Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], haukufunga kamba miguu huyo ng'ombe? Angekuua, lolSiku hiyo babu akachelewa kukamua mida ya jioni nikaona si mbaya nikimsaidia. Badala ya kuchuchumaa pembeni mwa mguu wa nyuma mi nikachuchumaa nyuma kabisa. Ile navuta chuchu mara ya tatu nilipigwa teke jagi likaruka juu ya Bati.
Pole harufu,Hadi nimechekaSiku zote nawasikia watu wanasema battery zikiisha chaji wewe zidumbikize chooni (namaanisha vyoo vya shimo) mimi si ndio nikadumbukiza battery ili zichajiwe, nimesubiri kama dakika kumi nikajiambia hapa tayari ngoja nikazitoe. Nikainamisha kichwa ili kuziibua battery kwenye Mavi kwa bahati mbaya nikateleza nikadumbukia chooni, mpaka wanakuja kunitoa mwili wote umejaa Mavi
Kuna fundi nilinunua disha akajidai anajua kufunga aisee alitengeneza Siku tatu likamshindaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sikumpa hata 100Nilijikuta fundi dishi
Nilijuta huko juu ya paa
HaaaaaaaaaaaaaSiku zote nawasikia watu wanasema battery zikiisha chaji wewe zidumbikize chooni (namaanisha vyoo vya shimo) mimi si ndio nikadumbukiza battery ili zichajiwe, nimesubiri kama dakika kumi nikajiambia hapa tayari ngoja nikazitoe. Nikainamisha kichwa ili kuziibua battery kwenye Mavi kwa bahati mbaya nikateleza nikadumbukia chooni, mpaka wanakuja kunitoa mwili wote umejaa Mavi
Njaa tu hizi unavamia fani za watu [emoji16]Kuna fundi nilinunua disha akajidai anajua kufunga aisee alitengeneza Siku tatu likamshindaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] sikumpa hata 100
Sasa nini kilikuchanganya kwa juu,mi nafkr ulipata shida kwenye uchomekaji nyaya na settingNilijikuta fundi dishi
Nilijuta huko juu ya paa