Nini kilikufanya uachane na mpenzi wako wa kwanza (first love)?

Nini kilikufanya uachane na mpenzi wako wa kwanza (first love)?

Dah m nilimkuta na mtu mwingine ila kwa kweli mapenzi ya zamani yalikuwa matam sana tofauti na siku hizi.

Nakumbuka mtoto alikuwa anaitwa JANE nilimwelewa na alinielewa sana yaan mtoto ukikaa nae hivi unajikuta unapata amani ya moyo.

Lakini ndio siko moja napita zangu kwenda shambani kati ya kijiji na kijiji nikamkuta anamsindikiza jamaa ambye hakuwa wa kijijin kwetu, aise sikuongea nae tena japo alikuja kuolewa na huyo jamaa na wanaishi pamoja hadi leo.

Lakini ndio hivyo mara nyingi ananipigia kuwa namsusa na kutaka tukumbushie mambo ila namwambia yale yalishapita
 
it's just a matter of time, it will pass
Yeah sure!

I loved this girl, some 14 years ago. Was madly in love. Crossed some lines to make her happy. There was an opportunity for 5 students to visit Norway and my position was like guaranteed as the host school wanted someone holding my position to be in a trip.

I did so much to get her in the time and yes she was. We flew together, Zenji- Trondheim- Mo I rana. Had good time, and upon return she told me it was over at the airport (Zanzibar airport).

I came to realise that I had made a mistake, and sadly my mistake was that I was black.
 
Nilienda kuishi mbali nae akapewa vishawishi akaanza kucheat(kumbuka hapo ana mtoto ananyonyesha), baadae akaanza akaniambia "mm nataka kuolewa" nikamuuliza vip kuhusu mwanangu? akanijibu "nitamwambia baba yako alishakufa" hii kauli iliniuma lakini bado sikuwaza kumuacha, niliporudi (hii ni baada ya kama miaka miwili) nilienda kwao kumuona mtoto(alitoka nyumban kwetu akarudi kwao) nikamkuta ana ujauzito wa mtu mwingne bado sikufikiria kumuacha, nilikuwa tayari kubeba huo mzigo kama wangu mambo yakikaa sawa ila hakuwa muwazi na bado sikufiria kumuacha, alikuja nitamkia siku moja kwenye sim nisimtafte tena yeye sahv ni mke wa mtu bas hapo hapo nikafuta no zake na ndio ikawa mwisho wangu mm na yeye.

Sijui kwann huwa napenda kiasi hiki
Dah pole sana mzee.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]
 
Yeah sure!

I loved this girl, some 14 years ago. Was madly in love. Crossed some lines to make her happy. There was an opportunity for 5 students to visit Norway and my position was like guaranteed as the host school wanted someone holding my position to be in a trip.

I did so much to get her in the time and yes she was. We flew together, Zenji- Trondheim- Mo I rana. Had good time, and upon return she told me it was over at the airport (Zanzibar airport).

I came to realise that I had made a mistake, and sadly my mistake was that I was black.
😢 gosh! but that wasn't your mistake.. she was so naive and narrow minded that wasn't your mistake at all. Sorry about that
 
Nakumbuka nilikua form one nilimpendaga mtoto huyo na yeye alinipenda sana ila mwenzangu alikua na tamaa sana tangu kipind hicho, nakumbuka alikua anatoka na mtu mzima umri wa baba ake alikua anamhonga nilikuja kugundua nikaachana nae niliumia sana

Ila badaa ya miaka tulikuja kukutana kila mtu ana ishu zake maIsha yakaendelea tukawa marafik wa kawaida tupo mikoa tofauti.. pamoja na uzuri wake ajaolewa kaishia kuzalishwa tu kawa na adabu

Ila naamini mpka leo sijawahi penda kama kipind hicho nilivompendaga yule binti ila alinifundisha nisiwaamini wanawake na mpka leo nishakuwa mtu mzima sijawahi kuumizwa na mpuuzi wa kike kisa mapenz na haitotokea tena
Dah aisee.

Kweli mapenzi yanabadilisha tabia za watu.
 
Women are most dangerous to a man who sees them as innocent and harmless

When a man is not deluded enough to think this he can not only outmaneuver her but outclass her at her own game

Lot of this delusion is result of social brainwashing

Our ancestors weren't this stupid

Sent using Jamii Forums mobile app
This Is Deep content...
 
Nilimpenda huyu dada nikiwa form one nikamtongoza akakubali.

Ilikuwa tunakaribia kufunga shule kwa hiyo nikampa namba ya bi mkubwa ili awe anawasiliana na mimi maana sikuwa na simu kipindi hicho.

Siku moja kipindi cha likizo alinipigia akapokea bi mkubwa. Kumuuliza yeye ni nani binti maneno hana. Bi mkubwa alimfokea sana kuwa eti binti huyo mdogo "anamuharibia" mwanaye.

Simu ikakatwa na tangu siku hiyo binti huyo hakunitafuta tena na tulipofungua shule akajifanya kama hanijui. Aisee niliumia sana. Nakumbuka hata shule nilikuwa sitaki [emoji1787][emoji1787] ikabidi nitafutiwe mwanasaikolojia anishauri ili nikae sawa. Yes that happened.

Ulikuwa ni utoto yes! Lakini nilimpenda sana and i still do.

Anasoma chuo kimoja hapa Tanzania. Tutakutana tu.
Milima.haikutani, Binadamu hukutana.

Ipo siku.
 
Dah m nilimkuta na mtu mwingine ila kwa kweli mapenzi ya zamani yalikuwa matam sana tofauti na siku hizi.

Nakumbuka mtoto alikuwa anaitwa JANE nilimwelewa na alinielewa sana yaan mtoto ukikaa nae hivi unajikuta unapata amani ya moyo. Lakini ndio siko moja napita zangu kwenda shambani kati ya kijiji na kijiji nikamkuta anamsindikiza jamaa ambye hakuwa wa kijijin kwetu, aise sikuongea nae tena japo alikuja kuolewa na huyo jamaa na wanaishi pamoja hadi leo.

Lakini ndio hivyo mara nyingi ananipigia kuwa namsusa na kutaka tukumbushie mambo ila namwambia yale yalishapita
Ko ulikuwa na mahusiano na mke wa mtu pasi na wewe kujua?
 
Yeah sure!

I loved this girl, some 14 years ago. Was madly in love. Crossed some lines to make her happy. There was an opportunity for 5 students to visit Norway and my position was like guaranteed as the host school wanted someone holding my position to be in a trip.

I did so much to get her in the time and yes she was. We flew together, Zenji- Trondheim- Mo I rana. Had good time, and upon return she told me it was over at the airport (Zanzibar airport).

I came to realise that I had made a mistake, and sadly my mistake was that I was black.
Duh.

Hatari Aisee.
 
Back
Top Bottom