Nini kilikufanya ukaacha ajira ya serikalini ukaingia sekta binafsi?

Nini kilikufanya ukaacha ajira ya serikalini ukaingia sekta binafsi?

Binafsi niliachana na kazi ya kuajiriwa baada ya kuchoka kuhama kila mradi mradi mpya unapoanza,boss anaweza jiskia kukuhamisha tu maksudi na hulipwi pesa ya usafiri..leo uko tabora baada ya mqaka upo Tanga hujasettlo vizuri upo singida..nkaona huu ujinga imetosha kujiajiri ..nitulie nifanya plan c d na e ..maisha yanasonga..nabiashara,nalima nafuga kwenye siasa pia nipo.nilijiuliza lini nitasettle na familia yangu?ntalipa kodi za nyumb mpk lini akati nimejenga?safari za kila mwezi kuona familia umri unaenda familia inaongezeka hivo..nkaachana na hizo mambo.
Kwa hilo Mkuu nakuunga mkono kufanya maamuzi hayo.
 
Kama Una dreams kubwa serikalini ni sehemu ya kwenda kuchukua MTAJI na kurudi kuendelea na harakati zako.

Is kidding to believe that you gonna make rich in someone's else office.
Hicho ndicho nakiona mkuu. No way unaweza ukafanya maendeleo makubwa kwa 9-5 Job
 
Binafsi niliachana na kazi ya kuajiriwa baada ya kuchoka kuhama kila mradi mradi mpya unapoanza,boss anaweza jiskia kukuhamisha tu maksudi na hulipwi pesa ya usafiri..leo uko tabora baada ya mqaka upo Tanga hujasettlo vizuri upo singida..nkaona huu ujinga imetosha kujiajiri ..nitulie nifanya plan c d na e ..maisha yanasonga..nabiashara,nalima nafuga kwenye siasa pia nipo.nilijiuliza lini nitasettle na familia yangu?ntalipa kodi za nyumb mpk lini akati nimejenga?safari za kila mwezi kuona familia umri unaenda familia inaongezeka hivo..nkaachana na hizo mambo.
kiongozi nipe ideas una fanya biashara gani ...na mm nipe hata ka idea
 
Biashara niliayoamua kuifanya ni kutoa huduma ambayo niliona ni changamoto kulingana na eneo nililopo...niamini mm kuna fursa ambazo hazipo katk mfumo rasmi mtaani na watu wengi hasa wasomi huzichukulia poa na wanapitwa kwa kuwa huziradhau na sio hadhi zao.... na zipo nakwambia ongea na watu upate vitu nanusidhau mtu..nikupe ushuhuda kidogo nilikuwa natamani sana kuingia katk siasa na sikuwa najua wapi nianzie nilikamilisha process zote ila nilihitaji mtu mmoja tu kunipa kuongozo wapi nianzie ili nifikie ndoto yangu huwezi amini mtu aliyenifanikisha nia yangu nilyoikatia tamaa kwa mwaka mzima ni boda boda aliyenipakiza kama abiria nilifanikisha nia yangu kwa namna hiyo ni katika kuongea ongea nikagundua anaweza kuwa msaada nikafanikiwa .mm ni mtu nisiyepitwa na fursa nikiskia tu lazima niifatilie kwa namna yyte ile as long as as inamaslahi kwangu ... nyumbani kwangu nafuga na ninamiti ya matunda pia ni pesa hiyo msimu wake napiga pesa ...na mm si kwamba sikusoma am degree holder mkuu
 
Kama Una dreams kubwa serikalini ni sehemu ya kwenda kuchukua MTAJI na kurudi kuendelea na harakati zako.
Is kidding to believe that you gonna make rich in someone's else office.
Angalia vizuri title ya uzi. Ni ajira serikalini vs ajira sekta binafsi. Haijasema ajira serikalini vs ajira binafsi.
 
Biashara niliayoamua kuifanya ni kutoa huduma ambayo niliona ni changamoto kulingana na eneo nililopo...niamini mm kuna fursa ambazo hazipo katk mfumo rasmi mtaani na watu wengi hasa wasomi huzichukulia poa na wanapitwa kwa kuwa huziradhau na sio hadhi zao.... na zipo nakwambia ongea na watu upate vitu nanusidhau mtu..nikupe ushuhuda kidogo nilikuwa natamani sana kuingia katk siasa na sikuwa najua wapi nianzie nilikamilisha process zote ila nilihitaji mtu mmoja tu kunipa kuongozo wapi nianzie ili nifikie ndoto yangu huwezi amini mtu aliyenifanikisha nia yangu nilyoikatia tamaa kwa mwaka mzima ni boda boda aliyenipakiza kama abiria nilifanikisha nia yangu kwa namna hiyo ni katika kuongea ongea nikagundua anaweza kuwa msaada nikafanikiwa .mm ni mtu nisiyepitwa na fursa nikiskia tu lazima niifatilie kwa namna yyte ile as long as as inamaslahi kwangu ... nyumbani kwangu nafuga na ninamiti ya matunda pia ni pesa hiyo msimu wake napiga pesa ...na mm si kwamba sikusoma am degree holder mkuu
Haujataja fursa hata moja isiyo ktk mfumo rasmi mtaani au ile uifanyayo badala yake umeenda kutumwaga kwenye siasa, mkuu mbona hivyo?
 
Haujataja fursa hata moja isiyo ktk mfumo rasmi mtaani au ile uifanyayo badala yake umeenda kutumwaga kwenye siasa, mkuu mbona hivyo?
Tumia fikra zako vizuri ...anglia unaweza kufanya nn ktk eneo lako litakalokuketea matokeo chanya..naweza kushauri ununue korosho kwa wakulima upeleke vyama vya ushirika kumbu upo katavi huko unatakiwa ulime mahindi upeleke Kenya ..km huna hobby na siasa sio lazma ufanye maish ni kupanga ushap wako mtaani ndo kufanikiwa kwako km huoni fursa rudi jifunike blanketi lala mkuu si lazima uamke saa hii maisha yana formula nyingi sana si lazma utumie zangu
 
Tumia fikra zako vizuri ...anglia unaweza kufanya nn ktk eneo lako litakalokuketea matokeo chanya..naweza kushauri ununue korosho kwa wakulima upeleke vyama vya ushirika kumbu upo katavi huko unatakiwa ulime mahindi upeleke Kenya ..km huna hobby na siasa sio lazma ufanye maish ni kupanga ushap wako mtaani ndo kufanikiwa kwako km huoni fursa rudi jifunike blanketi lala mkuu si lazima uamke saa hii maisha yana formula nyingi sana si lazma utumie zangu
Yeye alitaka umtajie kila kitu ili akacopy na kupaste😁😁.... Ujasiriamali sio kucopy idea ya mtu ni uwezo wa kuziona fursa katika eneo lako na kuzifanyia kazi ziweze kukupa mafanikio.
 
Yeye alitaka umtajie kila kitu ila akacopy na kupaste😁😁.... Ujasiriamali sio kucopy idea ya mtu ni uwezo wa kuziona fursa katika eneo lako na kuzifanyia kazi ziweze kukupa mafanikio.
Mvivu wa kufikiri muache asubir kudigestiwa kila kitu spoon feeder huwa wagumu kuchakata mambo, hawa ndo wakipewa mitaji wanakula faida na mitaji wanarudi kulalamika hapa JF..na ndo hawa hawa wanaishi karibu na shule ya hawezi funga ice ream akauza anaona aibuna hapo hana shughuli yoyote mtaani ya kumuingizia pesa..asojua maana haaimbiwi maaana
 
Mvivu wa kufikiri muache asubir kudigestiwa kila kitu spoon feeder huwa wagumu kuchakata mambo, hawa ndo wakipewa mitaji wanakula faida na mitaji wanarudi kulalamika hapa JF..na ndo hawa hawa wanaishi karibu na shule ya hawezi funga ice ream akauza anaona aibuna hapo hana shughuli yoyote mtaani ya kumuingizia pesa..asojua maana haaimbiwi maaana
Mvivu wa kufikiri muache asubir kudigestiwa kila kitu spoon feeder huwa wagumu kuchakata mambo, hawa ndo wakipewa mitaji wanakula faida na mitaji wanarudi kulalamika hapa JF..na ndo hawa hawa wanaishi karibu na shule ya hawezi funga ice ream akauza anaona aibuna hapo hana shughuli yoyote mtaani ya kumuingizia pesa..asojua maana haaimbiwi maaana
Kiukweli fursa zipo nyingi changamoto kubwa ni mitaji lakini tofauti na hivyo watu tungekuwa mbali kiuchumi
 
Njoo
Habari zenu ndugu zangu na wanajamvi letu pendwa la HHM.

Nimekuja kwenu tena kama mwanajamvi kujifunza kitu kutoka kwenu.

Kama utafuatilia hapo nyuma niliweka uzi wangu juu ya kukosa morali na mvuto na ajira yangu. Labda niweke hivi, Kabla sijaingia kwenye ajira nilikuwa na kibiashara changu ambacho kimenisaidia sana na mpaka ajira zinatoka kwamba nimepangiwa huku Mtwara nilikuwa nimeifikisha nyumba yangu katika hatua ya Mwisho kabisa. Na Biashara ipo bado inaendelea so mimi nikawa nimeiacha Biashara nikamwacha mdogo wangu wakisaidiana na mrs kusimamia biashara yetu. Yeye mdogo wangu huwa namlipa mshahara kama mfanyakazi maana natambua yeye sio mmiliki wa Biashara ila ni ndugu na anafanya vizuri.

Baada ya kuwa nimekuja huku kusema ukweli mipango yangu na mategemeo yangu yanaelekea kukwama. Suala la uhamisho ni ngoma nzito mana hizi Halmashauri hawapitishi uhamisho kama huna wa kubadilishana naye. Na sina connection ya simu moja ambayo inaweza kunisaidia kusukuma mchakato wa kuomba kuhama nirudi nikajumuike na familia. Nahisi kukata tamaa na kuchoka kuishi mbali na familia. Sokilicho tawala akili yangu ni mawazo ya kuachana na hii kazi nirudi nijumuike na familia yangu na nikaendelee kusimamia Biashara yangu na kuachana na ajira za utumishi.

Nataka kusikia kutoka kwenu, wale ambao mmewahi kuachana na ajira za serikali na kujitegemea au kufanya kazi kwenye mashirika binafsi, Ni nini ilikuwa sababu kubwa kwako hadi kuwaza kuondoka huko na nini ilikuwa changamoto baada ya wewe kuachana na ajira ya utumishi wa umma. Naomba tusaidiane mawazo.
Njoo inbox mkuu nikupe maushauri
 
Biashara niliayoamua kuifanya ni kutoa huduma ambayo niliona ni changamoto kulingana na eneo nililopo...niamini mm kuna fursa ambazo hazipo katk mfumo rasmi mtaani na watu wengi hasa wasomi huzichukulia poa na wanapitwa kwa kuwa huziradhau na sio hadhi zao.... na zipo nakwambia ongea na watu upate vitu nanusidhau mtu..nikupe ushuhuda kidogo nilikuwa natamani sana kuingia katk siasa na sikuwa najua wapi nianzie nilikamilisha process zote ila nilihitaji mtu mmoja tu kunipa kuongozo wapi nianzie ili nifikie ndoto yangu huwezi amini mtu aliyenifanikisha nia yangu nilyoikatia tamaa kwa mwaka mzima ni boda boda aliyenipakiza kama abiria nilifanikisha nia yangu kwa namna hiyo ni katika kuongea ongea nikagundua anaweza kuwa msaada nikafanikiwa .mm ni mtu nisiyepitwa na fursa nikiskia tu lazima niifatilie kwa namna yyte ile as long as as inamaslahi kwangu ... nyumbani kwangu nafuga na ninamiti ya matunda pia ni pesa hiyo msimu wake napiga pesa ...na mm si kwamba sikusoma am degree holder mkuu
Degree holder unapewa mchongo wa siasa na Bodaboda asiyejua hata kunawa uso?

Ulikuwa unataka kuwa chawa tu huna lolote.
 
Degree holder unapewa mchongo wa siasa na Bodaboda asiyejua hata kunawa uso?

Ulikuwa unataka kuwa chawa tu huna lolote.
Sjui umenisoma vizuri nilichoandika...when i have passion nakitu haijalishi nani ataniongoza kufikia lengo as long as nia yangu imetimia kwangu sio shida,rejea story ya Yusuf mnyweshaji ndie aliyesabaisha katoka gerezani..story ya Musa pia aliokolewa na mjakazi wa binti mfalme ..sina dharau na watu wa kipato cha chini hata hao boda boda ni watu pia na ukute si ajabu wanakuzidi maendeleo wewe mpaka wazazi wako..hizo dharauna kuwaona wenzenu kama takataka ndo zinawaponza,kwa taarifa yako mlinzi anaweza kukusaidia kuonana na bosi na PS akazingua.. Pona huo ubaguzi uache kulala kwa shemeji yako jitegeme siku dada ako akifukuzwa utalalwa wewe shauri yako
 
Kule serikalini kuna likizo ya mwaka siku 28, na katika kila likizo za miaka miwili, mojawapo mtumishi analipwa nauli yake na ya familia yake pamoja na mizigo. Huku private sector havipatikani kwa utaratibu, inategemea na huruma ya Management.

Kule nilikuwa napata allowance za semina, wakati mwingine semina ya siku mbili inarefushwa hadi siku saba, ya siku saba inaenda siku 14. Hata kama ilikuwa inawezekana kufanyika ndani ya chumba kimojawapo ofisini, itapelekwa nje ya mkoa ili perdiem zisomeke sh. 150,000/= kila siku, local transport (taxi) 30,000/= kila siku na transport ya bus itategemea. Huku sector binafsi, semina ya siku tatu inafanyika kwa siku moja na hakuna malipo.

Kule nilikuwa naweza kuomba study leave na nikaendelea kulipwa kila kitu ikiwa pamoja na ada plus stipends, huku ukitaka kusoma uache kazi, au tafuta programme za nje ya muda wa kaxi kwa gharama zako.

Kule nikifiwa na mtoto au mzazi, nitapewa kila kitu cha mazishi ikiwa na usafiri wa Coaster iwapo nitahitaji kusafirisha popote. Huku nitatumiwa mjumbe asome salamu za rambirambi.

Kule nikipata mauti kwa ajali nikiwa kazini, njiani kwenda kazini au njiani kurudi kutoka kazini, basi familia yangu itaendelea kupata 70% ya mshahara niliokuwa ninaupata hadi siku ambayo ningestaafu kisheria. Huku familia itasomewa salamu za rambirambi na mwakilishi.

Kule nilikuwa napanda cheo kila baada ya miaka mitatu, na nyongeza ya mshahara ya mwaka. Huku hata cheo nilichopewa hakiko katika mfumo maalum
Yote hayo ni majaliwa na inategemea serikali sekta gani, local government au central. Hakuna usawa. Kuna waliopo huko wamechoka wamechakaa. Serikalini wanafanya watu waoga wa maisha, wavivu, wasioweza kurisk na wasio na discipline.
 
Habari zenu ndugu zangu na wanajamvi letu pendwa la HHM.

Nimekuja kwenu tena kama mwanajamvi kujifunza kitu kutoka kwenu.

Kama utafuatilia hapo nyuma niliweka uzi wangu juu ya kukosa morali na mvuto na ajira yangu. Labda niweke hivi, Kabla sijaingia kwenye ajira nilikuwa na kibiashara changu ambacho kimenisaidia sana na mpaka ajira zinatoka kwamba nimepangiwa huku Mtwara nilikuwa nimeifikisha nyumba yangu katika hatua ya Mwisho kabisa. Na Biashara ipo bado inaendelea so mimi nikawa nimeiacha Biashara nikamwacha mdogo wangu wakisaidiana na mrs kusimamia biashara yetu. Yeye mdogo wangu huwa namlipa mshahara kama mfanyakazi maana natambua yeye sio mmiliki wa Biashara ila ni ndugu na anafanya vizuri.

Baada ya kuwa nimekuja huku kusema ukweli mipango yangu na mategemeo yangu yanaelekea kukwama. Suala la uhamisho ni ngoma nzito mana hizi Halmashauri hawapitishi uhamisho kama huna wa kubadilishana naye. Na sina connection ya simu moja ambayo inaweza kunisaidia kusukuma mchakato wa kuomba kuhama nirudi nikajumuike na familia. Nahisi kukata tamaa na kuchoka kuishi mbali na familia. Sokilicho tawala akili yangu ni mawazo ya kuachana na hii kazi nirudi nijumuike na familia yangu na nikaendelee kusimamia Biashara yangu na kuachana na ajira za utumishi.

Nataka kusikia kutoka kwenu, wale ambao mmewahi kuachana na ajira za serikali na kujitegemea au kufanya kazi kwenye mashirika binafsi, Ni nini ilikuwa sababu kubwa kwako hadi kuwaza kuondoka huko na nini ilikuwa changamoto baada ya wewe kuachana na ajira ya utumishi wa umma. Naomba tusaidiane mawazo.
Nilipata kazi, nalipwa USD, 3500 kabla ya extras nyingine, safari za nje ya nchi, training, exposure, alafu mkataba wa miaka mi3 baada ya probation. Nikaaga ulalahoi.
 
Nchi hii imefunguka karibia sehemu zote; hamishia familia ulipo, mkeo mfungulie mkeo mradi maisha yasonge.
Nahisi mkeo hatqki kuhama mjini, ila gharama za kukaa mjini ni juu yako, wala si mkeo
 
Back
Top Bottom