Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #21
Wewe ndio yule ulikuwa ukimwamkia kila mtu njiani hasa yale matoto mabonge ya english medium?
😀😀😀
Mimi huyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio yule ulikuwa ukimwamkia kila mtu njiani hasa yale matoto mabonge ya english medium?
Kupangwa pangwa kwenye daladala na limejaa tayari
Nilishangaa watu wanakula utumbo wa kuku , kichwa na miguu !! wakati mkoani hivi vitu vinatupwa !! Hiyo hiyo siku nafika jirani kulikua na Arobaini nikasema ngoja nikaoshe macho kidogo !! hicho kisingeli kinavyochezwa na kina dada aseee !!!
ila tuseme ukweli hii bongo hakuna mkoa unaoifikia Dar hata nusu ya kwa kila kitu kuanzia maovu na mishemishe na uchafu hadi bata linalolika DSM.
Joto tu, mwili wangu una joto kali sasa ukiongeza na joto la dar basi nahisi km nimejitwisha jiko la mkaa muda wote
1.Kukuta watu wanakula mlo mmoja mpaka miwili wakat mim nilizoea mkoan Milo mitano
Vingine siri yangu maana ni hurumaa
Alafu hiyo miwili sasa sio Pouwa
😂😂 Kwamba magari mnaenda nayo kila pahala mnayabebelea kichwani au? Yani kama saiv jasho linanitiririka ila niliokaa nao hapa wamejifunika na masweta wamevaa eti kuna kibaridiShauri yako vijana wa hovyo watatimba pm.
Joto la Dsm ni kero hasa kwa siye walamba udongo(watembea kwa miguu)
Lakini muongo!Kukutana na watu waongo sijawahi kuona! Sikuwahi kufikiri watu wanaweza kuishi namna hii.
Kila wasemacho, wanavyoishi ni mashaka matupu.
Sasa hivi nimezoea, mpaka nina mpenzi mdaslam na namwamini.
Nilijua dar hakuna vumbi, kila kona lami na kusafi...maana mkoa nilipokua kila aliekua anakuja akitokea dar alikua ana ng'aa,, doh kufika ndo kwanza nikafikia mabibo karibu na kigogo luhanga, kwa wanaopafahamu wataelewa tena luhanga ya enzi zile
Ningemuamini vipi kama muongo? Huyu pekee ndio mkweli katika wote.Lakini muongo!
Wapi nitapata nyumba ya kupanga kwa Dar? Nataka owe ya kupanda Bus 1 kufika Biafra! Sitaki usumbufu! Self contained na sijui ni gharama kiasi gani?
Madalali wa Dar sijui watakuwa ni walewale niliojenga picha yao kichwani kwangu?Ngoja wenye kazi yao waje.
Khah kwa hiyo moyo wako sasa hivi huna? Kaa mbali na wana...... Kichaka umemkabidhi mjamaa!?Ningemuamini vipi kama muongo? Huyu pekee ndio mkweli katika wote.
Ndio maana nimempa moyo bila kusita.