Nini kilikufanya upoteze hisia/mapenzi kwa mtu mliependana sana?

Nini kilikufanya upoteze hisia/mapenzi kwa mtu mliependana sana?

Mie alipoleta story za oh mzabzab unajua unatakiwa kumpenda mtoto wangu kuliko ata mie....nikaoma huyu sasa kachanganyikiwa. Mie nimekulenda wewe kama wewe na mbususu yako.
Nipende ua lake ndio lakini sio kwamba sasa nimlende mtoto kuliko yeye. Huo ni uongo

Hizo "nimekulenda" na "nimlende" zimekukosea nini leo?

Mbona unazitumia ndivyo sivyo
 
Najua Hilo haliwezekani lakini ukute alikua anakupima imani aone utarespond vipi..
Sasa tunapimana ili iweje? Ila yule single mama alikuwa anajua kugegedana jamani acha tuu and she was so caring
 
Alivyo jua nampenda sana alini sumbua .ila alicho kosea ni kusahau akili ya mtu uishi kwa kujifunza kibao kilivyo geuka haamini adi leo kama ni mimi yule ...
309872654.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yule kenge alikua anapanga kupelekwa kutolewa mahari kbsa wakati huo huo ananipa mbususu mpka kichwa inauma. Dah! Bora ameenda
 
Tuache utani aisee wanawake ni waongo, mimi kasumba ya mwanamke kuchiti haijanikumba na wala si kesi kwangu ...

Kinachonikela ni binti anakupenda ila anakuwa muongo muongo vitu vingi hadi kelo
 
Tuache utani aisee wanawake ni waongo, mimi kasumba ya mwanamke kuchiti haijanikumba na wala si kesi kwangu ...

Kinachonikela ni binti anakupenda ila anakuwa muongo muongo vitu vingi hadi kelo
Ni kweli kiongozi uongo ni kero kubwaa
 
Sasa tunapimana ili iweje? Ila yule single mama alikuwa anajua kugegedana jamani acha tuu and she was so caring
Labda ungemvumilia mkuu ili uendelee kuifaidi mbususu yake
 
Natumaini hamjambo wana MMU

Twende kwenye mada moja kwa moja.
Je ni nini kilikufanya upoteze hisia/mapenzi kwa mtu mliependana sana?
Kauli

Kuna watu wana kauli za kuumiza moyo, unajukuta kila ukikumbuka kauli yake stimu zinakata
 
Labda ungemvumilia mkuu ili uendelee kuifaidi mbususu yake
Unajua mtu kila mkigegedana mnapata raha ...baadae mkiwa kwenye maongezi mengine the same thing keeps coming up unakosa raha bwana. Mwishoe yeye mwenyewe alinotice sipo happy tena kwenye hayo mahusiano...so tukakubaliana tuu mwisho umefika
 
Back
Top Bottom