Nini kilikufanya uachane na mpenzi wako wa kwanza (first love)?

Nini kilikufanya uachane na mpenzi wako wa kwanza (first love)?

Pole ndio mana mi nikikasirikaga huwa simjibu MTU kitu chochote hadi hasira yangu iishe

[emoji23][emoji23][emoji23] ulimfanya nini hadi akakuambia hivyo?
Hasira yako inachukua muda gani kuisha! Naomba kujifunza kwa nia njema
 
Nilipata ila aliniacha alipo enda chuo, nikapa mwingne tena nilipo amua kurudi kusoma(nikiwa mwaka wa pili nasaka kadiploma ) huyu niliamin nimepata ila mwisho wa siku tumerudi kitaani akaniambia anaenda kwao kumbe anaenda kuolewa nikaja ambiwa na rafiki zake kuwa kaisha olewa na kazalishwa tayari na hayupo kwao kama alivyo kuwa ananiambia bali yupo kwa mme wake(mji huo huo niliopo) na no ya sim kabadiriasha. Nikafuta kila kitu chake kuanzia namba za ndugu na rafiki zake. So now nipo single sienjoy ila najitaidi kufocus kwenye kutafta maisha
Duh pole sana maisha ndivyo yalivyo utampata right person
 
Nilienda kuishi mbali nae akapewa vishawishi akaanza kucheat(kumbuka hapo ana mtoto ananyonyesha), baadae akaanza akaniambia "mm nataka kuolewa" nikamuuliza vip kuhusu mwanangu? akanijibu "nitamwambia baba yako alishakufa"

Hii kauli iliniuma lakini bado sikuwaza kumuacha, niliporudi (hii ni baada ya kama miaka miwili) nilienda kwao kumuona mtoto (alitoka nyumban kwetu akarudi kwao) nikamkuta ana ujauzito wa mtu mwingne bado sikufikiria kumuacha,

Nilikuwa tayari kubeba huo mzigo kama wangu mambo yakikaa sawa ila hakuwa muwazi na bado sikufiria kumuacha, alikuja nitamkia siku moja kwenye sim nisimtafte tena yeye sahv ni mke wa mtu bas hapo hapo nikafuta no zake na ndio ikawa mwisho wangu mm na yeye.

Sijui kwann huwa napenda kiasi hiki
Vipi kuhusu mwanao kwa Sasa yuko wapi
 
Duh asee unamoyo sana mm mtu akionesh dalil nisizozielew nawah kujiengua nakufuta Namba yake
Binadamu tuna tofautiana sana mm huwa najipa mda nikiamin ipo siku atagundua kosa lake na kujirekebisha
 
Nilijibiwa hivo, Tena binti Yuko uso mkavu kabisa.

Hii ilinipata baada kuulizia mrejesho baada ya kuona kimya hajaijibu ile barua yangu nzur ya kimahaba nilomwandikia iliyokua na hongo sh. 50 kabisa[emoji4].
Na kwenye barua hiyo ukaweka dedication song ya MY HEART WILL GO ON by Celine Dion
 
Mlioanza mapenzi Primary na hadi leo Hamjaoa au kuolewa,Nyie ni Viburi Mlio kubuhu.

Primary hadi namaliza sina uwezo wa kusimama hata na kadada,ukiniitia mdada natoa mbio

Up to Date asili haiachi asili kuwa domo zege kupo kupo nakuona kabisa,ni basi tu huu mserereko naoupata

Ka mpenzi kangu ka kwanza daaah,Tuacheni masihara simkumbuki ni yupi,au mwalimu badlisha title labda

ntaweza ng'amua, maana wengine tulianza na double double, halafu House girl hv anaweza kuwa mpz wako

wa kwanza au hawa kina house girl tuwatoe kwenye kundi la (mpenzi) wa kwanza,maana wengine Ndio tumejifunzia humo Tabia mbaya.
 
Mlioanza mapenzi Primary na hadi leo Hamjaoa au kuolewa,Nyie ni Viburi Mlio kubuhu.

Primary hadi namaliza sina uwezo wa kusimama hata na kadada,ukiniitia mdada natoa mbio

Up to Date asili haiachi asili kuwa domo zege kupo kupo nakuona kabisa,ni basi tu huu mserereko naoupata

Ka mpenzi kangu ka kwanza daaah,Tuacheni masihara simkumbuki ni yupi,au mwalimu badlisha title labda

ntaweza ng'amua, maana wengine tulianza na double double, halafu House girl hv anaweza kuwa mpz wako

wa kwanza au hawa kina house girl tuwatoe kwenye kundi la (mpenzi) wa kwanza,maana wengine Ndio tumejifunzia humo Tabia mbaya.
Kwan wao sio binadamu?
 
Tunafanana aisee,
Mimi alienda kwa Kiranja mkuu[emoji4]

Nikapigwa kitu kizito
Kaka Mkuu wa shule yetu alikua anawafaida sana,yule jamaa alikua mkubwaa

halafu ana ndevu,vidada vyote vizuri ni vyake,ukvgusa tu utavskia vnaenda kukusemea kwa kaka edward,

Edward (kaka mkuu) akija huko ni atakudekisha vyoo vya shule nzima,utafagia madarasa yote, ki ufupi

Kuwa kaka mkuu Primary n bonge 1 ya title,ubaya lile jamaa halfu haliku na akili linaigia hilooo....
 
Kwan wao sio binadamu?
Ila yale tunayaitaje mapenzi wakat hata kupeana ni kwa kuiba usiku Tu,tena bila kuombana

sikumbuki kama wakat naanza yale matabia mabaya hata kama nlikuaga na piz,mi nlikuaga nkchoka tu natoa nalala,imeisha hiyo.

HG sio mpenzi Hapana mi nimegoma.
 
Ila yale tunayaitaje mapenzi wakat hata kupeana ni kwa kuiba usiku Tu,tena bila kuombana

sikumbuki kama wakat naanza yale matabia mabaya hata kama nlikuaga na piz,mi nlikuaga nkchoka tu natoa nalala,imeisha hiyo.

HG sio mpenzi Hapana mi nimegoma.
Ukuwai kukutana na unae muelewa tu ila wapo tuliowai angukia huko had leo tunajutia kuwapoteza
 
Ukuwai kukutana na unae muelewa tu ila wapo tuliowai angukia huko had leo tunajutia kuwapoteza
Hapa tunaongelea "mpenzi wa kwanza" mkuu sio vinginevyo,

Sina maana HG hawezi kuwa mpenzi,ila kumuita First Love ni uongo.
 
Kaka Mkuu wa shule yetu alikua anawafaida sana,yule jamaa alikua mkubwaa

halafu ana ndevu,vidada vyote vizuri ni vyake,ukvgusa tu utavskia vnaenda kukusemea kwa kaka edward,

Edward (kaka mkuu) akija huko ni atakudekisha vyoo vya shule nzima,utafagia madarasa yote, ki ufupi

Kuwa kaka mkuu Primary n bonge 1 ya title,ubaya lile jamaa halfu haliku na akili linaigia hilooo....
Kumbe mlikuwa mnanikubali mm edward mtumbadi
 
Back
Top Bottom