Nini kilikufanya uachane na mpenzi wako wa kwanza (first love)?

Nini kilikufanya uachane na mpenzi wako wa kwanza (first love)?

Nyama moja ya kimburu. Nilipata kwa zari la mentali kipindi nikiwa sijawahi gegeda demu kipindi nimetoka primary naingia secondary. Dada yake alimleta akamtambulisha kwangu na binti akanielewa.

Sikuomba mchezo yeye ndie aliomba. Mwanzoni nikahisi ananidanganya kuwa yeye bikra maana bikra huwa hawaombi mchezo ila nikaja kujiridhisha baada ya show ya kwanza.

So ikawa neema hadi alipoanza machepele yake. Balaa lilianza alipokuwa akiishi alianza mahusiano na blaza m'moja age kama 35 hivi kipindi hicho alikuwa mfanyabiashara so akawa anamrubuni kwa kumuonyesha vibunda vya hela na zawadi ndogo ndogo.

Yule Pimbi akanipa kubwa siku tumekutana kuwa mimi mwanafunzi bado so tunapotezana muda. Nimalize shule nitapata mke wa maisha yangu yeye hakuwa halali yangu kutoka kwa MUNGU. Ile siku niliumia sana. Maana nilipata kwa mara ya kwanza chungu ya moyo ya mapenzi.

Ila ndani ya moyo sikukata tamaa nikaendelea kuwa na hope kuwa pengine amevuta bangi ndio zinambangua.

Tukapotezana kama mwaka tukakutana tena safari hii akiwa mjamzito wa miezi kadhaa karibia kujifungua. Dah nilipata shoti moja kali sana ya ndani kwa ndani hadi ikaunguza fuse ya upendo kwake nikasema famililahi.... Dunia ni ya duara....inazunguka kila siku..... nenda mwana kwenda...... utakwenda utarudi tena utanitokea kwa nyuma utanikuta hapa hapa uliponiacha kwa ukatili wa hali ya juu mbwa wewe.

So nikapiga moyo konde life ikaendelea. Fast-forward leo hii. Alirejea miaka ya baadae kabla ya leo hii akanitafuta na kunisimulia habari za mifarakano kwenye uhusiano wake. Inaonekana jamaa alikuwa na wivu,akawa na wanawake wengine, vipigo, plus binti alilala na mtu mwingine alipopata ujauzito wa mtoto wa pili jamaa akashtuka kuwa amebambikiwa safari hii maana hakuelewa elewa mazingira ya huo ujauzito kutunga akambalasa akarudi kwao Endasaki.

Nilishamleta Dar akaja kwangu na kutubu sana akinitengenezea mazingira kuwa yupo tayari kulianzisha tena na mimi kuwa this time amekoma na amejifunza na kuelewa umuhimu wa mapenzi ya kweli na atatumikia adhabu yoyote nitayompa kwa ukatili alinifanyia.

Nikampanga kuwa nimekubali ombi lake ila anipe muda kwanza niweke mambo sawa. Aliponiuliza mambo gani nikamwambia siri yangu siwezi kumwambia lolote kwa sasa maana siamini mwanamke kwa sasa so siwezi mwambia kitu akakubali bila ubishi. Yupo huko mkoa anasubiria maamuzi yangu mwaka wa nne huu.

Shenzi. Naanzaje mechi na goli mbili tena za kujitakia. Asubirie hadi uzee umkute.....
Safi
 
Nilimuacha kwasababu alikua Mwarabu, na mimi nilimkubalia tu ila sikumpenda.

So nilivyohama shule nikamuandikia barua tuachane.Aliumia sana kaka wa watu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Binafsi nilikuwa namkubali sana enzi hizo.

Ila changamoto moja ilipekeaga kuachana naye, yaani alikuwa anapenda sana ku-flirt (kuchekeana chekea) kupitiliza na kila mtu especially wanaume.

Yaani hata washkaji yaani. Hilo jambo lilikuwa linaniumizaga sana kipindi hiko. Yaani nilikuwa naumia kiasi kwamba nilikuwa nadhani kitendo cha manzi ku-chekacheka na washkaji hakina tofauti na kufanya nao mapenzi.

Baadae nili uforce moyo wangu kwa kibinti kingine kisichokuwa na mbele wala nyuma. Nilifanya hivyo pasi na kumuweka wazi yule wa awali niliyekuwa naye, nikijua wazi kabisa sikuwa na sababu ya msinga ya kumfanyia hivyo.

Ila baadae akaanza kuhisi ukaribu wangu kwake unapungua na akaja kufahamu niko na mtu mwingine. Aliponiuliza nikamueleza knaga ubaga.

Nakumbuka akalia sana yaani huku akidai kuwa kwann sikumueleza. Ila baadae akazoeaga kuwa apart na mimi na maisha yakaendeleaga.

Kipindi hiko nadhani kulisababishwa na kutofahamu zaidi masuala ya Mapenzi. (Ujana) Mpaka sasa nikikumbuka huwa nachekaga sana kimoyo moyo.

Je, wewe una kisa chochote kilichopelekea uachane na mpenzi wako wa awali?

Pombe na Clubbing .
 
Alikua ananipenda sana...
Alipoanza chuo mala ya kwanza kwanza akaninunuliaga na smartphones
Alipofika mwaka wa pili akawa ameshaanza kuijua UDSM Vizuri


Basi hapo ndio na mimi nkaanza kusikiliza nyimbo za marioo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]
 
Yeah sure!

I loved this girl, some 14 years ago. Was madly in love. Crossed some lines to make her happy. There was an opportunity for 5 students to visit Norway and my position was like guaranteed as the host school wanted someone holding my position to be in a trip.

I did so much to get her in the time and yes she was. We flew together, Zenji- Trondheim- Mo I rana. Had good time, and upon return she told me it was over at the airport (Zanzibar airport).

I came to realise that I had made a mistake, and sadly my mistake was that I was black.
Weeeh...pole broh!
 
I moved on, I moved on and married a person I love to death.

I learned how to love and believe me I am over the moon! Living happy life, enjoying every bit of it.

Precisely, I married a girl with Arabian origin just like her. Life is crazy my friend.

So you can learn how to love again, should you fail, let me know and I will teach you!
Kabisaa yaani! Unapenda tena tena deeply in love!!haikua rizki broo!huyu ndo alikua huru l ain wako
 
Nilijibiwa hivo, Tena binti Yuko uso mkavu kabisa.

Hii ilinipata baada kuulizia mrejesho baada ya kuona kimya hajaijibu ile barua yangu nzur ya kimahaba nilomwandikia iliyokua na hongo sh. 50 kabisa[emoji4].
Kumbe kuhonga umeanza kitambo we mzee
 
Back
Top Bottom