Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Sasa huko kwa majirani ulikuwa unawaomba chakula au ulikuwa unapiga chabo wakitenga chakula tuu unatia timu?Mda mwingine unaona njaa itaniua unaamua kugusa gusa (kula) kwa majirani, baada ya hapo masimango ya kuwa "mpaka hapo ulipofikia bila sisi ungekuwa umeshakufa uwe unatushukuru kila kukicha[emoji51]" na kadhalika.
Binafsi masimango ndio sababu iliyonifanya niache kula kwa majirani
Huna familia?
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app