Nini kilikutokea baada ya kujifanya mjuaji kwenye kitu usichokijua

Nini kilikutokea baada ya kujifanya mjuaji kwenye kitu usichokijua

Mpondoshilla

Member
Joined
Jul 4, 2022
Posts
36
Reaction score
132
Mimi bhana nakumbuka nikiwa kama house boy boss wangu alikuwa ananiamini sana hivo alikuwa na gari kama tano hivi
Alikuwa na tabia ya kuniachia funguo za gari ambayo ni chafu ili niioshe
Sasa bhana siku hiyo akaniachia funguo ya gari land cruise, alipo toka tu nikaenda kufungua gari na kutia funguo na kuiwasha kisha nikaanza kuivutia wese taaratibu,
Kilichonifanya nilete uzi huu ni pale nilipoizima gari funguo ikagoma kuchomoka nilikaa asubuhi mpaka jioni nahangaika bila mafanikio dakika za mwisho niliona sehemu kuna kabatani nilipo kabonyeza tu nikavuta funguo ikatoka nilijuta sana siku hiyo
Sijawahi rudia tena hii michezo ya kujifanya mjuaji
 
Mimi bhana nakumbuka nikiwa kama house boy boss wangu alikuwa ananiamini sana hivo alikuwa na gari kama tano hivi

Alikuwa na tabia ya kuniachia funguo za gari ambayo ni chafu ili niioshe

Sasa bhana siku hiyo akaniachia funguo ya gari land cruise, alipo toka tu nikaenda kufungua gari na kutia funguo na kuiwasha kisha nikaanza kuivutia wese taaratibu

Kilichonifanya nilete uzi huu ni pale nilipoizima gari funguo ikagoma kuchomoka nilikaa asubuhi mpaka jioni nahangaika bila mafanikio dakika za mwisho niliona sehemu kuna kabatani nilipo kabonyeza tu nikavuta funguo ikatoka nilijuta sana siku hiyo

Sijawahi rudia tena hii michezo ya kujifanya mjuaji
 
Mimi bhana nakumbuka nikiwa kama house boy, boss wangu alikuwa ananiamini sana hivo alikuwa na gari kama tano hivi.

Alikuwa na tabia ya kuniachia funguo za gari ambayo ni chafu ili niioshe.

Sasa bhana siku hiyo akaniachia funguo ya gari Toyota Land Cruiser, alipotoka tu nikaenda kufungua gari na kutia funguo na kuiwasha kisha nikaanza kuivutia wese taaratibu.

Kilichonifanya nilete uzi huu ni pale nilipoizima gari funguo ikagoma kuchomoka nilikaa asubuhi mpaka jioni nahangaika bila mafanikio dakika za mwisho niliona sehemu kuna kabatani nilipokabonyeza tu nikavuta funguo ikatoka nilijuta sana siku hiyo.

Sijawahi rudia tena hii michezo ya kujifanya mjuaji.
 
Nakumbuka zaman bimkubwa aliniambia nikaange mayai mzee sikubisha nilitia chumvi kibao alafu ikatoka shapeless
Mimi bhana nakumbuka nikiwa kama house boy boss wangu alikuwa ananiamini sana hivo alikuwa na gari kama tano hivi
Alikuwa na tabia ya kuniachia funguo za gari ambayo ni chafu ili niioshe
Sasa bhana siku hiyo akaniachia funguo ya gari land cruise, alipo toka tu nikaenda kufungua gari na kutia funguo na kuiwasha kisha nikaanza kuivutia wese taaratibu,
Kilichonifanya nilete uzi huu ni pale nilipoizima gari funguo ikagoma kuchomoka nilikaa asubuhi mpaka jioni nahangaika bila mafanikio dakika za mwisho niliona sehemu kuna kabatani nilipo kabonyeza tu nikavuta funguo ikatoka nilijuta sana siku hiyo
Sijawahi rudia tena hii michezo ya kujifanya mjuaji
 
Siku zote nawasikia watu wanasema battery zikiisha chaji wewe zidumbikize chooni (namaanisha vyoo vya shimo) mimi si ndio nikadumbukiza battery ili zichajiwe, nimesubiri kama dakika kumi nikajiambia hapa tayari ngoja nikazitoe. Nikainamisha kichwa ili kuziibua battery kwenye Mavi kwa bahati mbaya nikateleza nikadumbukia chooni, mpaka wanakuja kunitoa mwili wote umejaa Mavi
 
😂😂
Siku zote nawasikia watu wanasema battery zikiisha chaji wewe zidumbikize chooni (namaanisha vyoo vya shimo) mimi si ndio nikadumbukiza battery ili zichajiwe, nimesubiri kama dakika kumi nikajiambia hapa tayari ngoja nikazitoe. Nikainamisha kichwa ili kuziibua battery kwenye Mavi kwa bahati mbaya nikateleza nikadumbukia chooni, mpaka wanakuja kunitoa mwili wote umejaa Mavi
 
Siku zote nawasikia watu wanasema battery zikiisha chaji wewe zidumbikize chooni (namaanisha vyoo vya shimo) mimi si ndio nikadumbukiza battery ili zichajiwe, nimesubiri kama dakika kumi nikajiambia hapa tayari ngoja nikazitoe. Nikainamisha kichwa ili kuziibua battery kwenye Mavi kwa bahati mbaya nikateleza nikadumbukia chooni, mpaka wanakuja kunitoa mwili wote umejaa Mavi
Yaliyo kutokea na jina lako yanaendana
 
Siku zote nawasikia watu wanasema battery zikiisha chaji wewe zidumbikize chooni (namaanisha vyoo vya shimo) mimi si ndio nikadumbukiza battery ili zichajiwe, nimesubiri kama dakika kumi nikajiambia hapa tayari ngoja nikazitoe. Nikainamisha kichwa ili kuziibua battery kwenye Mavi kwa bahati mbaya nikateleza nikadumbukia chooni, mpaka wanakuja kunitoa mwili wote umejaa Mavi
Ungekufaaa
 
Mimi bhana nakumbuka nikiwa kama house boy boss wangu alikuwa ananiamini sana hivo alikuwa na gari kama tano hivi
Alikuwa na tabia ya kuniachia funguo za gari ambayo ni chafu ili niioshe
Sasa bhana siku hiyo akaniachia funguo ya gari land cruise, alipo toka tu nikaenda kufungua gari na kutia funguo na kuiwasha kisha nikaanza kuivutia wese taaratibu,
Kilichonifanya nilete uzi huu ni pale nilipoizima gari funguo ikagoma kuchomoka nilikaa asubuhi mpaka jioni nahangaika bila mafanikio dakika za mwisho niliona sehemu kuna kabatani nilipo kabonyeza tu nikavuta funguo ikatoka nilijuta sana siku hiyo
Sijawahi rudia tena hii michezo ya kujifanya mjuaji
Kuna manzi.. kila nikikutana nae nakuwa mjanja Sana .....najifanya fundi wa kupeleka Moto [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91].. siku moja ikafika. Akaniita kwao Ni mpelekee Moto...kumbe hamna ninachokijua kwenye ulimwengu wa mapenzi...

Zaidi Zaid stori za jf zilinivimbisha kichwa....mpaka now nikimuona yule manzi....napotea

Hakika JF iliniponza[emoji23][emoji23]
 
Hahahahaha pole sana kuna siku jaaa kanipgia simu kuna kikaz cha kufanya nkapge chap dakka 40 tu naingza 30K ebhna afu mi sijawaH hata kuifanya nmeenda kule nimeumbuka kaz nkashndwa kuifanya dah na hela nikaikosa
 
Siku zote nawasikia watu wanasema battery zikiisha chaji wewe zidumbikize chooni (namaanisha vyoo vya shimo) mimi si ndio nikadumbukiza battery ili zichajiwe, nimesubiri kama dakika kumi nikajiambia hapa tayari ngoja nikazitoe. Nikainamisha kichwa ili kuziibua battery kwenye Mavi kwa bahati mbaya nikateleza nikadumbukia chooni, mpaka wanakuja kunitoa mwili wote umejaa Mavi


Vipi HARUFU ilikuwepo?!! 🤣🤣🤣
 
Mimi bhana nakumbuka nikiwa kama house boy boss wangu alikuwa ananiamini sana hivo alikuwa na gari kama tano hivi
Alikuwa na tabia ya kuniachia funguo za gari ambayo ni chafu ili niioshe
Sasa bhana siku hiyo akaniachia funguo ya gari land cruise, alipo toka tu nikaenda kufungua gari na kutia funguo na kuiwasha kisha nikaanza kuivutia wese taaratibu,
Kilichonifanya nilete uzi huu ni pale nilipoizima gari funguo ikagoma kuchomoka nilikaa asubuhi mpaka jioni nahangaika bila mafanikio dakika za mwisho niliona sehemu kuna kabatani nilipo kabonyeza tu nikavuta funguo ikatoka nilijuta sana siku hiyo
Sijawahi rudia tena hii michezo ya kujifanya mjuaji
😂😆😆
 
Siku hiyo babu akachelewa kukamua mida ya jioni nikaona si mbaya nikimsaidia. Badala ya kuchuchumaa pembeni mwa mguu wa nyuma mi nikachuchumaa nyuma kabisa. Ile navuta chuchu mara ya tatu nilipigwa teke jagi likaruka juu ya Bati.
 
Siku hiyo babu akachelewa kukamua mida ya jioni nikaona si mbaya nikimsaidia. Badala ya kuchuchumaa pembeni mwa mguu wa nyuma mi nikachuchumaa nyuma kabisa. Ile navuta chuchu mara ya tatu nilipigwa teke jagi likaruka juu ya Bati.
Daah na mimi ishawahi nitokea hii
Sema mm alinipiga teke la p*mbu babaaaaa ziliuma p*mbu mpaka nkahisi labda zimepasuka nkawa naogopa kuziangalia,maumivu ya p*mbu usipimie mzee
 
Siku zote nawasikia watu wanasema battery zikiisha chaji wewe zidumbikize chooni (namaanisha vyoo vya shimo) mimi si ndio nikadumbukiza battery ili zichajiwe, nimesubiri kama dakika kumi nikajiambia hapa tayari ngoja nikazitoe. Nikainamisha kichwa ili kuziibua battery kwenye Mavi kwa bahati mbaya nikateleza nikadumbukia chooni, mpaka wanakuja kunitoa mwili wote umejaa Mavi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku zote nawasikia watu wanasema battery zikiisha chaji wewe zidumbikize chooni (namaanisha vyoo vya shimo) mimi si ndio nikadumbukiza battery ili zichajiwe, nimesubiri kama dakika kumi nikajiambia hapa tayari ngoja nikazitoe. Nikainamisha kichwa ili kuziibua battery kwenye Mavi kwa bahati mbaya nikateleza nikadumbukia chooni, mpaka wanakuja kunitoa mwili wote umejaa Mavi
Kumbe ndio chanzo cha jina lako!
 
Back
Top Bottom