Nini kilikufanya uachane na mpenzi wako wa kwanza (first love)?

Ebhana demu alikua ananipenda sana tuko o level lakini aliponipa mzigo alikua na harufu mbaya sana na mimi nina kinyaa Niliachana nae kimya kimya nikawa na dem mwingine mtoto wa chugga alikua msafi sana.

Huyu dem mchafu nilikuja kukutana nae 2017 kashazaa watoto 4 na hana bwana nikampa hifadhi kwa siku kadhaa akanilipa papuchi ila kabadilika hainuki na nikamwambia o level nilikuacha kwakua ulikua na harufu kwenye k ukizama mgodini ukiibuka alooo harufu si mchezo kama wale dagaa wa ferry pale
 
Mpenzi wangu wa kwanza nilikua nina hisia nae sana ..mtoto wa kiimachame ana tako haswa halfu anavutia sana...tulivyoachana aliniambiaga sitokuja kupata mwanamke kama yeye...ila nikicheki ni kweli mwaka wa 4 huu na sijawah pata mwanamke ambaye nina hisia nae sana kama yeye..sjui ni mchawi yule mchaga
Tuliachana sababu hatukuaminiana
 
Kuna uzi hivi kakubali kumuhonga demu laki 5 ili amle tu then amuache.. hapa akiwa standard 6 tu anatoa hongo ya elfu 50 kwa binti na inakataliwa!

Sawa ni Jf where people are allowed to spew anything they wish .
but trust him at your own pity
Kasema Sh50
 
Hahaha
 
Gily Gru
Gru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…