Nini kilikutokea baada ya kujifanya mjuaji kwenye kitu usichokijua

Siku hiyo babu akachelewa kukamua mida ya jioni nikaona si mbaya nikimsaidia. Badala ya kuchuchumaa pembeni mwa mguu wa nyuma mi nikachuchumaa nyuma kabisa. Ile navuta chuchu mara ya tatu nilipigwa teke jagi likaruka juu ya Bati.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], haukufunga kamba miguu huyo ng'ombe? Angekuua, lol
 
Pole harufu,Hadi nimecheka
 
Haaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…