Na fedha pia umemsahau mamajusi walimpelekea Yesu fedha na dhahabu alipozaliwaUtajiri wa zamani ilikuwa wa kumiliki mali kama mifugo, dhahabu, mashamba nk
Hadi sasa tumegundua.kwa ufupi sana eleza vyanzo. unaeleza matumizi lakini huonyeshi vyanzo vya fedha. Sipingi ila naomba kujua
Ahahaha mkuu unanichekisha mbaya eti diaspora mbna wanasema mkirene Simon Ni mtu kutoka Libya ya sas kumbe ni muethiopia
Bas bhan nadhani alikuwa Ni mtu mwenye kutake risk kutoka afric kwenda Israel kutafuta maisha na kayapata had kupewa heshima kubeba mslana na askri wa kiyahud wakatili kumruhusu abebe inaonekan jamaa alikuwa anapesa Hadi maskari wakamgwaya
Usiseme hiyo. Nyamaza Mkuu.Sasa ushasikia Nabii, mnamjadili uchumi tena uku ni kukosa nidhamu kabisa.
MkNa fedha pia umemsahau mamajusi walimpelekea Yesu fedha na dhahabu alipozaliwa umemsahau fedha
Yesu alipewa fedha na matajiri mamajusi toka nje ya nchi
Mkuu Baba yetu wa imani Elder IBRA alianza kumiliki dhahabu. Sasa sisi watoto wake wa imani tunatakiwa angalau kuwa na kamgodi au ndani unawakia kadhaa za dhahabu kutrade kwenye masoko ya ndani.Na fedha pia umemsahau mamajusi walimpelekea Yesdhahabu na dhahabu alipozaliwa umemsahau fedha
Yesu alipewa fedha na matajiri mamajusi toka nje ya nchi
Mtumishi Tuko vzr. Angekuwa enzi za Yesu , Bwana angempa usupervisor wa wale mitume. Maana walikuwa wazito kuelewa na wepesi kusau, hadi Yesu akaambia Hawana akili, walipomboa.We jamaa comments zako ni hatari sana unacheka huku unapata points.
Na dinari Mkuu.Utajiri wa zamani ilikuwa wa kumiliki mali kama mifugo, dhahabu, mashamba nk
Kutokomea kweli na minunio juu [emoji53][emoji53][emoji53][emoji53]Ni kweli hadi kipindi cha mitume walijazwa na Roho mtakatifu kwenye jumba la ghorofa, ghorofani .Si unajua juu ghorofani upepo wote wako.walikuwa na majumba ya nguvu
Waumini enzi hizo walikuwa hadi na maghorofa matajiri hakuna aliyekuwa na uhitaji wowote wa chochote sababu waliweka mali zao sio ulofa wao shirika !! Kila mtu alikuwa na mali ya kuweka shirika sio kama leo unasikia mpendwa una elfu ya karibu hapo unikopeshe ukimkopesha harudishi anatokomea mitini ukimdai anakuvurumishia miistari ya kukulaani kibao kuwa ukimdai chako.
SureHii thread iende Jamii Intelligence ndiko size yake huko. Umeongea vitu vigumu na vikubwa sana ambapo sisi watu wa kawaida inakuwa ngumu kukuelewa.
Mkuu umesisitiza point kubwa sana.Watu ndo walifinance huduma ya Yesu . Waliomuamini walihusika na kula kwake na mahitaji yake.
Basically alipoanza full time ministry alikua busy Sana kuzunguka miji mingi kuhubiri injili. Zaidi ya yote alikua na maisha simple Sana, hakutaka nyumba , kumiliki usafiri vitu vinavyofanya watumishi wa Leo kushindwa kubalance mambo na kujikuta wanaanza kuwalemea watu.
Pia Jesus aliishi maisha ya maombi sana. Ilikua kawaida Sana jioni kujitenga na wafuasi wake then anaingia kwenye maombi usiku kucha. Maisha ya namna hii hayana gharama Sana.
Ni vizuri kutambua Jesus was the King . Kanuni ya ufalme ni kuwa vyote vilivyoko ndani ya milki ya mfalme ni vyake. Ndo maana huwa inawapa shida na kumuona Jesus kama alikua mkorofi Sana, unawezaje kuwatuma watu wakuletee punda wake bila kumuomba afu unawaambia mwenye punda akikuuliza unampeleka wapi mjibuni Bwana ana haja nae , just that ...!
He was the king ...ndo maana watu walitoa vyote kumfanya aendelee na huduma yake just like tunavyolipa Kodi Leo ili president na Crue yake yote waishi comfortable na aendelee kutoa huduma.
Nashukuru Mungu umeupata ufunuo halisi . Jesus is the King . Na alikuja duniani kurejesha ufalme mwanadamu aliopoteza. Ni kweli kabisaa wote waliomwamini ni Wana wa ufalme ...Prince and princess.Mkuu umesisitiza point kubwa sana.
Yesu alikuwa mfalme, ndio maana alikuwa anafukuza wawekezaji kanisani na hakuna Kesi ya madai kwenye mahakama za Jerusalem.
Hata ile Kodi aliyoifuata kwenye Samaki Petro.Yesu alianza kugoma. Akamwambia Petro, ni halali maana wa ufalme kulipa kodi?
Inabidi atoe tu ili aepushe maneno.
Vipi waliompokea. Anasema amewafanya kula Ufalme na ukuhani nao wanatawala juu ya nchi.
Je na sisi tunaweza kukwapua magari ya watu, na majumba kama Yesu Kifalme?
Nashukuru Mungu umeupata ufunuo halisi . Jesus is the King . Na alikuja duniani kurejesha ufalme mwanadamu aliopoteza. Ni kweli kabisaa wote waliomwamini ni Wana wa ufalme ...Prince and princess.
Kwa msingi huo waliomwamini wanapaswa kuishi maisha ya ndani ya falme . Shida ni uelewa TU that's why Bible inasema mwana mrithi ataendelea kuwa chini ya muangalizi hadi atapokua na kujitambua.
Hakuna watu ambao walipaswa kuenjoy maisha kama watu waliomuamini Jesus na kuupokea ufalme Kwa Imani. Changamoto hawazijui kanuni na funguo za ufalme, yaani how things works!!
Sio kwa kukwapua , Bali unaishi ubundant life, maisha yenye utele. Sio kwamba uwe unamiliki majumba makubwa, gari expensive and the like !!!! Bali ukihitaji huduma zote hizo unazipata ndani ya ufalme without any straggling .
Jesus was simple Yet kila alipolala jioni aliandaliwa part ( Karamu nyie huiita hivyo)
Alipohitaji usafiri alipatiwa Boti na mashua na mwanapunda.
Alivarishwa mavazi ya kifalme toka day one anazaliwa.
Ata kaburi lake, sanda aliyozikiwa, uturi uliotumika vyote ni vya kifalme.
Jesus is the king ....and that's why all is message he wanted people to understand about the Kingdom of God.
Mkuu umeandika siri kubwa. Na hii ndio nataka kila mfuasi wa Yesu ajue.Nashukuru Mungu umeupata ufunuo halisi . Jesus is the King . Na alikuja duniani kurejesha ufalme mwanadamu aliopoteza. Ni kweli kabisaa wote waliomwamini ni Wana wa ufalme ...Prince and princess.
Kwa msingi huo waliomwamini wanapaswa kuishi maisha ya ndani ya falme . Shida ni uelewa TU that's why Bible inasema mwana mrithi ataendelea kuwa chini ya muangalizi hadi atapokua na kujitambua.
Hakuna watu ambao walipaswa kuenjoy maisha kama watu waliomuamini Jesus na kuupokea ufalme Kwa Imani. Changamoto hawazijui kanuni na funguo za ufalme, yaani how things works!!
Sio kwa kukwapua , Bali unaishi ubundant life, maisha yenye utele. Sio kwamba uwe unamiliki majumba makubwa, gari expensive and the like !!!! Bali ukihitaji huduma zote hizo unazipata ndani ya ufalme without any straggling .
Jesus was simple Yet kila alipolala jioni aliandaliwa part ( Karamu nyie huiita hivyo)
Alipohitaji usafiri alipatiwa Boti na mashua na mwanapunda.
Alivarishwa mavazi ya kifalme toka day one anazaliwa.
Ata kaburi lake, sanda aliyozikiwa, uturi uliotumika vyote ni vya kifalme.
Jesus is the king ....and that's why all is message he wanted people to understand about the Kingdom of God.
Mathayo 6Yesu alikuwa na Pesa nyingi sana kuliko watu wa dini wanavyotueleza.
Ushahidi.
1: Alikuwa na Muhasibu. MTU binafsi bila kampuni wala biashara kufikia hatua ya kushindwa kutunza kipato chako hadi Uwe na Muhasibu basi utakuwa na Pesa nyingi sana.
2: Aliwazuia mitume wasifanye biashara zao. Aliwakuta jamaa wakinapetro ni wakokozi na wavuvi nguli akawaambia waache alafu wamfuate.
Kulisha breakfast, lunch na dinner wanaume 12 wasio na Kazi miaka mitatu mfululizo inabidi Uwe na Pesa. Ushahidi Baada ya kufa Petro aliwashawishi warudi kwenye Biashara zao.
3: Hakuna kifungu Yesu kaishiwa Pesa au kashindwa kufanya muamala wowote kisha hana salio. Aliwahi kudaiwa kodi ya hekalu, akamtuma Petro akavue samaki aliyekuwa na Pesa tumboni.
4: Muhasibu wake alikuwa mwizi na mwenye uchu wa Pesa. Huku tunaona makampuni maduka Yenye wahasibu wezi huwa yanafirisika. Yuda hakuwahi kufirisi mkoba wa pesa za mwalimu wake Yesu.
Wakuu Yesu alikuwa yuko vzr kiuchumi.
Sasa najiuliza nini nilikuwa chanzo chake cha fedha ikiwa
Alikuwa hana biashara
Hakuwa na gawio LA sadaka masinagogini na hekaluni?
Je alikuwa anawafadhili?
Je alikuwa anakusanya Sadaka kwenye mihadhara yake?
Je Alikuwa anashushiwa kimiujiza.?
Aka. UPLOAD Sio DOWNLOADLogically tukitaka kufuata logic ya Bible kama aliweza kubadilisha mkate na kuwa mikate basi alikuwa haitaji kipato...
Ila tukifuata logic hio hio kulikuwa hakuna sababu ya kuchukua muda na kuwaconvince watu ili wamuelewe angeweza tu aka-download knowledge kwenye vichwa vya binadamu wakajua mema na mabaya..., could have saved a lot of time
Sema Petro alikuwa hataki kuwa Bilionea
Chombo chake kilivyokuwa kimejaa akaita vingine vya rafiki zake vikajaa samaki ange kodi vyombo vingine apige pesa alifanya uzembe Petro
Yesu alitaka kumpa ubiliionea Petro lakini aliridhika haraka alivyoona kapata mzigo mkubwa wa pesa nyingi akamwambia Yesu ondoka kwangu!!! Badala ya kwenda kukodi boti zingine kibao awe na monopoly biasharaa ya samaki as a big Fisherman businessman myahudi eti kwa vile visamaki viduchu anamwambia Yesu toka
Kanisani kuna issues kama za Petro mtu ananyanyuka kupitia pale ananasali kwa believers waamini Yesu Tajiri akipata kidogo tu magari au kajumba au kabaiskeli au kacheo anakimbia kanisa na wokovu ! Yeye Petro kapata sana!!! Roho ya Petro kwenye utajiri inatakiwa ikemewe kwa jina La Yesu
Wako viongozi na waumini kibao wamepata chochote majeuri hao wanadhani wamefika wanasahau agenda ya Yesu ilikuwa kufanya Petro bilionea akadharau opportunity!!
Kwa Sisi waamini Yesu tajiri kama mimi Petro alichofanya sio sahihi kumwambia Yesu ondoka baada ya kuvuna samaki wengi! Lofa mkubwa Petro sasa hivi tungekuwa anaongelea Bilionea mkubwa Petro.Lakini alivyomwambia Yesu toka utajiri mkubwa hakupata tena!!
Sisi waamini Yesu Yesu Tajiri hata tutajirike vipi hatumuachi Yesu wala kusema ondoka kwetu kama Petro alisema tunajua Yesu bado hajatufikisha atakapo kutufanya mabilionea au ma trione