DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Umeanza mahusiano ukiwa na umr gani kwani mkuuFirst lover wangu nipo nae hadi Sasa Kama miaka 7 hivi up to date mtoto Fulani black bhana mapenzi yaache tu wasukuma wanapenda vibaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza mahusiano ukiwa na umr gani kwani mkuuFirst lover wangu nipo nae hadi Sasa Kama miaka 7 hivi up to date mtoto Fulani black bhana mapenzi yaache tu wasukuma wanapenda vibaya
Mi nimekuelewa vizuri 50,sio mchezo ilikuwa nyingi Sasa...wewe Ni mwanaume wa mfano,,,,hivi Hawa wenzio vipi?si wajifunze jamani?Ha ha ha.....
Wee Joannah Zaman iyo pesa ilkua mingi Sana ujue[emoji4]
Afu imekusanywa mafungu mafungu kwa jasho sana ili yote TU kumfanya mpenzi wako afurahi.
Enzi izo ua rose linauzwa ghali Sana (sh.5), unapasuka unalinunua Sasa ile ukilitia Kwny bahasha likiwa bichi natural kabisa,
Unafanya hima iyo barua ipelekwe chap kwa mhusika ili lisije nyauka likapoteza harufu yake soon TU atakapoifungua bahasha[emoji4]
mzee wangu kodi ya meza kitamboNilijibiwa hivo, Tena binti Yuko uso mkavu kabisa.
Hii ilinipata baada kuulizia mrejesho baada ya kuona kimya hajaijibu ile barua yangu nzur ya kimahaba nilomwandikia iliyokua na hongo sh. 50 kabisa[emoji4].
Ha ha ha....Mi nimekuelewa vizuri 50,sio mchezo ilikuwa nyingi Sasa...wewe Ni mwanaume wa mfano,,,,hivi Hawa wenzio vipi?si wajifunze jamani?
Alikusaliti halafu akakuacha???Alinisaliti nikagundua usaliti wake akaniacha
Niliachwa teh!
Halafu si uliniambia nije???Alitaka kunioa mke wa pili na ndo kwanza nikiwa nimemaliza form four[emoji28][emoji28][emoji28]
Zamani hapa mjini ushindani ulkua mkubwa Sana kwa warembo,
Uongo how.. sometimes tunadanganya kuokoa jahazi.Uongo,usaliti na distance. Sana sana uongo i hate lies tbvh.
Ndio,huwezi kuelewa kwa maandishi ilivyokuwaAlikusaliti halafu akakuacha???
Niache bhana 😂😂
Hii inawatokea wengi Sana hasa "age mates"Alikuwa age mate.... Wakati Yeye anataka kuolewa mimi wala sina hata wazo.basi akatokea mnyakyusa mmoja akatangaza nia akachukua jimbo. Daaa!! Mnyakyusa yule Ana bahati Sana amepata mwanamke bora sana. Siku mind but niliumia Sana.
Nipigie unielezee hebuNdio,huwezi kuelewa kwa maandishi ilivyokuwa
Nikupigie kwa maelezo kamili?
🤣🤣🤣🤣🤣Niache bhana 😂😂