Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 329
- 413
Alikudanganya nini tenaMalaya na uongo π
Hilo Siri yangu sasaAlikudanganya nini tena
Ukipenda boga penda na ua lake ubinafsi tu..mtizameMie alipoleta story za oh mzabzab unajua unatakiwa kumpenda mtoto wangu kuliko ata mie....nikaoma huyu sasa kachanganyikiwa. Mie nimekulenda wewe kama wewe na mbususu yako.
Nipende ua lake ndio lakini sio kwamba sasa nimlende mtoto kuliko yeye. Huo ni uongoUkipenda boga penda na ua lake ubinafsi tu..mtizame
Ile stori ulioingia choo cha kiume umeimalizia?Hilo Siri yangu sasa
Sasa kwa nyie bila kudanganywa kuna utulivu ndani ya nyumba? Ata mbusush yenyewe kupewa bila uongo ni ngumuHilo Siri yangu sasa
Najua Hilo haliwezekani lakini ukute alikua anakupima imani aone utarespond vipi..Nipende ua lake ndio lakini sio kwamba sasa nimlende mtoto kuliko yeye. Huo ni uongo
Hiyo hata kuianza bado..nitaifungulia Uzi kabisaIle stori ulioingia choo cha kiume umeimalizia?
ππππIla si kwa uongo wa yule Kakaπ€£π€£Sasa kwa nyie bila kudanganywa kuna utulivu ndani ya nyumba? Ata mbusush yenyewe kupewa bila uongo ni ngumu
Ila wewe uwa ukosi threads yoyote duuuuhMalaya na uongo π
Uongo..ππ..Ila wewe uwa ukosi threads yoyote duuuuh