cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh.Alicheat na best yangu[emoji23][emoji23] iliuma kichizi
Unamuuliza anajibu " ndio kwani utanifanya nn"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeh.Alicheat na best yangu[emoji23][emoji23] iliuma kichizi
Unamuuliza anajibu " ndio kwani utanifanya nn"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuliachana baada ya kuiba vanishi Gheto alijua mafuta y kula nikamwaga manyanga.
Mwanaume wewe una matatizo1St love wangu tulikua ktk mahusiano wakat huo tupo O level, ila hatukuwahi kufanya matusi couz wote tulikua tunasoma boarding school shule tofaut, ko kukutan ni likizo tyuuh.
Wazazi wetu walikua wafanya kazi pale sehemu, tulidumu kwa mwaka m1, baadae wazazi wake na yeye walihamia mkoani kwao, ko tangu hapo hatukuwahi kuwa na mawasiliano tumekuja kukutana chuoni kila m1 akiwa na mahusiano yake mengine.
Umbali ndio sababu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila sikuzidi wee.Mwanaume wewe una matatizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wacha wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Distance bana alivomaliza chuo akaenda kwao Mwanza wakati mimi Ndokwanzaaa nilikua form 5 moro
Bwana wee. Smart911 kumbe ndio maana?Distance bana alivomaliza chuo akaenda kwao Mwanza wakati mimi Ndokwanzaaa nilikua form 5 moro
Ndiwoooo!!! My Joe hadi leo namkumbukaWacha wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usije ukanisingizia kuwa Zabron Hamis ndiyo nimemtuma, mi sipo ila nina mkakati wa kumrudisha kundini cocastic ambaye anajifanya ni mwenzenu bila K!😏😏😏😏😏😏😏😏😏👊👊👊👊🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Sasa Sisi tunahusikaje hapo wenawe hebu huko!🚶🚶🚶🚶🚶Usije ukanisingizia kuwa Zabron Hamis ndiyo nimemtuma, mi sipo ila nina mkakati wa kumrudisha kundini cocastic ambaye anajifanya ni mwenzenu bila K!
Wakati ule wa mapenzi shatashata ulikuwa husikii wala huoni. Ikawaje tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Mambo yeti tuachieni wenyewe!!🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶Wakati ule wa mapenzi shatashata ulikuwa husikii wala huoni. Ikawaje tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Game is everything Bro, look what Happened when she met Dicaprio, and Bezos is the second richest man in the World. Watu wanamfuck na pesa zako unabaki nazo mwenyewe.Thamani ya mwanaume ni kweli Mali, na sio U-handsome!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 1St love inakuaga motooo.Ndiwoooo!!! My Joe hadi leo namkumbuka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unateseka ukiwa wapi? RelaaaaaxUsije ukanisingizia kuwa Zabron Hamis ndiyo nimemtuma, mi sipo ila nina mkakati wa kumrudisha kundini cocastic ambaye anajifanya ni mwenzenu bila K!
Ahsanteeeh shos, hujawahi niangusha yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa Sisi tunahusikaje hapo wenawe hebu huko![emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]