Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]alijuaje Sasa kwamba wewe Ni kikojozi?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]aliniacha kisa alisikia mimi kikojozi....na nilikua kikojoz kweli...darasa la 5
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Wapuuzi Sana🤣🤣🤣🤣kulia Lia sanaHa ha ha....
Cha kusahngaza Bado et Vijana wa Sasahivi wapo majasili wanaomba kabisa Ela kwa wanawake, wengine wanalelewa kabisa[emoji848]
Mie bwana alinichana live tuu " mzabzab huna mbele wala nyuma kama mche wa sabuni"
Hii ni challenge kubwa sana kwa wapenzi wanaopendana na walioanza pamoja tangu utoto wao, unakuta mmependana kuanzia utotoni ila kutokana na wanawake kuwahi kukua inafikia hatua anahitaji kuanzisha familia wakati huo wewe ni bado unajipanga (unahitaji kama miaka mitano mbele), akitokea jamaa unapoteza mwanamke hivihivi hata kama bado anakupenda.Alikuwa age mate.... Wakati Yeye anataka kuolewa mimi wala sina hata wazo.basi akatokea mnyakyusa mmoja akatangaza nia akachukua jimbo. Daaa!! Mnyakyusa yule Ana bahati Sana amepata mwanamke bora sana. Siku mind but niliumia Sana.
Na inapiga sana upande wa wanaume.Hii inawatokea wengi Sana hasa "age mates"
JF Raha sana! Watu8 kumbe yeye anaziona sie Watoto wanaanza shule. Itabidi wengine tuache kucomment JF92 mkuu[emoji4]
Halafu si uliniambia nije???
Bado nakungoja baba[emoji4]
Ile ile ya mke wa tatu au sio mamaaa??Bado nakungoja baba[emoji4]
Kuna uzi hivi kakubali kumuhonga demu laki 5 ili amle tu then amuache.. hapa akiwa standard 6 tu anatoa hongo ya elfu 50 kwa binti na inakataliwa!Elfu 50 ya mwaka gani bosi? View attachment 2120051
Mwanaume ukikosa hela bwana mwanamke anakuona sijui ni takataka gani. Anyways namshukuru alinipanvaluable lesson in life. Ukideal na wanawake ni mwendo wa fff basi[emoji1787][emoji1787]
kaka utoto[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].....unajua primary tulikua tunasoma na wana tunakaa nao mtaa mmoja....sasa nishaambiwa sana kikojozi demu wangu akawa anaona naimbwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]alijuaje Sasa kwamba wewe Ni kikojozi?