CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
[emoji23][emoji23]That true... but sadly i got no time for it nowadays
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23]That true... but sadly i got no time for it nowadays
[emoji1487][emoji1487][emoji1487][emoji1487]Mi nmeanza kula mbususu tangu Niko STD 5 mkuu[emoji4]
Kumbe kipaji cha kodi ya meza kitambo tu mkuu.Nilijibiwa hivo, Tena binti Yuko uso mkavu kabisa.
Hii ilinipata baada kuulizia mrejesho baada ya kuona kimya hajaijibu ile barua yangu nzur ya kimahaba nilomwandikia iliyokua na hongo sh. 50 kabisa[emoji4].
Jamaa anazingua Sio kidogo shos!! yani ananiboa KweliAhsanteeeh shos, hujawahi niangusha yaan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Most definitely bro.Game is everything Bro, look what Happened when she met Dicaprio, and Bezos is the second richest man in the World. Watu wanamfuck na pesa zako unabaki nazo mwenyewe.View attachment 2121032
Nashangaa anavo haha na mtu hata hamuhusu wala kumjua khaaahjamaa anazingua Sio kidogo shos!! yani ananiboa Kweli
So ukaamua kutoka nduki[emoji23][emoji23][emoji23]Alitaka kunioa mke wa pili na ndo kwanza nikiwa nimemaliza form four[emoji28][emoji28][emoji28]
😂😂😂😂😂😂 hapo kwa nyimbo za Marioo mie hoi!!Alikua ananipenda sana...
Alipoanza chuo mala ya kwanza kwanza akaninunuliaga na smartphones
Alipofika mwaka wa pili akawa ameshaanza kuijua UDSM Vizuri
Basi hapo ndio na mimi nkaanza kusikiliza nyimbo za marioo
So ukaamua kutoka nduki[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea mie nimecheka mbavu cna lol.
Std six ushaanza kulanaNiliambiwa nimeisha fashion[emoji4]
Nakumbuka,
I was in primary school, Tena STD 6
NILIUMIA SANA, SEMA ikanibidi kusonga mbele[emoji4]
Kulana nmeanza tangu niko STD 5[emoji4]Std six ushaanza kulana
Si hiyo kitu itakuwa imeisha jaman
Mkuu zamani tulokua tunasoma wakubwa Sana tofauti na miaka Hii.duuh nyie watu sio wazuri sisi wengine hofu imetutawala sana hasa kuhusu kuona kwa MUNGU
Sasa Inabidi muwe mnanipa shkamoo kabisa[emoji4]Bwana wee!
Ha ha ha ha....Haha ulivosema zamani ni kama sahiv ushindani kwenye kupata wadada warembo haupo DeepPond
Dah !Pole Sana, hapo Lazima ujiulize kwako alikua anakosa Nini.Usaliti...alianza kutembea na rafik zang nilipogundua nikamuacha ila nikaona maisha bila yeye magumu akarudi kuomba msamaha nikamsamehe. Baadae nilikuja gundua kampa mimba kabinti kadogo yaan kuliko hata mimi kipindi hicho nikaondoka mazima hadi leo.
Hamjakumbushia kidg, maana wee nae ushakua Ni bazazi kwelikweli1St love wangu tulikua ktk mahusiano wakat huo tupo O level, ila hatukuwahi kufanya matusi couz wote tulikua tunasoma boarding school shule tofaut, ko kukutan ni likizo tyuuh.
Wazazi wetu walikua wafanya kazi pale sehemu, tulidumu kwa mwaka m1, baadae wazazi wake na yeye walihamia mkoani kwao, ko tangu hapo hatukuwahi kuwa na mawasiliano tumekuja kukutana chuoni kila m1 akiwa na mahusiano yake mengine.
Umbali ndio sababu.
Iyo Hadi form 5 bado TU unabikra unatafuta kugundua nn[emoji848]Distance bana alivomaliza chuo akaenda kwao Mwanza wakati mimi Ndokwanzaaa nilikua form 5 moro