewe....Mungu akubariki Sana[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]