Nini kilikufanya usifikie ndoto yako ya Upadrisho?

padre anakatazwa ulevi? au umeamua tu kuandika vitu vya uongo
 
mara mia salaaam huo au upi
 
inaelekea kuna kitu hukijui, au wewe ni mtoto sana. hujielewi
Padre hata ukimtembelea anakoishi bia zpo kwenye friji, wewe unaniuliza maswali ya kijinga hapa
kwa hiyo kuwa na bai ndio ulevi sio? huoni kwamba wewe ndio mtoto
 
pole sana mkuu. achana na ndoa haha
 
Wewe haujawahi hata kukanyaga Seminari, wewe ulikuwa na ndoto ya kuwa padre lkn hakuwahi kukugusa hata hatua moja ya huo wito.
kwani hiyo hatua inaanzaia seminari au inaanzia ndani ya Mtu kisha parokiani wanaichochea ndio uanednelea huko mbele?
 
Mkuu hawakukufanyizia kweli?maana naskia wengi ndio michezo yao Kwa alter boy.Have you tell us the whole truth?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…